Jokes , Trivia & Anecdotes...

  • Tafsiri hii:

    Posted: May 22, 2008, 3:51 pm by kritik

    Mke na mume walisikizana wakitaka ngono watatumia code " kupiga simu" ili watoto wasielewe.

    Basi siku moja walikua wameteta hawasemezani.

    Baba akamtuma mtoto: " mwambie mamako nataka simu!"

    Mama akamwambia mtoto: " mwambie imeharibika!"

    Baba akanena: " mwambie basi nitakwenda kupiga nje"

    Mama akamtuma motto: " Mwambie akienda kupiga nje na mimi nitafungua simu ya jamii!!!"


Blah blah blah

Fish cakes

Alas a fish cake.

Yet more fish cakes

Guess what ... yeah ... fish cakes.

The end of the fish cakes


Kenyan Blogs