SIMON KITURURU- MAWAZONI

  • MOJA ya sababu KWA KAWAIDA MFIKIRIA SANA UKE , hadharani anaweza kujulikana na KUWA MAARUFU kwa KUONGELEA SIASA tu!:-(

    Posted: February 28, 2010, 1:52 pm by SIMON KITURURU
    MAZOEA yaweza kumzoesha MTU kuongelea SIASA wakati shida yake ihitajiyo kuongelewa  ILI IPATE VITENDO MSWANO ni ILE  ya UKE.:-(
    NDIO,... ... tatizo moja la BINADAMU AWAZAYE ni kufikiria pia kama AWAZACHO chafaa kuongelewa HADHARANI.:-(

    Swali:
    • Si  umestukia hilo  hata kwa kufikiria ni vingapi ulivyowaza leo ambavyo huna-KIBEZI cha kuviongelea hadharani ili MAMA Mkwe asikie?
    • Umeshafikiria ukweli wa UPOTOFU wa kwamba ukiwazacho NI SIRI na   watu hawajui ndicho UWAZACHO?




    Katika MAWAZO ELFU  YA MTU ndani ya siku ,........inawezekana kabisa  BINADAMU huongelea kitu kimoja tu HADHARANI!


    Ila BINADAMU ni MUWAZAJI wa maelfu ndani ya siku ,...
    ..... na waweza kirahisi kusahau hilo kwa kuwa MTUZ  ni CHAGUZI wa cha KUONGELEA hadharani.:-(




    Swali:
    • Si unakumbuka hilo?



    MAZOEA yanaweza yakawa yanasaidia  ni nini UNAONGELEA HADHARANI  zaidi,....
    ... wakati kikuwashacho KUNAKO NANIHII  zaidizaidi ufanyacho zaidi ni KUKIFIKIRIA TU.:-(

    MAZOEA yanaweza yakawa ndiyo yasababishayo kirahisi MTU anaongelea SIASA zilizo maarufu  HADHARANI   zaidi,........wakati tatizo lake ni UKE  na UMASIKINI usioguswa na SIASA  ZISIZOMAARUFU kuongelewa HADHARANI ambazo KIHESHIMIWA hufikiriwa TU.:-(


    Swali:
    • Katika ulivyoviwaza leo si unakumbuka ni kipi UMEAMUA hautaweza kukiongelea HADHARANI ?
    • Umeshawahi kufikiria vizuri  ni nini kinachofanya baadhi ya uongeleavyo CHUMBANI hutaki wageni wajue huwa unavigunia,  SEBULENI?

    Ndio,.......kiongelewacho hadharani  labda wala si CHEPESI kuongelewa ki hivyo na MUONGEAJI ,...
    ......na kiwezeshacho KUKUTIA NGUVU ya KUKIONGELEA HADHARANI labda ni  ULIVYOJIFUNZA TU kuamini  HICHO  kinakubalika kuongelewa  HADHARANI ,....
    ....hasa kwa kuwa wote TWAFUNZWA KIHESHIMA hata bila kufikiria sana   kujua na kuamini  MAISHANI ni  VIPI vichache vifikiriwavyo ambavyo   ni sahihi KUONGELEWA HADHARANI.:-(
    Na chakusikitisha zaidi  ni kwamba,...
    ....WATU wengi  sababu zao za kukalia KIMYA SHUGHULI ni za KUFIKIRIKA tu kwa kuwa kihalihalisi WAJARIBUCHO kuficha  kwa kutokiongelea kama kile cha kuwa wakati BADO WADOGO waliwahi kulamba KAMASI ,....

    ..... labda wamfichaye bado AKIWA NA KAMASI na  akihisi hakuna watu badala ya KUJIFUTIA kwenye KIJAMBA KOTI, Suruali  au KOCHI kamasi , kirahisi hulilamba KAMASI katika staili ya kulimeza tu kisa anaamini hakuna watu wampigao chabo HADHARANI :-(.



    Swali:
    • Unafikiri kwa uhakika HII ni porojo tu?


    Ndio,....... mpaka katika vitu MAMILIONI VIFIKIRIWAVYO  viwezwavyo HATA  kuanzishiwa BLOGU kuna waliochagua kuongelea FASHENI TU  hadharani.

    Ndio,....
    .... katika vitu MAMILIONI VIFIKIRIWAVYO viwezavyo kuanzishiwa BLOGU,  Mtakatifu Simon Kitururu huchagua kuongelea CHUPI na UJINGA  TU hadharani.:-(

    Swali:

    • Unauhakika wewe unaongelea nini kirahisi HADHARANI?
    • Si unakumbuka  tukiachana na vile  BINADAMU afikiriavyo unavyoweza kumfanya kirahisi AVIONGELEE, -SI WAJUA BINADAMU MWENYE AIBU  ukimuandaa afikiriavyo waweza kumfanya kirahisi aonyeshe chupi hadharani kisa umemfunza kuita kificha nyeti `` BIKINI´´?

    • Si unajua katika vitu MILIONI alivyowahi kufikiria MTU huwa  kunasababu tu ni YESU Mtu FULANI apendacho kuongelea hadharani na sio ukweli kuwa kimsumbuacho  hata kusikiliza mahubiri vizuri ni NYEGE mshindo?



    Ndio,........ kunasababu kuna  VITU milioni  ufikiriavyo wakati katika HIVYO ni KIMOJA ambacho uko huru kukizungumzia HADHARANI.:-(


    Na kikubwa ni kwamba  UMEJIFUNZA tu ,...
    .... ni NINI huwa KINAONGELEWA HADHARANI kitu ambacho ndicho KIKO NYUMA  ya  uchaguzi WAKO wa nini unakiongelea HADHARANI.

    Na baada ya kujifunza ni nini katika kundi la wadaku ni RUKSA KUKIONGELEA HADHARANI kama unataka ufikiriwe UNAJIHESHIMU ,...
    ... kinachofuata katika uongeleayo kirahisi HADHARANI  ni MAZOEA tu ya ni nini unajisikia huru kurudia kuongelea  kitu ambacho husababisha aliyezoea kuongelea UDAKU kirahisi  ATARUDIA kuongelea  udaku  tu  HADHARANI.:-(

    Na  haki ya MAMA KISEBENGO TENA !- ukishazoea kitu,....

    ..... si ajabu katika MATUSI yote  DUNIANI weye kirahisi UKIPANDISHA nyege ya KUTUSI  utatukania MAMA kama matusi ya MAMA ndicho ambacho  ULICHOJIZOESHA kutukana HADHARANI.:-(

    Na ukishazoea kitu,....
    ......  katika  MAELFU YA UFIKIRIAYO  waweza kujikuta ukumbukayo kuyaongelea kwa kuwa ulichozoea kuongelea ni SIASA ,....
    .....utakaCHOkumbuka kuongelea ni SIASA TU  kwa HATA wapenda FASHENI wakati kikusumbuacho wakati huo ni JINSI YA KUPATA UKE hadharani.:-(

    Swali:
    • Si unakumbuka unaruhusiwa kunibishia?

    Ndio,....... mengi  UYAFIKIRIAYO hujawahi kuyaongelea na sababu kubwa HUYAONGELEI  UYAFIKIRIAYO  MENGI ni za kufikirika tu NA  ni ALINACHA tu  ,...
    .....na kwa hilo SAMAHANI kwa kukukumbusha  MHESHIMIWA!

    NAACHIA HAPA WAZO Mheshimiwa!:-(
    Hebu Naughty by NATURE katika kubadili warudie.- Jamboree



    Ice Cube arudie - Today Was A Good Day[JIHADHARI: :LUGHA fulanikatika wimbo KAMA wewe ni msikiliza NDOMBOLO KATIKA NENO INASEMA NINI ... ndude  inatumia lugha ya namna gani kiheshima inaweza kumkwaza MLOKOLE.:-(]




    Au tu Snoop Dogg abadili zaidi kwa- Pump Pump[Tahadhari: KWA mheshimiwa asikilizaye MANENO  anaweza kusikia lugha chafu!:-(






    Nipo,....:-(




























































  • MTOTO MZURI labda JAMBA tu usiahirishe,...

    Posted: February 27, 2010, 7:20 pm by SIMON KITURURU
    .... kwa kuwa  kama umewahi KUBANWA na kijambo,......... wajua  JUHUDI  na  JEURI za waliobanwa kijambo WASIOJAMBA HADHARANI  sana sana ni za kusogeza MUDA tu  WAKUJAMBA iliusisikie wakijamba  ,....... na AFYA YA KIJAMBO  CHAO kwa bahati mbaya bado huwa iko PALEPALE.:-(

    Na MTOTO MZURI  labda   NI BUSARA PIA  kijambo usilazimishe,...
    ....kwa kuwa ALAZIMISHAYE KUJAMBA  anaweza akafanikiwa KUHARISHA PIA juu ya kijambo hasa KWA KUWA  nukta ya kutolea uharisho NI ILEILE ambayo ukizidisha JUHUDI hewa itaongezewa CHEMBECHEMBE NA ROJO  katika MTOKO  utumiao tobo   ambalo wengi hutambua kuwa  HUWA linanunia shughuli  sehemu mbali mbali lakini katika tundu lililopo  PALEPALE.:-(


    Swali:
    • Unafikiri kwa kuahirisha UJUACHO utafanya WATU WENGINE wasipokuwepo kuna badili kuwa utakachofanya ni KILEKILE?


    • Unafikiri ukidokoa MBOGA bila kuonekana  kitendo chako hugeuka kuwa NI kuonja MBOGA?


    NDIO,...... moja ya BUSARA za BINADAMU ni kuficha  vitu vijulikanavyo SIO SIRI na  kuwageuza wavifanyao HADHARANI mahawayani ingawa LABDA uhawayani WENYEWE WENYE TAKO KUBWA  ni ule   UTU na HESHIMA ZA MTU   zenye misingi  ijengwayo kwa kuwa tu NI HESHIMA eti MJUACHO ANAFANYA kafanya SIRI.:-(



    NIMEACHA!

    Tahadhari: MHESHIMIWA  hii taralila HAINA uhusiano na KUJAMBA!:-(

    Hebu tubadili wazo HASA kwa kuwa kwenye taralila isiyona uhusiano na KUJAMBA inaneno JAMBA  lisilo la HESHIMA kwa  BAADHI YA WAUNGWANA WAJAMBAO  kwa kuwaachia En Vogue wadai- My Lovin' (Never Gonna Get It)



    Salt N Pepa wazungumzie - Shoop




    Au tu NAUGHTY by NATURE warudie tu.- FEEL me FLOW

  • Kwa kuwa , ...KUWA na DHAMBI ni tofauti na JINSI ya kujisikia una DHAMBI!

    Posted: February 27, 2010, 5:28 pm by SIMON KITURURU
    [ Tahadhari: JIHADHARI na WAZO hasa kama ULIVYO na unavyojisikia UNAFIKIRI  ni sawasawa!:-(]


    Kuna UWEZEKANO  kabisaaa...
    ...kuwa  MASIKINI ni tajiri kama hujamfundisha MHUSIKA  jinsi ya kuusikilizia UMASIKINI!:-(


    MATATIZO ya UMASIKINI ni MATATIZO tu kawaida  ,...... na LABDA mpaka uyaoanishe tu na UMASIKINI ndio matatizo AMBAYO NI MATATIZO kutokunya KIKAWAIDA kwenye jedwali la MATATIZO  kuna ambayo utayaambatanisha na  SEKSHENI a.k.a kipengele cha MATATIZO yaletwayo na kibano cha UMASIKINI na kuyafanya kuwa MATATIZO HAYO ni MATATIZO YA UMASIKINI.:-(


    Samahani,....
    ..... nimekumbuka , NIA na MADHUMUNI  ya taralila hii ni kuongelea DHAMBI.:-(


    DHAMBI ,...
    ....ni FIKIRA aliyokuwanayo MTU  hasa baada ya TENDO,...
    .... kwa kuwa DHAMBI inaweza ikawa ni TENDO LA NDOA  kabla HUJAFIKIRIA na kulioanisha kifikira na UZINZI.:-(

    Kwahiyo ;...
    ...DHAMBI usiishangae kama  ni  tamu!


    Na labda unajua  hata kama naheshimu kwamba HUTAKIRI,...
    ....  wala DHAMBI  hainauhusiano na UCHUNGU ingawa KIFIKIRA neno dhambi linamchezo wakufanya hata utamu wa ULICHODOKOA  ufikiriacho ni KISAFI  KIFISADI katika TAMU yake  YA MSHIKAKI  ukahisi KWAKE kunyunyiziwa chembechembe za kamasi la MPIGA CHAFYA ambalo husababisha utamu wa peremende usikilizwa kwa mikwaruzo ya ujuaji labda moja ya ifanyayo PEREMENDE tamu ni kamasi.:-(!


    Swali:
    • AU?



    Ndio,.......DHAMBI ingekuwa MCHICHA,.......kuna watu tungejaza TENGA!:-(

    Ila kwa jinsi DHAMBiI ilivyokuwa NYOKO,...
    .... ahubiriye DHAMBI mara karibu zote ndiye aliyekuwa na TAFSIRI FULANI  ya uhakika kwake YA DHAMBI ,.......kitu kifanyacho awe miongoni mwa WATU ambao kwa uhakika wanajua wafanyavyo ni DHAMBI.:-(



    Ndio ,...
    ...jinsi yako YA  kufanya DHAMBI  yaweza kuathiriwa na STAILI yako ya  unavyoisikilizia DHAMBI.
    Na kwa kuifikiria dhambi,...waweza kustukia  katika  dunia ya WENYE DHAMBI, watu wengi wanakustukia WEYE ni MWENYE DHAMBI kwa kuwa tu  NI KWELI  katika wafunikao kwa GWAGURO ,......WEYE unaikalia uchi na kuionyesha masharubu ya chini  DHAMBI .:-(


    Tukiacha MZAHA ;....Swali:

    • Unauhakika DHAMBI ni nini?
    • Unafikiri UMASIKINI USIKILIZIWAVYO kama tu DHAMBI  , unauhakika MASIKINI ni muda gani  HUWA anajisikia MASIKINI?
    • Unauhakika TAJIRI anajisikia tajiri wakati anakunya?
    • Unafikiri wewe kama ni MKRISTO ambaye  kwako ruksa ni kuonjeshwa kidude kimoja tu NA MKE WAKO  WA NDOA huwa unaelewaje na KUIGEUZA NI DHAMBI   ya MUISLAMU ambaye kwake SIO DHAMBI ,- ile ya KUONJESHWA VIDUDE VINNE  kutoka kwa WAKE WANNE WA NDOA  awawezao kuwapa huduma WAJISIKIE NI WAKE WA MTU  wapatao matekenyo yote ya NDOA   kwa maadili  ya KIISLAMU?
    • Unafikiri dhambi yako ya UZINZI  inafanana na dhambi ufikiriayo ni  HIYO HIYO kwa mwingine YULE aliyedakwa UGONI na wewe ambaye hafikirii kama WEWE?

    • Unafikiri kuna MTU anajisikia ana DHAMBI kama alivyo na DHAMBI?


    NI HILO TU!JARIBU TU  kukumbuka  ni TAFAKURI tu hii  MHESHIMIWA  na KUNAUWEZEKANO  kama WAZO HILI  limevalishwa chupi , basi chupi INATOBO!:-(

    Hebu ANDREW SAMUEL alainishe na kubadili HALI YA HEWA KIJIWENI kwa ndude-Pinacolada



    Maxi Priest abadili zaidi kwa ndude-Close to U



    Au tu MAXI Priest amalizie tu kwa ndude-Just a little bit longer

  • WAKATI kunauwezekano UFIKIRIACHO ni FIKIRA tu!:-(

    Posted: February 27, 2010, 5:12 am by SIMON KITURURU

    NDIO,...... ..labda kuna WATU unafikiri,.......wanakufikiria UNAVYOFIKIRIA unavyofikiriwa.:-(


    Swali:

    • Lakini unafikiri WATU wanakufikiriaje WEYE?

    Ndio,...
    ....kuna PADRI katika fikira haoanishwi na NYEGE  YA DHAMBI,....
    .....kwa kuwa  ni kweli ndani ya siku yake HUHUSIANISHWA  na mtekenyo ulazimishao baadhi ya watu WACHUMBIE malaya ambaye NI KWELI afanyacho kwa kawaida ndani ya siku SIO DHAMBI wala UMALAYA.:-(

    Swali:
    • Unafikiri MALAYA afanyacho ni UMALAYA  siku nzima?
    • Si unakumbuka wewe sio UNAVYOFIKIRIWA kwa kuwa kitu halisi sio FIKIRA?



    NIMEACHA tafakuri hii!Kumbuka hili ni WAZO TU   MKUU na labda  si AJABU  kujaribu KUPATA POINTI ya hoja YAKE  MHESHIMIWA!:-(

    Hebu Macy Gray abadili kwa -I TRY




    Au tu Corinne Bailey Rae abadili kidogo zaidi kwa -I'd Like To

  • Jiografia NGUMU Tanzania!:-(

    Posted: February 26, 2010, 7:19 pm by SIMON KITURURU
    [Tahadhari: Hii taralila ina TAFAKURI ambayo inaweza isikufundishe kitu hasa kama wewe sio mtumiaji RAMANI !:-(]




    Hebu tujifunze RAMANI ya kwenda kwa akina KHADIJA akaaye karibu na kwa FUNDI VIATU,.......katika kujaribu kukukumbushana jinsi ya kusoma RAMANI ukiwa TANZANIA.




    Jinsi ya kumuelekeza mtu mahali TANZANIA ni bonge la SANAA!



    Jinsi ya kumuelekeza MTU kwa akina KHADIJA ,....
    ....kwaweza MPAKA kukujulisha KIPAJI chako MWENYEWE kile cha KUNUSA HARUFU MBALIMBALI  ambacho wazazi wako hawakufanikiwa kukistukia,....
    ....kwa kuwa waweza kujikuta ili kurahisisha kumuelekeza KIJEBA kwa akina KHADIJA inabidi ugusie mpaka aina za HARUFU mtu atakazo kutananazo NJIANI ,....

    ....harufu za TOKEA mlipo MPAKA   kwa akina KHADIJA ili tu kuhakikisha NJEMBA MWENYE RAMANI, ramani    haimpotezi MUELEKEO na kumkosesha KUFIKA kwenye  mihadi na KHADIJA MTOTO MZURI,....
    ....kisa tu  harufu ya mfereji wa chooo hakuinusa.:-(



    NDIO,.......jiografia na USOMAJI WA RAMANI ufunzwao MASHULENI  Bongo NYOSO  hautoshi,...

    .....kwa kuwa kirahisi waweza kujikuta inabidi  ili kumuelekeza MTU kwa akina KHADIJA inabidi  bila kuangalia ramani,...



    .....  umuelekeze  :

    ``......ukifika MBUYUNI  weye ulizia kwa Simon Kibaka wa MINAZINI na utaelekezwa,....

    ......na wakati unaelekea huko kabla ya hata hujafika  MINAZINI utastukia kuna sehemu inanukia mavi,....
    ......basi hapo kata kulia utaona kuna kauchochoro ,....
    ... ukishakata kona na uko kwenye UCHOCHORO  weye nenda weee , NENDAAAA WEEEEE,  mpaka mwisho wa uchochoro ambako kunanukia KOROSHO za KUCHOMA, halafu  kata kulia ambako utatokea kwenye nyumba ambayo ina kibao MBWA mkali,....
    ....hapo KWENYE MBWA MKALI  utatolewa baruti a.k.a  KUTOLEWA MKUKU , nikiwa na maana UTAFUKUZWA NA DOGI a.ka MBWA Mweusi ,....
    Wakati unatolewa BARUTI NA MBWA  hakikisha unakimbilia kushoto mwa FENSI YA MICHONGOMA  na MBWA huyo atakufukuza kupita NYUMBA kadhaa.
    Akimaliza kukutoa NDUKI MBWA  na kugeuza kurudi kwao angalia kulia utaona kuna nyumba ina BATI jeusi ,.......basi nenda hapo kwa kufuata barabara yenye mfereji unukao MIKOJO mpaka ukute kuna genge la nyanya. MUULIZIE MUUZA nyanya kwa akina KHADIJA ni  wapi atakueleza.

    SI umenielewa EEE?
    .....YANI ni hapo hapo tu na haita kuchukua hata dakika kumi utakuwa umefika kwao ambako jifanye unakiu ya Maji kwa kuwa BABA yake Khadija BADO ana UNOKO WA ENZI za wakati  kuna ISIDINGO kwenye TV ZANZIBAR tu,...

    ....na bara ni kwa NYERERE  TU ambako kulikuwa na TV na wakati huo  MZEE MZIMA alikuwa anadeku BBC  tu kwenye TV a.ka LUNINGA ,...

    ....na  kwa hiyo usimuulizie KHADIJA kwao kwa jina LAKE  moja kwa moja lasivyo utatolewa BARUTI na KHADIJA kipenzi chako atakula KIBANO na matumizi yako yote ya RAMANI hayatafanikisha uzinzi.:-(´´




    Ngojea nifupishe somo hili la  jiografia  ya  kwa akina KHADIJA kwa ufafanuzi zaidi hasa kwa aliyezoea kusoma RAMANI.:


    Kwa kifupi,.......kama nia ni watu wafike kwa akina KHADIJA,....
    ..... hatua ya kwanza ni kuhakikisha wewe ni BINGWA wakukariri,...

    ...kwa kuwa KUKARIRI KWAKO ndiko kutamsaidia mwenye ANUANI na RAMANI ya kwa akina KHADIJA wakati anaenda KIMUELEKEO  hafuati tu ramani ,...
    ....kwa kuwa RAMANI aliyonayo inaweza kuwa hainakazi kama hujatamka RANGI za MABATI , MIBUYU iliyokuwepo NJIANI na bila KUSAHAU HARUFU UZINUSAZO NJIANI  kwa kuwa TANZANIA kwa kiasi kikubwa ujenzi bado haufuati RAMANI ya MJI  na  KIBOSILE hakawii kujenga banda la MBUZI  sehemu ionyeshayo ni njia kwenye RAMANI.:-(


    Swali:

    • Unabisha?
    • Ushajisikiliza wakati unamuelekeza MTU mahali Ze BONGO?


    Kwa hiyo,...

    ...jaribu kukariri kila kitu ulichokiona wakati unaenda kwa kina KHADIJA na ikibidi HARUFU zilizo tekenya pua yako na fundi viatu  chini ya MUEMBE ndio alama umekaribi  upalengapo.


    Kwa hiyo ,....... kumbuka kuwa bado KUULIZIA watu ni muhimu katika RAMANI zetu BONGO na kama huna heshima na HIYO ikupe MOTISHA ya kusalimia watu kwa kuwa huwezi jua ni nani ambaye utamuhitaji angalau kuwa na uhakika  vichaka viko wapi ikibidi uchimbe dawa kabisaa kabla hujagonga hodi kwa akina KHADIJA.
    Unajua TENA mara nyingi ni vigumu kuomba kwenda msalani haraka haraka UGENINI na ni balaa ukienda msalani  baada ya mafanikio ya choo kikubwa ukastukia kwa mpenzi KHADIJA maji yamekatika na huja falashi malighafi yenye ukubwa wa kutosha UGENINI.:-(



    Tukiachana na hilo:Swali:

    • Miji ina RAMANI Tanzania lakini unafikiri ni kwanini RAMANI za mipango ya MIJI hazifuatwi mpaka siku hizi katika ujenzi wa nyumba MPYA mahali lukuki?

    • Si unakumbuka tunavyoongea kuna viwanja vinavyoendelea kuuzwa ambavyo haviko katika ramani ya MIJI ?

    • Unafikiri kati ya MJENGA holela na MUUZAJI VIWANJA ambaye ndiye MSIMAMIAJI wa viwanja HOLELA nni nani mwenye kosa?


    Ndio,...
    ...... matatizo yajulikanayo tayari kama tu ya KUPANGA MJI yanaendelea kuachiwa kuwepo TANZANIA na unaweza kukuta azibaye BARABARA na MIFEREJI ya ENEO iliyoko kwenye ramani ndiye MKUU wa eneo KIOFISI na kiutawala katika  eneo.:-(


    Ndio,....
    ....JIOGRAFIA ngumu TANZANIA ,......na kuna uwezekano RAMANI kama zifundishwavyo katika somo la JIOGRAFIA MASHULENI hazijitoshelezi ,...

    .... na  kwa hiyo RAMANI YAKO labda haitoshi kukufikisha kwenu kama HUKUJUI  KWENU Mheshimiwa.:-(

    Swali:

    • AU?


    TUNAKUMBUSHANA TU MKUU na usikonde!
    IJUMAA na WIKIENDI NJEMA!
    Heb kwa wasikilizaji maneno Ras NAS atusaidie kubadili mshawasha kwa kibao-Dar-es Salaam



    Eddy Grant arudie kwa wasikilizaji maneno kitu -Gimme HOPE Jo' anna




    Eddy GRANT arudie pia kwa wasikilizaji maneno ndude- War Party




    Au tu EDDY GRANT amalizie tu na  ndude -Living on the frontline
  • Nakusabahi tu MKUU!

    Posted: February 24, 2010, 1:49 pm by SIMON KITURURU




    Vipi MAMBO Mkuu!
    Ni matumaini yangu weye MDAU wa hii blogu  MAMBO ZAKO Dukinaa !

    Vipi ;....... siri yako na leo  iko SALAMA ?



    Nimebanwa KIDOGO leo MHESHIMIWA kitu ambacho chasababisha nishindwe kufanya   WAZO litoke STEREO.:-(







    NAKUTAKIA kila la kheri upate angalau kisaidiacho  UWE na UHAKIKA wa KUPATA choo cha uhakika  MHESHIMIWA!KESHO BASI kama sijafa na KAMA inawezekana !








    Kabla ya hiyo kesho TULIZA basi mshawasha kwa kumsikiliza KALA JEREMIAH akishusha kitu- WIZI MTUPU
  • JINSI ya KUJIFUNZA kukitaka kidude ULICHONACHO!

    Posted: February 23, 2010, 2:57 pm by SIMON KITURURU
    Tatizo ni:

    ... WATU WENGI hufikiri  ILI WAWE NA FURAHA,...... wanahitaji WASICHONACHO,...

    .. wakati WALIVYONAVYO hawana hata MUDA  WAKUVIFIKIRIA kwa kuwa WAKO BIZE wanahangaikia WASIVYONAVYO.:-(



    MTU alichonacho tayari ,....
    ... kinaweza kirahisi kuwa NDICHO MUHIMU ZAIDI MAISHANI kuliko chochote ASICHONACHO ambacho kinamtoa raha kwa  jinsi tu ANAVYOHENYA kupigania KUKIPATA.


    NA usichonacho,......... hicho HUNA na labda huna nafasi yakukifikiria  na kujua kitakavyokupoza ROHO ukilinganisha na AMBACHO unacho TAYARI.:-(

    Swali:
    • Unafikiri umeshajifunza KUFURAHIA kikojoleo chako kabla ya KUTAKA  na kile kikojoleo  cha MWENZIO usichonacho?

    • Kwani  umeshajifunza KUHESHIMU elimu yako ya SHULE YA MSINGI ULIYONAYO TAYARI iliyokusaidia kujua kusoma na kuandika kabla ya KUJIKOSESHA FURAHA kwa kufikiria inahitajika  uende CHUO KIKUU au UWE PROFESA ili ufurahie KUELIMIKA?


    KUMBUKA,....... kunauwezekano MKUBWA,....... ukijifunza KUKITAKA na KUHESHIMU ulichonacho TAYARI,...

    .... unaweza kustukia WALA huhitaji cha ZAIDI kingine ili  MAMBO YAKO yawe DUKINAA,....
    .... kwa kuwa kuridhika hakuna uhusiano na ni kiasi gani UMEJILUNDIKIA ndude .:-(
    Swali:
    • AU?
    • Si unajua hata uelimike vipi utakufa wakati kunakitu HUJUI?
    • Unafikiri maishani mwako  UMEFANIKIWA kujifunza kuendelea   KUKITAKA ulichonacho?




    ...kabla sijaacha ngojea nibonge ung'eng'e kwa kudai,...
    .....FIKIRIA kwa kuwa labda ;...- ``HAPPINESS IS NOT what YOU WANT;.... its WANTING what YOU HAVE!´´.:-(

    NIMEACHA!
    SIKU NJEMA Mheshimiwa!

    Au tu ISASHA abadili tu kabisa kwa ndude-Don't U know?



    Au tu Dr Remmy arudie -NDUMILA KUWILI

  • TUKIACHANA na DUNIA tuishiyo SASA ambayo WENYE NGUVU ndio walindwao na MABODIGADI !:-(

    Posted: February 23, 2010, 10:49 am by SIMON KITURURU
    [TAHADHARI : Taralila HII  imelalia mtazamo wa KIUME ZAIDI  katika kugusia na kulishikashika SWALA!:-(]



    Hadithi Hadithi!
    Hapo zamani za kale kulikuwa na WENYE MABAVU na WANYONGE,......ingawa kwa kawaida ilikuwa WENYE MABAVU ndio wanalinda WANYONGE.
    Na ilikuwa ni jambo la kujivunia kweli  kama NJEMBA bode lako a.k.a MWILI lina mamisuli ya KIKULIMA na sio KITAMBI , kwa kuwa  WEYE USIYE na KITAMBI  ulijulikana unaweza kulima PUNDA KASINGIZIWA na kwa hilo tu  MADEMU warembo wa kijijini walikuwa hawakawii kukuchekea KISIMANI  na kukuchungulia ukienda kuoga MTONI ,wakati  ndoto zote zao hata zile za  wakati TU ndio wanavunjavunja  UNGO  zilikuwa zina DONDOO mpaka za  unavyonukia vizuri KIKWAPA CHA NGUVU  kwa jinsi  tu ulivyo na juhudi SHAMBANI.

     NGUVU ilikuwa inamaanisha NGUVU kweli na kama wewe KIDUME unalegalega a.k.a UMELEGEALEGEA   , wazee wazima  walihakikisha hutoki JANDONI  kwa hata kudai uliliwa na simba huko; kitu ambacho Wapare walidai umemezwa na MSHITU. JANDO lilikufunza  sehemu ya MWANAMKE na jinsi ya kumshungulikia apate kirahisi mbele yako kujisikia MWANAMKE.
    Na hapo zamani za kale  mwenye akili alikuwa ni yule ajaliye famili  na jamii yake. Mwenye akili alihakikisha familia na jamii yake INAPATA MSOSI , inalindwa, ina nyumba ambayo umejenga kwa nguvu zako MWENYEWE , na angalau kila mtu aliyepita UMRI WA KUCHEZA UCHI  WA KITOTO a.k.a kila aliyekaribia kuanza kuota  NYWELENYWELE KUNAKO umehakikisha  kavaa vazi la kisasa KIJIJINI  ; ambalo la weza kuwa ni chupi ya MKEKA au tu ile CHUPI ya  ngozi itokanayo na MNYAMA  uliye mdaka kazubaa msituni MWENYEWE , ambaye kitoweo chake  kingine bado kimekaushwa kwa moshi jikoni juu ya jiko la kuni.

    Hapo zamani za kale , ukishajulikana unamiguvu ya kutosha na umetahiriwa safi au tu KUFUNDWA VIZURI  kama unatoka katika  jamii yenu ishabikiayo  magovi, BADO NI WAZAZI  ambao walihangaikia swala la kukupatia  POOZEO LAKO  la maisha  a.k.a  kukutafutia MZAZI MWENZAKO.
    Na binti mzuri alikuwa SIO  yule mwenye bomba la tako au tu chuchu ya kutosha , kwa kuwa ilibidi kwanza WAZAZI wafanye utafiti kuangalia MASWALA YA FAMILIA YA KIGOLI ,  kama yale ya  UKOO wa  Kimwana MNONO mlengwa KUWA hawana KIFAFA kwao  , BIBI YAKE  hana UKOMA au tu  kama UCHAWI  KWAO  haupandi vizuri.

    Kwa hiyo MTOTO mzuri aliyenona kabisa  waliweza kumstukia DNA yake  ni ya KICHAWI  KABLA HUJADAKA KIMWANA , na  kwa  hilo ukastukia VIJANA BOMBA  wanukao kikwapa cha kutosha kukuhakikishia ni wakulima safi WAMEFUNGA BREKI ZA MATAMANIO na wakawa wana Mruka KIMWANA  MZURI  mwenye macho ya gololi, mashavu ya KUMIMINA, tako mtikisiko ´´SINGIDA-Dodoma´´,  kwa kuwa tu kwao  MAMA YAKE MKUBWA anakifafa na aliwahikuzaa MAPACHA kitu ambacho kwenye MILA zenu ni NUKSI..:-(

    Swali:
    • SI kunauwezekano MWENYE NGUVU siku hizi siye yule alindaye wengine, ila ni YULE alindwaye aepukane na wanyonge na  ASKARI?
    • Si mwenye nguvu siku hizi ni yule MWENYE PESA?
    • Si mwenye akili sikuhizi ni yule AJILIMBIKIZIAYE MALI wakati wengine hawana  , aliaye  katika ofisi ya UMMA mali za UMMA , na unaweza kumtambua KIRAHISI kwa kuwa kwa kawaida yuko katika KUNDI ambalo huitwa MHESHIMIWA?

    • Si Msichana  aonekanaye Mzuri siku hizi Tanzania ujazo wa TAKO  kipimo chake kimepunguzwa ingawa titi saa sita bado lakubalika?

    • Na si unajua kwa wadada  LIMJAMAA lao WALILENGALO au WALITEGEMEALO sasa hivi kwa kuwa ni jizi kwa kukusaini tu MAKARATASI   na lina MIPESA KEDEKEDE hapo zamani kuna uwezekano wangekufa -NALO kwa njaa?

    • Si unakumbuka PIA hapo zamani bonge la demu lazima linuke KIKWAPA vya kutosha ili KIJIJINI NJEMBAZ na WAZAZI WENU mjue ni bonge la mfanyakazi na likiingia shambani hilo ni BONGE la  TREKTA na  lafaa kuwa MKE?

    NDIO,........HAPO ZAMANI kulikuwa na MABAYA na MAZURI kama SASA HIVI.:-(
    Swali:
    • Unafikiri kizazi cha SASA hivi kimejifunza ni yapi MAZURI ya zamani yafaayo kutunza na ni yapi hayafai kuyang'ang'ania kwa kuwa tu bado yana tamu zake sasa hivi  kwa baadhi ya watu?


    Hapo zamani,...
    ...... kulikuwa na TAMU zake lakini pia  usisahau MABAYA kwa kuwa tu unajuakubonga UNG'ENG'E siku hizi na kamsemo ka ``OLD is GOLD ´´ umeshakakariri na KUKAAMINI kuwa NI KWELI TUPU.:-(
    Hapo zamani labda UNGEKEKETWA usikiliziacho tamu  wewe ,OOOHO  wee  SHAURI YAKO!


    Hapo zamani  kabla ya watu kuanza kuwa na NGUO na VIATU vya JUMAPILI au IDI ungekuwa unabonge la chupi la NGOZI au MKEKA wewe, Ohoo wee  SHAURI YAKO ! 

    Halafu HEBU LIONE VILE,...
    ....eti siku hizi linaturingia na chupi lake  la GUCCI na wala sio la KITENGE.:-(





    Tukiachana na mzaha,....Swali:
    • Unafikiri siku hizi si WENYE MABAVU ndio walindwao na MGAMBO , POLISI , MAHAKAMA  na mpaka JESHI wakati wanyonge hawana Mlinzi?
    • Na siku hizi si mpaka WIZI ni shughuli ya  asifiwaye kwa MIAKILI?


    Na katika HITIMISHO la hii HADITHI HADITHI,........ napenda kukukumbusha Mheshimiwa kuwa HIVI SASA bado kuna WENYE MABAVU na WANYONGE  ingwa labda kuna ukweli kuwa siku hizi mambo yote ni  MNYONGE  MNYONGENI na HAKI ZAKE CHUKUENI na sio MNYONGE MNYONGENI lakini HAKI zake MPENI.:-(

    NI HILO TU na ni Mwisho wa HADITHI HII!
    KUMBUKA TU,  NI  wazo tu HILI MKUU!



    Hebu Ringo Madlingozi na Oliver Mtukudzi wabadili kwa kurudia  kitu-Into Yami




    Au tu Sipho Hotstix Mabuse arudie tu -Shikisha

  • UJUMBE MZURI ni kama UGALI,saa nyingine ni MPAKA uwe na MBOGA tamu ya kusukumizia TONGE ndio kitaeleweka!:-(

    Posted: February 22, 2010, 1:19 pm by SIMON KITURURU



    UJUMBE MZURI labda hautoshi kwa kuwa tu ni UJUMBE MZURI,...... ukizingatia walengwao  wanaweza wasiupokee USIPOSINDIKIZWA na kulainishwa na  NJIA ambazo walengwa hawafikirii ni MBAYA.:-(
    Swali:
    • Si unajua kuna watu bila TAARABU  mahubiri yako YENYE UJUMBE MZURI WA BUSARA kuhusu mapenzi hawatayaelewa?


     UJUMBE MZURI ,..
    ....kwa kawaida hausikilizwi  kwenye WIMBO MBAYA.:-(

    Na kuna wengi WASIKILIZAO matusi  vizuri,...
    ... ambao ni UJUMBE WASIOUPENDA  kwa kuwa tu wanapenda mrindimo wa muziki  AMBAO KWAO ni  wenye UJUMBE MBAYA .:-(

    Ndio,.......kuna wamsikilizao pia  MTU vizuri ,....... kisa WANALAZIMIKA kuwa watulivu nakusikiliza  KWA KUWA wanatishwa na sura lake BAYA.:-(


    Swali:

    • AU?
    • Si unakumbuka ugali  unaweza usiliwe kama hauletwi mezani na MBOGA tamu? 
    • Si unakumbuka UGALI mbaya unaweza kuliwa kama mboga tamu?
    • Kwani wewe hakuna wimbo uupendao ambao unajua UJUMBE WAKE NI NYOKO lakini hata hivyo unaurudiarudia NA MPAKA KUUKARIRI  WIMBO huo  wenye UJUMBE MBAYA KWAKO na kwa  MATOTO YAKO huku ukitingisha bichwa lako kisa mirindimo ya MUZIKI na SAUTI ya muimbaji  vinakukuna nanihii kunako?


    Ndio,.......TATIZO ni ,......ujumbe MZURI katika hata HOTUBA ,....... labda inahitaji SURA fulani au tu SAUTI fulani  ili walengwao na UJUMBE wasikilize UJUMBE bila kushikiwa VIBOKO.:-(

    Swali:

    • Si nasikia kuna wamsikilizao Barrack Obama  Marekani kisa wanapenda sauti na WANAOMSIKILIZA Rais KIKWETE Tanzania kisa wanampenda sura?
    • Si unakumbuka kuna sababu  si kila mtu  WEWE unamsikiliza ?
    • Si unajua kuna uwezekano majibu ya matatizo yako ulishapewa ila hukuyasikia kisa hukupenda wimbo au sura tu ya MTOA suluhisho?
    • Si unajua upendaye kumsikiliza unaweza kunogewa kufuatilia azungumziavyo jinsi ya kutatua matatizo ya kujisaidia kwa bata kuhitajivyo bata wavalishwe chupi kuliko USIYEPENDA kumsikiliza akizungumzia jinsi ya KUTATUA matatizo yako?




    Ndio,..... labda  HATA MAANDISHI  usiyopenda KUYASOMA yanasomeka bado,...... na husomi hata  BIBLIA na  KORANI   ingawa unajua vina UJUMBE  MWEMA tu,...
    ....kama tu kwenye kitabu cha KAMASUTRA ubobeavyo kwenye PICHA na sio MAANDISHI kisa kwa ladha yako VITABU hivyo banangenge vimekosewa kuandikwa VIZURI katika mirindimo  ikupandishayo MDADI WA KUSOMA  kama vile yaandikwavyo MAGAZETI YA UDAKU katika mirindimo iwezayo kukufanya uone HABARI ya KHADIJA hapendi kuvaa chupi ni HABARI MUHIMU SANA kuliko habari ya KUNA MAFURIKO Ludewa. .:-(

     Swali:

    • AU? 
    • Si unakumbuka pia kuwa  UJUMBE MZURI NA WA BUSARA kwa MTU MWINGINE  inawezekana ni KILE ukiitacho wewe  MATUSI?



     Staili ya MUANDISHI wa habari,...... yaweza kusababisha usomee UANDAJI wa UDONGO walao wajawazito, HISTORI  au tu  angalau upende kujisomea stori za  UCHAWI uziogopazo,.......kisa STALI YA UANDISHI  kukufanya usiyependa kusoma uhusudu KUHAMIA mstari unaofuata katika HADITHI kisa kanogewa na SENTENSI ya kwanza ,...


    ..... kama tu kwa ASIYE PENDA UGALI WA MUHOGO kujikuta kamaliza bonge la sima kisa MBOGA tamu kusababisha tonge la kwanza kumshawishi MLENGWA kukata TONGE la pili na mpaka kumaliza MAAKULI bila kukumbuka huwa HAPENDI UGALI wa MUHOGO kwa kuwa yeye ni MUTU ile inapenda YUGALAI (Ugali kwa Kizungu) iliyopikwa kwa kutumia  UNGA WA SEMBE.:-(


    Ndio,...
    ... UGALI bila MBOGA unalika bado .:-(



    NI wazo tu HILI MHESHIMIWA!:-(

    Hebu India.Arie, Dobet Gnahore, Idan Raichel na Blue Miller walete- Palea




    Au tu India Irie na Dobet Gnahore waendelee na -Pearls


    Bila kumsahau ALI KIBA katika kibao-Mac Muga

  • HIARI IPO hata kama kwa HIARI atendwavyo MWINGINE yachokoza na kuchokonoa HURUMA YAKO kwa kuwa ANAVYONANILIWA hupendi!:-(

    Posted: February 22, 2010, 9:14 am by SIMON KITURURU




    NDIO hata ubishe ,...... katika KUNANILIU ,.......kuna WANANILIWA pia ,....... ambao  WANANANILIWA VIZURI kwa bidii TU  kwa hiari yao wenyewe.:-(


    Swali:
    • Kwani unafikiri  WATANZANIA katika kunaniliu a.k.a KUCHAGUA CCM na sio vyama vya UPINZANI unafikiri WENGI TU  hawafanyi hivyo kwa HIARI yao tu hata kama WEWE hupendi CCM Mkuu?

    • Kwani unafikiri  ni MANGAPI  utendewayo ambayo unasaidia WEWE MWENYEWE  yafanikiwe  UTENDWE VIZURI TU kwa faraja?

    Kuna yalazimishwayo,....... lakini  HATA KAMA HUPENDI haiondoi ukweli kuwa kuna  WAUMIZWAO,...... ambao yaumizayo  ni ya HIARI  KWAO.:-(

    Kuna yalazimishwayo,... ....lakini hayohayo usipostukia hasa   KAMA WAUMIZWAO NI WAJANJA  unaweza kushabikia mchokonoo UNAOUMIZA bila kujua  kwa kuwa WAJANJA  wanaweza tu kutungia jina tofauti  MCHEZO wakati KITENDO NA  maumivu  ni YALEYALE.:-(

    Swali:
    • Si unajua adhabu nyingi tu  wapewazo watu kama tu KURUKA KICHURACHURA ,  zikifanywa kwa HIARI wajanja HUZIBADILI JINA na kuziita  ni  MAZOEZI?

    • Si unajua KUBAKWA, na  MAMA WATOTO  kulazimika kuwa kiburudisho kwa baba watoto bila kuandaliwa   kwa kuwa baba watoto SAA HIYO  anataka kula mali zake alizozitolea MAHARI   ,kwa MDADA kunaweza kukawa na maumivu sawa kimwili ,  ingawa moja MDADA kabakwa MIGOMBANI na JINGINE ni  IMEBIDI KWA HIARI  mdada  avumilie MAHITAJI YA MUME WAKE kwa kutii MAFUNDISHO YA SOMI wake KWENYE UNYAGO kuhusu HIARI YA MWANAMKE ni MAAMUZI YA MUMEWE , na kwahiyo  haliitwi KUBAKA?




    NIMEACHA !
    HILI  ni WAZO tu MHESHIMIWA!Jumatatu  NJEMA!

    Au tu Jean-Claude Naimro na KASSAV wabadili tena kwa-Ave'w Doudou



    Au tu JOCELYNE BEROARD wa KASSAV alete -Kay Manman




    Au tu Jacob Desvarieux  na   KASSAV  wapoze pia zaidi kwa -Malad aw

  • SHOGA njoo pembeni TUMSENGENYE MAMA MWENYE NYUMBA kwa kuwa HAUSIGELI ni kibonde , TUTAMSUTA uso kwa USO!:-(

    Posted: February 22, 2010, 8:50 am by SIMON KITURURU
     Katika dunia yenye  WENYE mabavu,....... kwa kawaida WABABE HUSENGENYWA kwa SIRI ili wasije kubwenga MTU bure  wakisutwa USO kwa USO,....

    ....na ASUTWAYE uso kwa uso ni ambaye inaaminika katika tukio  hana MABAVU na akileta za kuleta wakati anapandishiwa sketi a.k.a ANASUTWA hata  MBATA na KONZI anawezabwengwa  kama nyongeza juu ya MSUTO.:-(




    Swali:

    • SI unakumbuka mara nyingi  HATA WEWE ufanikiwaye KUMSUTA uso kwa uso   KWA KAWAIDA ni YULE ambaye humuogopi VIZURI?

    • SI unakumbuka UMSENGENYAYE  na KUMTETA na MASHOGA ZAKO  hasa yule rafiki yako bado  ni ISHARA ya KUOGOPA KUZUNGUMZA NAYE UFIKIRIACHO  na ndio sababu INGAWA UNAMSENGENYA NA MASHOGA ZAKO WENGINE  bado KWA KUMUOGOPA una kahofu kakutotaka ajue ni wewe UMTETAYE  kisa  unajua ana mimba ya PADRE  na wala si ya HAUSIBOI kama walivyohisi   WAMBEYA wa nyumba ya jirani  waliovalia njuga ufala wa MUME wa rafikiyo kabla huja waongezea MSENGENYO kwa kuwa tonya ishu?

    • Si unakumbuka kuna WAPINZANI wengi wa Rais KIKWETE ambao ni mabingwa tu ya KUMSENGENYA na KUMTETA wakati hayupo lakini akitokea KIJIWENI kumsuta HAWAWEZI?



    Kwa mtazamo huo usishangae mahusiano YA ASUTWAYE  na ASENGENYWAYE na KUTETWA yakiwa na MWALIKO uliokaa mkawai :
    Njoo tumsute MLALAHOI,...... kwa kuwa FISADI  inabitumsengenye tu na kumteta kwa siri kwa kuwa mpaka POLISI ni hawala zake.

    Njoo tumsute, KUMTETA  na kumpiga makonzi MSENGE,...... kwa kuwa NJEMBA RIJALI yenye wake wengi hata  kuisengenya tu kwa hilo KIMILA nyingi za KIAFRIKA bado haiwezekani.

    Njoo  tumsengenye MAMA MWENYE NYUMBA na sio HAUSIGELI,........ si unajua  kumsuta MAMA MWENYE NYUMBA unaweza kuchochea kubwengwa na mpaka BABA MWENYE NYUMBA ingawa kwa kumsuta HAUSIGELI  yaweza kuonekana sawa TU  ingawa HAUSIGELI na wala sio MAMA MWENYE NYUMBA ndiye kiburudisho cha  Baba Watoto.



    Swali:
    • Lakini si unakumbuka asengenywaye kama hastukii asengenywacho  MSENGENYAJI labda anapoteza tu MUDA?
    • Si ulishawahi kufikiria kuwa mara nyingi UMSUTAYE unaweza pia kumsengenya lakini si kila UMSENGENYAYE unaubavu wa kumsuta kwa kuwa kusuta mtu huhitaji umuangalie machoni?



    Ndio,.......labda hata katika  ya  VIONGOZI wako  MAFISADI kuna uwezekano yote uyasikiayo ni MISENGENYO na kuteta tu kwa wasio na MABAVU ,.......kwa kuwa hakuna wa KUWASUTA uso kwa USO.:-(
    CHA ajabu ni kwamba,...
    ....wengi waogopwao KUSUTWA uso kwa USO mabavu yao  MISINGI YAKE  inatokana na  kitu hicho hicho ``KUOGOPWA´´.:-(
    Swali:
    • Unauhakika weye MTANZANIA  Rais Lowasa Mkapa akiwa mbele zako utaongelea Richmondi kama utetavyo kijiweni na washikaji?

    Ni wazo tu DHAIFU HILI Mheshimiwa lakini pamoja na yote NI  WAZO!



    Hebu FALLY IPUPA abadili kwa -Cadenas





    au tu tulia na Awilo Longomba - Awa Imani - African Tonic katika- C'est pas Complique

  • Kwa kuwa KUNA NYIMBO MAMILIONI za MAPENZI DUNIANI ukilinganisha NA wingi wa NYIMBO ZILE za UMUHIMU wa jinsi ya KUBWIA UGORO!:-(

    Posted: February 21, 2010, 10:33 am by SIMON KITURURU
    ....HASA ukilinganisha NA wingi wa NYIMBO ZILE za UMUHIMU wa jinsi ya KUBWIA UGORO!:-(

     [Tahadhari: Taralila hii ina neno KUNYA!:-(]


    Naanza;....
    Kwa kuwa kuna NYIMBO MILIONI zizungumziazo MAPENZI  katika kila wimbo mmoja uzungumziao KUNYA,....

    ... haina maana KUNYA hakuna sifa ziwezazo kutungiwa NYIMBO MILIONI katika kila wimbo mmoja UUSIKIAO wa MAPENZI.


    Swali:
    • Si unakumbuka watu hufikiria KWENDA kunya mara nyingi maishani kuliko wafikiriavyo MAPENZI au wampendavyo MTU?
    • Unauhakika ingawa huwezi kulazimisha watu waimbe NYIMBO ZA KILIMO  wakulima wenyewe  UKIWAACHIA WACHAGUE unadhani watasikiliza ZAIDI nyimbo zizungumziazo KILIMO?


    Ndio...... usidanganyike na usikiacho kwa kuwa KINATAMKWA MARA NYINGI HADHARANI  na kutungiwa nyimbo NYINGI ,...... NA UKAAMINI na  kufikiri HICHO ndicho chenye umuhimu zaidi kuliko vingine kwa WATU.:-(


    Ndio,...... usidanganyike na USIKIACHO kwa kuwa KINATAMKWA mara nyingi na kutungiwa NYIMBO nyingi,....... MPAKA UKAAMINI KWA KUSAHAU  kuwa usichokisikia mara nyingi kina sifa nyingi tu za kutungiwa NYIMBO MARA NYINGI kama hichohicho ukisikiacho MARA NYINGI ,na  watunzi HAOHAO watu.:-(



    Swali;
    • Si unajua unaweza kuishi  bila kupendwa lakini huwezi kuishi bila KUNYA ingawa nyimbo za HAJA KUBWA huzisikii vyakutosha REDIONI?
    • Katika kuangalia  ni kwanini kuna aina nyingi za nyimbo zenye neno  HALELUYA kuliko zenye sentensi ``kudokoa MBOGA´´  , unafikiri wewe sio usababishaye hakuna nyimbo nyingi ziongeleazo umuhimu wa kunya vizuri kwa KUWA unasikiliza KIRAHISI  zaidi  nyimbo za ``Mpenzi nakupenda zaidi maungo yako´´?



    NIMEMALIZA.:-(



    NI WAZO TU hili MKUU na unaruhusiwa kulitukania mama!:-(JUMAPILI NJEMA MHESHIMIWA!





    Au ngojea Peter Tosh akumbushie-U can't BLAME the YOUTH


    Peter Tosh adai - ARISE Blackman



    King YELLOWMAN anyambulishe kwa kitu- Fools go to church on Sunday


    Au EEK a MOUSE abadili kwa kulainisha MSHAWASHA  kwa stori ya -The man and the mouse

  • KWA kuwa njia NZURI ya KUTUNZA AHADI hata kwa MPENZI ni kutoahidi!

    Posted: February 21, 2010, 10:07 am by SIMON KITURURU
    AHADI ni faraja ya KITU kwa muda mfupi,........ kwa kuwa hata UKITIMIZA  ahadi  LEO hata bila KUDENGUA  ,......... huo ni mwanzo TU  wa kumuandaa mtu ULIYEMTIMIZIA AHADI kukaa mkao wa kuhitaji  AHADI mpya UPYA .:-(





    Swali:
    • AU?
    • Kwani ulichoahidiwa kikitimizwa UNADHANI HUO ndio mwisho wako wa KUTAKA  kuahidiwa TENA kidude?



    AHADI mpya ni tamu KWELI,........kwa kuwa inatia faraja UPYA!
    AHADI hujenga tegemeo la kuwa ingawa sasa hivi huna KIDUDE ,....
    ... ni muda tu kidogo ambao ndio tatizo kwa kuwa utakacho utakipata  BAADA YA MUDA kwa kuwa UMEAHIDIWA tayari KIDUDE.


    Swali:

    • AU?


    NA AHADI  ni tamu tu wakati IMEAHIDIWA,......... kwa kuwa utamu wa AHADI ni AHADI yenyewe ,....
    ...... hasa KWA SABABU  ulichoahidi UKIKITIMIZA HUGEUKA KWA KUTIMIZWA  na kuwa  sio  AHADI  TENA ,...
    ...na KWA HILO  ladha yake ni tofauti na AHADI ndio maana   bado kuna WADAIO walinogewa na KILICHOAHIDIWA zaidi ya AHADI .:-(

    NDIO,...
    .....uhakika wa ladha ya AHADI uko  zaidi  katika AHADI tu na sio KILICHOAHIDIWA ,.......... kwa kuwa KITU ulichoahidiwa  CHENYEWE ,....

    .... kinaweza kuwa KINANUKA uvundo wa MKOJO  au tu KIMEZIDI SUKARI kuliko ulivyoahidiwa na uifikiriavyo AHADI.:-(

    Swali:
    • Unafikiri AHADI ya BUSU a.k.a kula denda ina utamu kama kula mate  a.k.a KULA DENDA?

    • Si unakumbuka utamu wa KUHISI UNAPENDWA ni tofauti na kitendo cha KUPENDWA CHENYEWE ndio maana  uhisiye anakupenda wakati anakupa KIDUDE    ili akuaambukize GONO  na MDUDU  unaweza kumpenda zaidi kuliko AKUPENDAYE na kukunyima KIDUDE kwa kukujali  ili asikuambukize HERPES au tu FUNGUS ya kunako hata kabla hana GONO na MDUDU?

    NDIO,....
    .... KUAHIDI ni kujenga misingi ya KUVUNJA ahadi ,.........kwa kuwa KUAHIDI ni mimba ya MATEGEMEO ya ALIYEAHIDIWA ,....
    .... na kitegemewacho KWA KUWA NI AHADI  ndicho  chenye  misingi ya MAUMIVU yatakayopewa MOTISHA au  kuvunjwa kwa AHADI hasa kwa kuwa wewe NI BINADAMU na hakuna BINADAMU mwenye uhakika na BAADAYE kiasi cha kuwa na uhakika asilimia MIA atatimiza AHADI.:-(

    Na KWA BAHATI MBAYA  kama HUJAAHIDI ,...
    .... MKUU kumbuka kuwa haina maana kuwa,...... HAKUNA MTU aaminiye weye huna AHADI ya KUVUNJA kwake .:-(

    Swali:

    • Si unajua kuna watu hata  MSICHANA AKIOLEWA TU ni kama vile KAWAAHIDI na  kahakikishia ukoo kuwa atapata mimba hivi karibuni kwa hiyo ni wakati wakumuangalia ujazo wa tumbo au tu katika mwendo anatikisaje matako , LA SIVYO itabidi  kumuuliza MUME wake kuwa nini kinaendelea mbona KIMWANA HAJISIKII KICHEFUCHEFU ,kitambi hakikui, hali udongo, habanwi haja ndogo mara kwa mara au tu hatema mate ovyo?

    • Si unajua PIA kumchekeachekea mtu ingawa ni kwa kuwa NI  mcheshi  TU kunaweza kumfanya MHESHIMIWA  ACHEKEWAYE afikiri akitongoza atapewa kwa kuwa kicheko chako kimetafsiriwa ni KUJIGONGA na unaahadi kukubali?

    Tahadhari,.......tafsiri za AHADI ziko nyingi kwa wengi na wala HIZO TAFSIRI hazitokani na  sentensi - `` NA AHIDI´´.:-(





    Lakini ,.........KUMBUKA  kama hujaahidi ,...... wewe HUJATOA AHADI.



    NA kama HUJAAHIDI ,....... MKUU kunauwezekano MKUBWA weye huna AHADI ya KUVUNJA,........ ingawa TU usisahau UWEPO wako tu labda unawapa watu AHADI ambazo usipoangalia unaweza mpaka KUJILAUMU kwa kudhani ULIAHIDI MTU kitu.:-(



    Swali:
    • Unabisha?

     Lakini  kama unajua tatizo  na SILIKA  za MTU ,.........TIMIZA usivyoahidi,....
    ...kwa kuwa hakuna kitu kitamu  KWA MTU  kama kupata kitatuacho TATIZO LAKE  ambacho hakutegemea na HAKUAHIDIWA!

    Swali:
    • Si unajua jinsi gani utamu wa shilingi  ulivyo mtamu zaidi ya shilingi kama ukigawiwa shilingi uliyokuwa na shida nayo bila kutegemea hilo?

    • Ushawahi kusikilizia utamu wa kidude ulichopewa ghafla bila kutegemea wakati unahamu na kidude ulivyo tofauti?

    NI WAZO TU HILI MHESHIMIWA !

    Hebu King Yellowman abadili kwa - Wrong Girl To Play With



    Au tu King Yellowman alete tena-Reggae Calypso



    Au tu KING YELLOWMAN amalizie na pambio-Gimme vagina

  • WALI uliokula JANA kama tu PENZI la msichana kipenzi ALIYEKUACHA JANA!:-(

    Posted: February 19, 2010, 11:15 am by SIMON KITURURU
    [Tahadhari: Taralila hii inatafakari iliyopinda kidogo maeneo!:-(]






    Hiii ni STORI ya WALI  ulioula JANA, uulao LEO na utakaoula KESHO.
    Wali kwa mlenda ULIOULA jana  LEO ni stori TU.
    Wali uulao leo ndio nguvu yako LEO .:-(
    Wali utakao kula kesho NI WAKUFIKIRIKA TU  kwa kuwa unaweza kukojolewa KWA BAHATI MBAYA  na MBUZI kabla huja-UGIDA kesho.:-(




    Swali:
    • AU?



    Hii ni STORI ya MSICHANA KIPENZI  wako wewe MSAGAJI  aliyekuacha JANA, umfikiriaye LEO na utakaye mfikiria KESHO.

    Alivyokuacha jana ,........mengi utakayoyazungumzia kuhusu yeye LEO  ni ZILIPENDWA TU  za kabla ya jana na JANA.:-(
    Leo kama unahamu KAMA tu VIDUME wapweke wamkumbukao KIPENZI ZILIPENDWA ALIYE WAACHA SOLEMBA JANA ,.......KWA BAHATI MBAYA leo kilichobaki ni KUJIGALAGAZA na  kumbukumbu tu za JANA ambazo zinaudhaifu  KIMPEKECHO katika kukuna  ya LEO.:-(
    Kesho,  kama hutafuti tibabu   ndani ya HIYOHIYO  KESHO,...
    ... na  kuachilia mbali ya JANA,........kwa bahati mbaya  kama hutaendelea na MAISHA yako kivyako  aliyekuacha JANA bado hatibu  NG'O mshawasha wako hasa kwakuwa HAYUPO hiyo KESHO.:-(




    Swali:
    • AU?



    Samahani naanza upya hiii taralila...:-(




    Nachojaribu kusema ni;....
    -HATA kama WALI kwa ROJO  uliula JANA,..........kama  una njaa leo, WALI MZURI JANA ni stori tu LEO.:-(

    Na hata usimulieje  jinsi ulivyowahi kufaidi sana tokea ZILIPENDWA za kabla ya JANA,......... kwa mwenye njaa leo bado  UJANJA ni kula LEO.:-(

    Na KAMA UNAWASHWA LEO,...
    .....kumbuka stori za jana za ULIVYOKUNWA mara nyingi ni za JANA ,........ na ni kawaida kuwa  MATIBABU ya kipele leo huhitaji KUKUNA na mkunaji kipele LEO:-(.




    Swali:
    • Unafikiri simulizi za nilivyowahi faidi bonge la UKOKO mwaka jana kama NA  njaa sasa hivi inanisaidia kitu MIMI sasa hivi katika kutibu njaa?
    • Unafikiri  simulizi  ZANGU  za nilivyofaidi bonge la UKOKO na UTANDU kwa mbali lililomwagiwa ROJO TAMU bila kusahau CHACHANDU na KACHUMBARI pembeni    mwaka juzi , ambazo hazinipozi  NJAA leo mie mwenye njaa leo hazikufunzi kitu  tu weye LEO ambaye huna njaa,  .... kuhusu ya KESHO?





    LABDA niseme:

    Tunza cha leo, ....... JANA na ya jana YAMEPITA  na kwa leo  YA JANA kwa zaidi ni STORI tu LEO.:-(
    .
    NA ya KESHO,.........kama wewe ni BINADAMU ,........BASI hayo bado ni ya kufikirika TU.:-(




    Swali:

    • AU?





    Lakini pia,....... kumbuka tu kuwa PAMOJA na ALIYEKUACHA JANA  kukuacha  na hahusiki katika TATUZI lako la  hamu yako ya kusikia tamu LEO,....
    ..... usisahau lakini kuwa YA JANA BADO NI SHULE,....

    ...na staili ya ulivyong'ata kidude au SENENE  jana yaweza kuwa  FUNDISHO , na inafundisho katika staili yako ya kulamba KIDUDE  au kugida tu  KUMBIKUMBI kesho katika ukabilivyo vyenye uwiano na kilichobakia kuwa ni ZILIPENDWA MUKICHWA ,....

    .....kwa kuwa KWA LEO hata ufanyeje bado KILIFANYIKA , kilionjwa au tu kilikuwa chako JANA hata ya dakika tano zilizopita na ndio IMETOKA HIYO!:-(



    Kumbuka tu  pia ,....
    .... pamoja na YOTE ,......... wali uliokula  jana huwa ndio uumpao MTU NGUVU ya kuweza kukata tonge LEO.:-(



    NIMEACHA!

    NI Tafakari tu  HII MHISHIMIWA Bwana MKUBWA jaribu hilo KUKUMBUKA !
    IJUMAA na WIKIENDI NJEMA MKUU!



    Hebu TPok JAZZ wajaribu kutusaidia kubadili hali ya hewa kijiweni kwa kitu- MAMOU




    Au tu Kassav warudie tena -Zouk La Ce Sel Medicament Nou Ni

  • Manufaa MAKUBWA ya RAIS au KIONGOZI MJINGA!

    Posted: February 18, 2010, 7:12 pm by SIMON KITURURU
     [Tahadhari: Tafakari imepinda na ni fupi a.k.a imekatiziwa denge!:-(]

    Kama KIONGOZI  mjinga si mjinga vyakutosha kuharibu kabisa,......
    ...BASI labda ........KILA NCHI ili ijengwe na kuimarishwa MISINGI YAKE KIBUSARA labda inahitaji mara kwa mara kuongozwa na RAIS au Kiongozi MJINGA!

    Kiongozi  MJINGA hata wa KAMATI   YA KIJIJI na SIO  NCHI  ionekanayo inahitaji KIONGOZI asiye MJINGA kama TANZANIA ana manufaa yake katika kuamusha MORI WA WANANCHI  katika kustukia NA KUHESHIMU  ni nini umuhimu wa VIONGOZI BORA wajuao wanafanyanini na si WAJINGA katika UONGOZI  WAO  ambao matunda yake ndio kielelezo bora cha ubora wao wa kutoongoza mambo KIJINGA..


    Na Rais MJINGA ni msaada sana hasa akifuatiwa na RAIS MWENYE MIAKILI ya uongozi na bingwa wa  UTEKELEZAJI  kwa  BUSARA  ZAKE hasa katika kusaidia kukubalika kwake na SERA ZAKE baada ya WANAVIJIJI kuchoshwa na YALE YALE  ya danganya toto za KIJINGA..


    Swali:

    • AU?
    • Unafikiri HITLER hakuwa msaada kwa KIONGOZI aliyemfuatia UJERUMANI baada ya wananchi kushtukia alichemsha?
    • Unafikiri UONGOZI wa CCM  kama UNAKOSEA sio msaada na  funzo kwa CHAMA chochote kingine kitakacho ingia MADARAKANI Tanzania baadaye?



    Lakini.....
    • Hivi katika shughuli, KIONGOZI MJINGA na mtekelezaji swala na KIONGOZI MWENYE MIAKILI a.k.a SIO MJINGA  lakini PIA  si mtekelezaji unafikiri watoto watafanana na nani  kama uzalishaji watoto unahitaji MTEKELEZAJI wa shughuli?



    NIMEACHA!

    SAMAHANI ni wazo tu fupi hili MHESHIMIWA na ni ruksa kulipinga!
    SIKU NJEMA!

    Au badili kwa kupata stori ya ndoa na penzi kiduchu....


    The LAST POETS warudie tena -Take Your Time



    Au tu Fu-Schnickens na Shaquille O'Neal wabadili tena kwa -What's up DOC
  • Chandarua CHENYE manufaa NA CHA BUSARA kwako katika KUZUIA MBU ni nyavu nzuri za KUVULIA SAMAKI kwa MWENZIO!:-(

    Posted: February 18, 2010, 6:49 pm by SIMON KITURURU
    Wewe katika MAISHA sio WAO,........ kitu hicho hicho kikabiliwacho na swala la kuwa MIMI sio WEWE na  nipendacho MIMI ni kutokana na nikabilianavyo mimi KITU KISABABISHACHO  kwangu  kupenda upendacho wewe yawezekano inahitaji NIJIFUNZE.:-(

    Na kujifunza inahitaji SABABU,........ na tatizo linarudi pale pale kuwa SABABU ZAKO zilizokufunza  KUTOPENDA hata SINDIMBA na ujanja kwako ni BONGO FLEVA labda yabidi nikuelewe kwanini katika NGOMA nzito zote TANZANIA  wewe ikudakayo DAR es SALAAM kirahisi sio MDUNDIKO na ni KWASAKWASA ya kutoka kwa BABA MOBUTU ambaye ndio juzijuzi WANASIASA wetu TANZANIA wanastukia KUMUIGA katika UFISADI.


    Swali:

    • AU?
     Tukiachana na hilo, kumbuka tu .....
    Kwa aaminiye katika KUCHEZA peku  hata uumpe KONDOMU za BURE,....
    ......kama staili ya UMUHIMU uuonao hauangalii kwa jicho na ujuzi wa kunogewa UTAMU  kama wewe uchezaye MAMBO KWA SOKSI,....
    .....hata kama ATAKUFA atakufa wakati  anachezea kinjegele  PEKU kwa raha zake wakati UJUMBE wa UDAICHO NI MUHIMU alikusikiliza..

    Swali:
    • Kwani unafikiri  wangapi waambukizwapo UKIMWI walikuwa na KONDOMU na hawakuamua kuitumia tu?

    Na NDIO,........chenye manufaa kwako hata ukigawe bure kama wagawavyo VYANDARUA kuzuia MBU na MALARIA ,...

    .... CHANDARUA kinaweza geuzwa TU  kuwa ni nyavu za kuvulia SAMAKI ingawa ulihubiri na kupigiwa makofi  ukiongelea  CHA MUHIMU KWAKO ambacho  NI KUZUIA MALARIA wakati CHA MUHIMU KWA UWALENGAO NA MSAADA ni nyavu kama za CHANDARUA ambazo ni muhimu zaidi kwao KWA kuvulia SAMAKI.:-(

    Swali:
    • Unafikiri  ni kwanini kuna WANAWAKE wateteao umuhimu wa KUKEKETWA wakati wanogewao maswala kwa kuwa na kinjegere wanasimulia tamu za kutokeketwa?


    Ndio,......mwisho wa siku  LABDA ,...
    ... cha muhimu kwako  na ambacho unaamini kina umuhimu kwa wengine bado ni CHENYE manufaa ZAIDI  kwako kwa kuwa UMUHIMU WAKE una  MTAZAMO WAKO.:-(

    Na kama chako UAMINICHO kinamanufaa kwa wengine ,......... ukitaka WENGINE waambukizwe kunogewa kwako  katika hicho,...... labda kabla hujachukua HATUA YOYOTE ,....
    ...FIKIRIA wanogewavyo wengine kabla ya kuwapanulia hicho wengine WATU na  kufaidisha NZI  tu wakati uliotaka waonje ni WATU,......na wala sio hao INZI  wenye kunogewa na upanuacho vingine.:-(



    Swali:

    • Si unajua kuna uwezekano kabisa UFIKIRIACHO NI MSAADA KWA WENGINE ni kwa kuwa tu kwa kufikiria hivyo hicho ni msaada kwako?



    NI TAFAKARI tu HII Mheshimiwa! 
    Na MSOME,...
    .....Kadinali Chacha o'Wambura NG'WANAMBITI  aliyeiotesha TAFAKURI HII  kwa kuzungumzia jinsi VYANDARUA VIGEUZWAVYO    sehemu za kupoozea maisha magumu KUKU HAPA









    Au HEBU Mr.CHEEKS na STEPHEN MARLEY wabadili kabisa hali ya hewa kijiweni kwa kitu  - Guiltiness


    Mr CHEEKS alete-Double B Flow



    Au tu Mr.Cheeks amalizie kwa - Lights, Camera, Action

  • Labda umuhimu wa MTOTO kwa baadhi ni TUMIZI la MTOTO,.....

    Posted: February 18, 2010, 6:48 pm by SIMON KITURURU
    .....katika ajenda za WAKUBWA waliozaa kujisikia kuna kitu ANGALAU KIMOJA TU wamefanikiwa kufanya  KATIKA ya DUNIANI !:-(




    NA labda sio utani ,...
    ... kuwa umuhimu wa  MTOTO kwa binadamu waliozaa ni tumizi  la ya mtoto LIZIBALO na KUJAZIA  kizibwacho na hisia na shughuli zitokanazo na kuwa na MTOTO DUNIANI ambazo huanzia  tokea  mzazi ajue atapata  MTOTO.:-(
    Labda si utani ,......MTOTO kama tumizi kuna walikabilio kama ni SHUGHULI tu mojawapo iwasaidiayo WENYE MTOTO kujisikia tu kuwa pamoja na matatizo yote  ni kweli WAKO HAI na kithibitisho ni hata mwenye utapiamlo MTOTO.:-(

    Labda sio utani,...... mtoto ni MTAJI wa baadaye , wakati MKE ni trekta la sasa HIVI kama UNA SHAMBA  kubwa na pembejeo ni JEMBE shambani katika shughuli ya kilimo isiyo ya KITOTO.:-(


    Swali:
    • MTOTO wako ni wa nini wakati kwa MTAKA WAJUKUU anaweza zaa mtoto atakaye kuwa PADRE  wa KATOLIKI asiyeruhusiwa kuoa au kuzini kwa ruksa iletwayo kwa ndoa?


    • MTOTO wako ni wanini wakati kwa MTAKA WAJUKUU anaweza kuzaa mtoto tasa?

    Na kuna wenye WATOTO,...... kwa kuwa katika kuhusudu URODA mtoto ni ajali kazini.

    Kuna wenye MTOTO,...... kwa sababu  KUWA NA mtoto kwawasaidia tu KUWALETEA  maana ya maisha hapa duniani.

    Na kuna wahitajio MTOTO,...
    .... kama msaada wa MAISHA uzeeni.


    Swali:

    • Unauhakika ni wangapi wana watoto na hata siku moja hawakufikiri ni kwanini wana watoto?

    • Katika watoto waitwao wa mtaani duniani unafikiri ni wangapi wamezaliwa kutokana na wazazi wao kutofikiria yahusianayo na MTOTO kabla ya kuzaa mtoto?

    • Unafikiri matajiri kama akina OPRAH wenye mabiloni si kufuru kutokuwa na MTOTO au akina Rais Clinton kuwa na mtoto mmoja tu si kitendo cha upotezaji wa mbegu na mayai yashughulikiayo  mafanikio ya MMIMBISHO?

    • Hivi MTOTO kwako ni wa nini?


    Na kwa wengine ,..... LABDA mtoto UMUHIMU WAKE ni kama tu MWANASESERE kwa kuwa,....

    ..... SI MAMA YAKE YUPO atakaye mshughulikia ambaye yeye ni VIGUMU kumkimbia bila nyonyo kuvuja MTINDI akilia?




    Swali:
    • Unauhakika  ni kweli unahitaji WATOTO au hata  ndoa ukizingatia maisha yako ukiyatafutia MAANA kivingine yanaweza kuleta tu maana kama ya  MASISTA wa KIKATOLIKI ambayo bila ZE TOTOZ  yanalipa tu na hutabadili nepi rojo? 


    NI tafakari tu hii MHESHIMIWA wakati tunajua  MAZOEZI ya kitendo yanaendelea DUNIANI  na kwa kitendo  KUNA mtu kammegea MTU mahali fulani MIMBA !:-(


    Au hebu THE LAST POETS wabadili zaidi kwa tafsiri yao ya - Black is




    Au tu The LAST POETS wabadili tena mtazamo wao kuwa -NIGGERS are SCARED of REVOLUTION




    Au tu The Last Poets wamalizie kwa - When The Revolution Comes

  • Labda UKWELI bado ni UONGO!:-(

    Posted: February 17, 2010, 8:01 am by SIMON KITURURU
    Ukweli  ni nishai kweli,....... kwa sababu  hubakia kwako kuwa ni UKWELI mpaka uustukie kuwa HUO  ni UONGO.:-(

    NA  kama uongo ambao hujaustukia BADO, kwako ni UKWELI ,.......... haki ya nani  KWAKO huo ni  UKWELI  kwa kuwa tu UNAUAMINI, na ndio kifanyacho huo KWAKO bado sio UONGO.:-(

    LAKINI  tatizo la UONGO ambao KIGOLI au NJEMBA ITAKUFA / imekufa a.k.a KUDEDI ikiamini ni UKWELI,.....
    ... bado hataufanyeje ni UONGO.:-(

    Swali:
    • Unabisha?
    • Kwani unafikiri UKWELI ni UKWELI kwakuwa mwaniwane  unaamini tu ni UKWELI?





    UKWELI ni KIBOKO ,........ndio maana ukiwauliza WAAMINIO utastukia kila mtu ana kweli yake,.....
    KWA MFANO;...

    ... Wakatoliki watadai Kanisa lao ndilo la KWELI,....

    .....Walutheri nao watadai KANISA lao ndilo la kweli,.....

    ......WAPENTEKOSTE  nao watadai lao ndilo la KWELI ndio maana wanawanenaji kwa lugha zaidi kanisani mwao,.....

    .....WASABATO watadai pia wao mpaka kwa kusali Jumamosi  na kula chakula cha BWANA kwa juisi ukiachilia mbali KITIMOTO kwao mwiko , wao ndio wanapatia zaidi na ndio wao BIBLIA wanaielewa KIKWELI, ...
    .... halafu ukiwakuta WAISLAMU ndio watakustua kuwa WAKRISTO wanakosea kuelewa na UISLAMU ndio dini ya KWELI, ....

    ....na WAYAHUDI ndio kabisa  wao watakuambia  ndio KWELI waliochaguliwa na MUNGU na huo ndio UKWELI  ,....

    ..... bila kusahau wasio amini MUNGU ambao kwa KUTOKUAMINI Mungu  ndicho waaminicho  ndio ni KWELI  YAO ,........nao wanadunda TU  mtaani  kama tu wacha MUNGU wadundavyo wakiwa na faraja kwa KUWA WANAAMINI   waaminicho ndio KWELI.,  tukiachiliambali  waaminio Mungu wawafikiriavyo ...,....

    .....na ..... .:-(




    Swali:
    • SI unajua kuwa udhaniaye na kumsifia kikweli kuwa ni KISURA a.k.a  MZURI kwelikweli  bado kuna mtu kwake huo ni UONGO KWELI KWELI  na ukweli wenyewe KWAKE  ni kwamba  LIKISURA  lako a.k.a UNALOLIMEZEA MATE  ni BAYA kwa ujazo wa kutosha tu?

    • Unauhakika na siri ya nini kinafanya kuna vitu VINGI TU MAISHANI MWAKO ambavyo hujawahi hakikisha  ila unaviamini ni KWELI?

    • Unauhakika kuna MTU anaweza akawa MPAKA na uhakika YUKO HAI wakati hajui AU HANA UHAKIKA  WAFU WANAJISIKIAJE na wakishadedi a.k.a KUANZA hawajisikii wako HAI kama mtuz tu uzijuazo ziendelezazo UFISADI tu Kimswano tu maeneo?



    Lakini UONGO PIA  ni bonge la kitu kwa kuwa limesaidia wengi kufanya KWELI.:-(
    Na haki ya Mama Kisebengo tena!...,...
    .....kunauwezekano NDOA NYINGI  ZA WATU UWAFAHAMUO ukizifuatilia kutokea enzi za MCHUMBIO mpaka Urais wa Rais Nyerere, Kikwete, OBAMA au tu uchaguzi wa MWENYEKITI wa kikao cha KICHENI PATI ya BINTI UGONI ,.........nyuma yake WAWEZA STUKIA KULIKUWA NA BONGE la dozi ya UONGO iliyofanikisha.:-(


    Na narudia,........KWA BAHATI MBAYA,...........inawezekana kabisa KUWA uongo ni UKWELI mpaka aliyedanganywa ASTUKIE.:-(



    Swali:
    • Sasa hudhani kama kuna KWELI za aina nyingi hivi duniani basi kuna uwezekano KWELI yako bado ni UONGO?

    • SI unakumbuka ilikuwa ni KWELI kabisa kuwa DUNIA inaumbo la MEZA na waliodai NI ya mduara waliuawa mpaka na kanisa KATOLIKI kwa kupotosha watu mpaka UKWELI ulipo geuka kuwa ni kweli DUNIA ni ya duara na inalizunguka JUA na sio JUA linaizunguka DUNIA? 





    NIMEACHA!NI WAZO tu hili MHESHIMIWA KUMBUKA na wala usikonde hasa kwa kuwa  weye HUDANGANYI!


    Hebu mcheki mwenye uhakika na KWELI yake ....


    Au hebu Raheem DeVaughn abadili kwa kweli yake ya  - She's not you



    Au tu Raheem DeVaughn alete pia-Try again
  • TEKNOLOJIA IPO na katika ulimwengu wa FACEBOOK ,- kuna UJUMBE na status : ``Niko MSALANI!´´

    Posted: February 16, 2010, 9:04 am by SIMON KITURURU
     Katika ulimwengu wa  GBuzz,....... MTONYO waweza kuwa ni  ,....- ``Nimeenda KUCHIMBA dawa!´´


    Katika  ulimwengu wa TWITTER ,....... UJUMBE waweza kuwa ni ; .....-``Niko CHOONI!´´
    Na katika ulimwengu ambao TEKINOLOJIA  ni  ala ya NGOMA katika enzi  ZETU  za MKOLONI,...
    ..... UJUMBE;  Gdu du dududu du ,....
    .. tafsiri yaweza kuwa ilikuwa ni ;...
    -`` MKOLONI anakuja chimba choo kama hutaki kuchapwa HAMSA ishirini kwa kwenda haja  vichakani!``

    Swali:
    • Weye uliyebobea kwenye INTERNET na  E-mail zako , UNAKUMBUKA  jinsi ya kuandika BARUA lakini?
    • Si unakumbuka hata teknologia ibadilike vipi haisaidii kutengeneza UJUMBE na ni MTU mwenyewe katika tumizi la tekinolojia  aamuaye ujumbe autumao  kwa   wasio na CHAKULA kuwa ni jinsi  CHOO cha kukaa  kisafi kiongezevyo upotezaji wa muda wa watu CHOONI ?

    Kumbukumbu:

    Kuna kipindi barua ya MTU ya kwanza kwa MPENZI MLENGWA  kutokana na elimu za vijiwe vya kitoto ,...
    ...ilifanikiwa kuchorwa  mpaka MAUA na kunyunyiziwa poda KWA WENGINE  huku  yote hayo MTU kiroho kikimdunda kutokana na UZITO wa  ujumbe ulioandikwa wa;....... ``Helo ,  mimi nakupenda na NAOMBA URAFIKI!``

    Siku hizi MTU ZILIZOPIGA UMRI zinaweza onea wivu wale ambao WAMEZALIWA wakati  maswala yote ni TEXT MESEJI  za simu na MWALIMU ni TELEVISHENI  ;....

    .....halafu UJUMBE wa mtafuta MPENZI mwenyewe  BADO ni;....... ``Helo , kunakitu nataka kukuambia NI DIP basi simu yangu haina hela!´´

    Swali:
    • Unafikiri tekinolojia hizi mpya usipoangalia hazikuondoi hata ujuzi wa kupiga mluzi ili kuita MTU?
    • Unafikiri pamoja na HIZI teknolojia kurahisisha upataji wa habari ukweli wenyewe si kwamba habari utakazo kuzipata ushazitengenezea mipaka na kwa mpenda habari za choo asilimia kubwa ya habari na ujumbe apatao ni wakuhusiana na CHOO kama tu mpenda BONGO FLEVA miziki kibao ailengayo na kuisikiliza isivyokuwa ni TAARABU?
    • Si unakumbuka ni wewe na sio TEKNOLOJIA itoayo na kupokea UJUMBE na hata kwa kutumia tekinolojia gani bado BINADAMU atafariki akiwa amefanikiwa kujua tu machache katika duniahii yenye mambo zaidi ya KIDUCHU kilengwacho na mtu?



    Ndio,....... kuna wakati madhumuni ya BARUA yalikuwa ni KUKUJULIA hali.
    Na wakati tunaishi katika ulimwengu ambao MADHUMUNI ya kuwa ANONYMOUS MTANDAONI yanaweza kuwa ni KUTUKANA MTU, ...

    .....tukumbuke tu TEKINOLOJIA  haiongezi idadi ya UJUMBE zaidi ya KUFIKISHA tu HATA UJINGA kama UJUMBE ,....
    ....na kitakiwacho KUJULIKANA ni kwamba UJUMBE upo tu kama unania ya kuupata na matumizi yako ya TEKNOLOJIA yaweza kuwa ndio kwanza yanakusaidia TU kuchanganyikiwa kama si mahiri wa KUBAINI ni  nini unakihitaji sasa hivi  kwa KUKULUNDIKIA MASWALA mpaka ya ambacho kingekuwa KWAKO ni  muhimu UKIBALEHE  , na kusababisha MWINGINE akipate kabla hata hajavunja UNGO.:-(





    NI HILO TU na ni wazo tu MHESHIMIWA!



    Hebu Spike Lee joints ituletee  Mo' BETTER BLUES ili akina Denzel Washington , Wesley Snipes,.... wamwage- DA BLUES



    Au tu Tabi BONNEY arudie- YOU



    Au tu TABI BONNEY aendelee tu kubadili kwa -The Pocket
  • Mkusanyiko wa KINACHOFIKIRIWA ambacho kwa sababu MTUZ zinajiheshimu HAKISEMWI.

    Posted: February 15, 2010, 11:14 am by SIMON KITURURU
     MKUSANYIKO wa VIFIKIRIWAVYO visivyotamkwa,....... labda vina siri ya MATATUZI ya YADUNIA ambayo sio siri yaonekanayo hayana MTATUZI.



    KINACHOFIKIRIWA  ambacho KWAKO ni chepesi kutamkwa,...
    ... labda sio  chepesi hivyo hata kama sio CHA KIJINGA kwa kuwa  kunauwezekano mkubwa kimepitia MCHUJO uchambuao ni YAPI MTU AYAFIKIRIAYO anataka kuyafanya  kwako iwe SIRI na aropokacho ni asilimia tu fulani la MROPOKO hata kama kwa kukuficha kitu anakucheleweshea muda wa kustukia staili ya kukaa kwako haimfai kimwana asiye vyaa kificha nyeti ambacho katika swala la kuchunguliwa ni TATUZI.



     NDIO, kwa kujiheshimu kunavisivyo tamkwa,...
    .... na matokeo yake labda ufikiriavyo ni siri wala SIO SIRI na kwa kukwepa kwako kutamka neno bado sentensi uifikiriayo isiyo na heshima yajulikana na kwa ukimya  wako na ufikiriacho NI SIRI  wala tatizo lako  la kuficha siri zako HALIPO kwa kuwa HUNA SIRI na kwa hiyo  halihitajipata ulilengalo TATUZI.

    Swali:
    • Unafikiri  kukwepa kwako kutamka baadhi ya maneno kwa kuwa UNAJIHESHIMU hakuchangii mkusanyiko wa SIRI MBOVU duniani?

    • Madhumuni ya kukwepa kwako kudakwa unashabikia TOPIKI FULANI HADHARANI au tu kukwepa kwako tu baadhi ya maneno -kama mtu, - unafikiri  hufanya ufikiriavyo SIRI kwa wakujuao kama mtu?

    • Ukimuona mjamzito hata bila kutamkiwa kwani hujui jina HALISI AMBALO HULITUMII  la KITENDO ambacho unafikiria  au KUHISI alifanya ingawa mwenye mimba ni  bonge la mpole?



    NI WAZO TU HILI MHESHIMIWA!JUMATATU NJEMA!


    Hebu Milton Nascimento arudie-Travessia



    Au tu hebu Gilberto Gil alete-Toda menina baiana




    Au tuondoke tu BRAZIL na kurudi BONGO NYOSO kupata dozi kutoka kwa USWAZI waongelee-True Love

  • Madhara ya kufikiria VITU bila SABABU,....

    Posted: February 15, 2010, 10:39 am by SIMON KITURURU
    .....  unaweza KUJIKUTA unastukia mpaka yasiyo KUHUSU.:-(

    Ingawa KUFIKIRI ni bonge la shughuli ambalo mara nyingi wala halihitaji SABABU,....... matokeo yake  MTU waweza jikuta unayapa umuhimu YASIYO na UMUHIMU kwa kuwa tu UNAMIAKILI na  katika kuitafutia shughuli wabobea katika kufikiria mpaka ya wengine na kutafuta jinsi ya kuhalalisha yasiyo kuhusu YAKUHUSU.




    Swali:
    • Unafikiri UNAFIKIRIA vya kutosha?

    • Si inasemekana kuna waliogeuka vichaa kwa KUFIKIRI?

    • Unafikiri MADHARA YA KUFIKIRI na FAIDA za KUFIKIRI kipi chema ingawa vyote vyaweza kufanikiwa kutokukupa JIBU?


    NI WAZO tu HILI Mkuu!

    Hebu binti ya ELIS REGINA ,     MARIA RITA  alete- Encantada




    Au tu MARIA RITA aendelee tu na kitu- CUPIDO


  • KWA NINI ni MOYO na sio MATAKO au KINYEO kitumikacho KAMA alama ya UPENDO kwa wahusudu KUPENDA , au kwa leo hii kitu VALENTINE?:-(

    Posted: February 14, 2010, 11:30 am by SIMON KITURURU
    Kuna historia nyuma ya ALAMA ya WAPENDANAO ,...
    ...kuwa MOYO na sio UBONGO , matako,chuchu yenye makunyanzi  au tu bonge la  NYONYO.:-(

    Na histori ingekaa mkao tofauti haki ya nani kwa wapenda matako MAKALIO yangekuwa ndio alama ya PENDO kwa wapendanao.
    Na haki ya nani ni MAZOEA yafanyayo alama ya moyo ionekane nzuri kwa kuwa ukweli wenyewe MOYO wala hauna sura nzuri kwa kuwa mpenda NYONYO,  `` haki ya Mama Kisebengo tena! ´´ anajua CHUCHU nzuri kwa sura  CHUCHU ILIYONONA NI NZURI hata   kuliko ulivyo MOYO.




    Hebu lideku sura baya  la  MOYO...








    Ok hapa kama wewe unahusudu hesabu .Implicit heart curve(x2+y2-1)3-x2y3=0






    Hufikirii tako lingefaa tu  kama hili hapa chini kuwa alama ya VALENTINE?




    Image courtesy of rooshv.com


    Titi je?





    Ndio ,...
     ...HISTORI ya vitu husababisha MUOANO wa VITU ambavyo labda hata havina uhusiano  NA PIPI KIJITI AU LAWALAWA NYAMA ,...

    .....na NDIO  maana KINYEO ni tusi ukikisema kwa mkao fulani  wa kawaida KANISANI au MSIKITINI wa utamkavyo NANIHINO wakati NANIHIU   ya mshale LABDA  maana yake ni kifaa cha   uke na sio CHA KINYEO  kwa asiye basha.:-(.

    NI HILO TU na  NI WAZO TU, na  kifikiria sana nilichosema na kukwazika SHAURI ZAKO.:-(NIMEACHA!:-(



    Hebu tubadili banangenge  kwa  ELIS REGINA alete miziki inikunayo sana tu hasa Jumapili Asubuhi katika- Águas de Março



    Au tu ELIS REGINA anitamanishe kulalamikiwa na kimwana wa kibrazili kwa kunikumbusha nahusudu vimwana wakibrazili walalaikavyo katika-20 Anos Blues



    Au ngojea huyu huyu marehemu ELIS REGINA alete tu na-Madalena

  • Kwanini ni MOYO na sio MATAKO yatumikayo kama alama ya UPENDO kwa wahusudu Valentine?

    Posted: February 14, 2010, 11:13 am by SIMON KITURURU

    MMMMMMmmmmmmh!


    Labda ,....


    ....KUNA historia POTOFU  nyuma ya ALAMA ya WAPENDANAO ,...
    ...kuwa  NI MOYO na sio UBONGO , matako, chuchu yenye MAKUNYAZI   au tu bonge la PAJA au   NYONYOingawa kuna pendo lamtu linasisimuliwa na MATEGE ya MTU.:-(

    Na LABDA  historia ingekaa mkao tofauti, ``HAKI YA NANI TENA´´! kama  nani  NI NANIHII HUYO AMBAYE  kwa wapenda matako,...
    .....kwa husudisho KWAKE MAKALIO yangekuwa ndio alama ya PENDO kwa wapendanao kwa kuwa katika tako ndio kuna tundu la asili NA SIRI  ya PENDO LAKE  lijazialo ajuavyo KUPENDA .:-(



    Na haki ya nani ni MAZOEA yafanyayo alama ya MOYO  ionekane NI  nzuri kwa kuwa ukweli wenyewe MOYO wala hauna sura nzuri kwa kuwa mpenda NYONYO,  `` haki ya Mama Kisebengo tena! ´´ anajua CHUCHU nzuri , kwa sura  CHUCHU ILIYONONA NI NZURI hata   kuliko ulivyo....-  MOYO na mishipa yake.
    :-(




    Hebu lideku sura baya  la  MOYO...








    Ok hapa kama wewe unahusudu hesabu .Implicit heart curve(x2+y2-1)3-x2y3=0






    Hufikirii tako lingefaa tu  kama hili hapa chini kuwa alama ya VALENTINE?




    Image courtesy of rooshv.com


    Titi je?





    Ndio ,...
     ...HISTORI ya vitu husababisha MUOANO wa VITU ambavyo labda hata havina uhusiano  NA PIPI KIJITI au LAWALAWA NYAMA ,...

    .....na NDIO  maana KINYEO ni tusi ukikisema  AU KUKIONYESHA kwa mkao fulani  AMBAO NI  wa kawaida KANISANI au MSIKITINI wa utamkavyo NANIHINO wakati NANIHIU   ya mshale KWENYE KABRASHA LA alama ya MSHALE  LABDA  maana yake ni  UPENDO katika VALENTINE   na pendo  SIO kifaa cha  uke na sio KILE  kifaa CHA KINYEO   kwa wapendanao waaminio ALAMA  FULANI INAMAANISHA UNAPENDWA  na UNAPENDA hata kama sio kibasha au KIJALUO kwa kuwa ni alama ya MOYO na moyo ushaaminishwa ni zaidi ya UBONGO.:-(.



    Swali:
    • LAKINI si unajua KUWA pendo lako halina alama?
    • Unafikiri MOYO wako  KWAKUWA UNADUNDA ni muhimu sana hata  KINYEO chako kikiziba wakati MOYOwako  UNADUNDA?
    • Unafikiri moyo wako unajua leo ni JUMAPILI na ulikunya kama mwili wako ulijaza choo?

    NI HILO TU na  NI WAZO TU, na  ukifikiria sana nilichosema na kukwazika SHAURI ZAKO.:-(....miye NIMEACHA!:-(



    Kwa LEO ,...........Hepi......->

    ....DAY..... Mkuu!



    Hebu tubadili banangenge  kwa  ELIS REGINA alete miziki inikunayo sana tu hasa Jumapili Asubuhi katika- Águas de Março



    Au tu ELIS REGINA anitamanishe kulalamikiwa na kimwana wa kibrazili kwa kunikumbusha nahusudu vimwana wakibrazili walalaikavyo katika-20 Anos Blues



    Au ngojea huyu huyu marehemu ELIS REGINA alete tu na-Madalena








    Nipo na sijasahau PAPA MANENTO, Papa Irioko , Dada Neema  a.k.a NEY, DADA NTE Kaka DAVIE , Kaka KHERI, KIKI muzee wa MWANZA,.....,....,........ nipo bado na sijatenga swala la KImtengo au ...:-(

    NIpo.....

















  • MINDSET a.k.a ULE MKAO UBONGO wa ANDUNJE wakufikiri na kukabili mambo ULIVYONG'ANG'ANIA.

    Posted: February 13, 2010, 1:38 pm by SIMON KITURURU
    Jinsi mtu AFIKIRIAVYO kitu ,....
    ....HUATHIRIWA na mkao wa BONGO LAKE  ulivyozoezwa  jinsi ya KUTUMIWA a.k.a MINDSET yake katika MAswala.

    Na aingiliaye swala moja  au kimoja  kitu,... .....waweza kujua staili yake ya KUFIKIRIA MAMBO mengi kwa kuchunguza tu  anavyofikiria  hasa STAILI  na VIGEZO atumiavyo kuongoza MUELEKEO wa anavyofikiri WAKATI  analiingia SWALA.

    MTU anavyofikiria kipya  kitu,...
    ... kuna  VITU VYA ZAMANI  ambavyo UBONGO ULISHAVING'ANG'ANIA  ambavyo  alishawahi kuvifikiria au  KUFUNZWA na kuviamini ndio kweli  ambavyo vinachangia  MKAO WA FIKIRA za  MTU katika vitu VIPYA kitu kisababishacho UDHAIFU au UMADHUBUTI  wa  staili ya kukabili fikra ya jambo jipya ambayo mara nyingine haihitaji kuoanishwa na la zamani ambalo liko ubongoni  SWALA.



    Swali:
    • Si unajua  BONGO lako likisha unganisha USIKU wa GIZA na UCHAWI  makaburini unaweza kusahau wajifichao makaburini  wanaweza kuwa ni MAJANGILI wajiandaao kupora mtu na wala sio WACHAWI?


    • SI umeshakutana na wacha MUNGU wenye akili ambao BADO kwao  ni vigumu kuelewa mtu yoyote ambaye matatuzi ya maswala yake hayahusishi kumcha Mungu au hata kumuomba Mungu kwa kuwa kwao UBONGO ndio ushang'ang'ania staili ya aina moja ya kukabili mambo na hakuna walionalo bila kuingizia ANGLE YA MUNGU  a.k.a  mchepuo wa  Padre au shekhe anasemaje katika swala?

    • Kwani hujawahi kukutana  AU KUSIKIA kuna mtu ambaye kwake BONGE la ugali ndio chakula na hata umpe wali kiasi gani haamini umempa msosi kwa kuwa KIFIKIRA kashaamini hivyo?



    • Kwani humjui angalau  MTANZANIA MMOJA  ambaye MINDSET a.k.a MNG'ANG'ANO wa KITEKENYA  STAILI YA AFIKIRIAVYO  KUKABILI MASWALA umemuaminisha  MWAFRIKA hawezi na MTANZANIA   hajui , ambaye hata awe Mkufunzi wa  CHUO CHA UAFRIKA  ambaye haki ya nani tena HAWEZI kutetea ajuacho HATA AMBACHO NI KWELI  katika UAFRIKA  hasa akibishiwa na Mzungu , Mchina, Muarabu,..... au  Mhindi ? 


    Tatizo la BONGO kukaa mkao fulani tu,.......ndio kisa  baadhi ya MATATIZO YAKO fulani uliyokuwa nayo mwaka juzi labda utakuwa nayo MWAKA kesho kisa tu  hata MWAKA KESHO utakuwa bado unayakabili kifikira a.k.a APPROACH YAKO,....
    ....katika swala kikutumia ubongo itakuwa ileile iliyosababisha ushindwe mwaka JUZI.:-(



    Swali:

    • AU?
    • Unafikiri huna staili moja utumiayo katika kufikiria kila jambo kiasi kwamba kama sasa hivi wewe ni KIBAKA kwa ufikiriavyo lazima ukiwa meneja wa choo cha stendi , Mbunge,  waziri au hata Rais tu wa KIBAHA au PEMBA  zikijitenga kutoka TANZANIA    utaiba tu? 
    • Si unajua kiruka njia sio mavazi lakini kuna mavazi fulani bado yanakufanya ufikirie usiye mjua ni kiruka njia kutokana na UBONGO wako ulivyojifunza yaliyopita NA KUYAKARIRI ambayo sio lazima ni sahihi leo?

    NI HILO TU na HILI  ni wazo tu MHESHIMIWA !:-(




    Au tu Richard Bona abadili kwa kitu- One Minute




    Au tu Richard Bona arudie- EKWA MWATO

  • MZAHA !

    Posted: February 13, 2010, 4:27 am by SIMON KITURURU
    MZAHA ni siriasi,....... kama kiguswacho kwa MZAHA kwako sio MZAHA.


    Na bila kujua mipaka ya USIRIASI,........waweza kukosea na kufikiri aliye SIRIASI analeta MZAHA .:-(

    Swali:
    • Unabisha?


    Kwa bahati MBAYA misingi ya MZAHA wowote ambao ni MZAHA mahiri,...
    ... ni hali halisi yake isababishwayo na kucheza karibu na KITU ambacho kwako sio MZAHA.:-(


    Swali:

    • Unafikiri asemaye ``ACHA MZAHA WEWE´´ mara kibao sentensi hiyo huitoa kutokana na MSUKUMO wa kitu gani?

    • Unafikiri ufikiriaye analeta MZAHA hayuko siriasi na MZAHA?

    NI HILO TU na ni wazo tu MHESHIMIWA!!


    Kama unapenda Jazz kama mie badili kwa John Coltrane katika -My favorite Things



    Au tu Miles Davis aendelee kwa -Round Midnight



    Au tu Richard Bona arudishe Jazz Afrika kwa -Eyando

  • Tukiangalia mfumo wa mtu wa kujifunza MATUSI NI NINI , umsaidiao Simon Kitururu KUTOTUKANA hadharani .:-(

    Posted: February 12, 2010, 6:16 am by SIMON KITURURU
    [Tahadhari: WAZO hili SIO JIPYA hapa KIJIWENI na unaweza usijifunze kitu katika hii taralila a.k.a POROJO!:-(]




    MAISHANI kuna mengi  ya kuzungumzia na kujifunza,... .. na NI KWELI labda katika ya MUHIMU sio LA kujitahidi kufuatilia  lipi lilikuwa tusi lako la kwanza.:-(


    Lakini KWAKUFUATILIA au KUFIKIRIA mambo madogomadogo kama jinsi mtu aonavyo neno ni BONGE la tusi,...
    ... waweza kujifunza silika za WATU ambazo katika kugeuza neno NA KITU ni tusi mfumo huo huo waweza kutabiri nini ni  mfumo ufanyao kitu au neno kama ``NAKUPENDA´´ ni MUHIMU kwa MTU.

    Sababu kubwa  hata MATUSI  yasiyo na maana yana maisha marefu,...
    ... ni kwa sababu kuna waogopao MATUSI  mpaka katika waitayo ni MATUSI hawatafuti MAANA.

    Na MAUMIVU ya tusi yako katika tafsiri,...
    ....ingawa kitukanwacho mara karibu zote  wala sio SIRI.

    Swali:
    • Unakumbuka tusi lako la kwanza?

    Waliokutangulia kuishi wanaweza kuwa ni waanzilishi wa mtazamo wako wa,...... nini ni tusi.
    Mtoto akizaliwa na kuanza kutamka maneno yasiyoeleweka kwako,...
    ... uguswavyo au kustushwa na anachotamka HATA UBISHE  ni mwanzo wa kumfunza  pia a.k.a SHULE KWAKE  MTOTO kuwa neno gani kwako tusi.:-(
    NDIO, tusi kwako,...
    ....lategemea sana wewe binafsi unavyo litafsiri ndio maana tusi kwako si lazima kwa wengine ni tusi.

     Swali:
    • Unafikiri ni kwanini tusi la kutukania  mama  au sehemu nyeti ni TUSI  karibu katika kila jamii DUNIANI  ?
    • Unafikiri kwanini sentensi NAKUPENDA inatumika kudanganya MTU atongozwaye KWA MAFANIKIO   karibu katika kila jamii DUNIANI ?


    Maisha ni kiboko,...... kwa kuwa MAISHA ni shule.
    Maisha ni kiboko,...
    .... kwa kuwa waweza mpaka kujifunza MAISHA yako  HUKU kwa kuangalia MAISHA ya WENGINE  kule.


    Swali:
    • Au?

    Lakini MAISHANI  waweza pia kujifunza ;..

    Matusi si LUGHAMatusi si VITENDO
    Matusi ni tafsiriMatusi ni  MAANA
    Unamaanisha nini na Unatafsirije ndio vyaweza geuza NENO na TENDO ligeuke MATUSI.:-(
    Swali:

    • Unafikiri hujidanganyi kwa kutumia lugha YA MTU  kama kioo cha TABIA ya MTU?
    • Unauhakika huku  MTUSI mtu jana kwa kuwa tafsiri  ya MTU  YA TUSI sio yako?


    SAMAHANI kama  nishakukwaza kwa kitu ambacho MAISHA yako yalivyokufunza NI MATUSI katika BLOGU HII!:-(

    Ijumaa na WIKIEND NJEMA MHESHIMIWA,  hata kama KWAKO inabidi utukane KISIRI kwa kuwa JAMII imekung'oa uhuru wakufurahia faraja ya  TUSI WAZIWAZI ili UTUNZE REPUTESHENI YAKO a.k.a Muonekano weye ni MHESHIMIWA.:-(

    Au hebu SEUN KUTI aongee nakurudisha BUSARA kijiweni...



    au aendelee






    Au ngojea tu SEUN KUTI agawe dozi iitwayo - Many Things



    Au kaka yake SEUN ,  Femi Kuti arudie- Do Ur BEST

  • Kwetu WAPARE ni starehe kutania WACHAGA! Lakini,.....

    Posted: February 12, 2010, 4:00 am by SIMON KITURURU
    Naamini UTANI  wa makabila ni miongoni mwa vitu ambavyo vinakufa Tanzania.

    Kisa kikubwa nafikiri ni kwasababu WATANI  wenyewe siku hizi hawajui historia ya wao kuwa watani inatokea wapi..

    Leo nakiri  nimejikuta najikanyaga  baada ya kuulizwa  kuhusu utani wa makabila Tanzania.

    Swali:
    • Je unajua historia ya mahusiano ya UTANI wa makabila Tanzania?

    Ntairudia hii topiki  siku nyingine kwa sasa nazidi kuchimba historia ya  WACHAGA na WAPARE kuwa WATANI.

    Ni HILO TU!

    Au ngojea tubadili kwa kuwasikiliza Asian Dub Foundation wakileta - Riddim I Like




    Au tu Asian Dub Foundation walete na - New Way New Life


    Au tu Asian Dub Foundation wabadili zaidi kwa kukukumbusha - Truth Hides

  • WAKATI njemba kwa kukojoa pia hutumia COMMON SENSE!

    Posted: February 11, 2010, 4:44 pm by SIMON KITURURU
    [Tahadhari: Hii banangenge maringo yake ni ya KISWANGLISH!:-(]



    Haloo  MPENDA Kuishi!

     Ni matumaini yangu hujambo.
    Madhumuni ya BARUA HII ni kukutonya kuwa COMMON SENSE  ni bonge la nyoko,...... na kwa kutumia COMMON SENSE  kudadeki,......kuna aliye JINYONGA, kubaka na kikubwa  zaidi KUKATA TAMAA.:-(
    Na ni  hilo tu NJEMBA.:-(

    Wako akupendaye , -Mwanambilimbi.

    Swali:
    • Si unajua COMMON SENSE ni COMMON SENSE  na labda ni kwasababu haina kitu SPECIAL?
    • Na si unaweza kuendeleza hili wazo la jinsi COMMON SENSE ikuponzavyo kivyako?

    -------------------------------______________---------------



    DUH!

    Badili tu lakini  kama ni ile kitu ROHO  inapenda kwa kuwasikiliza EAST AFRICAN MELODY washushe kitu -HUNA MAMBO





    Au tu wapate ZANZIBAR STARS wakutonye- USIONE SOO, sema naye.



    Au tu kwa mara nyingine SALLY NYOLO arudie- AWOU
  • Tofauti ya KUJAMBA KIDOGO na KUJAMBA sana!

    Posted: February 11, 2010, 1:08 pm by SIMON KITURURU
    [Tahadhari: Wazo hili labda kwa Mheshimiwa KIBANGA  halina HESHIMA!:-(]


    LABDA kipimo cha kidogo ni kwako,...
    ....kwa kuwa KIKUBWA kinategemea kwako kidogo ni nini.:-(



    Swali:
    • AU?

    Na  kwa Fisi,...... hata kulalwa kidogo tu,  KIFISI yaweza kukubalika ni ngono,...... hata kama  AKIJITETEA SANA kuwa WAKATI  shughuli nzima  INATEKENYWA  Fisi  msenge  alikuwa kalala .:-(

    NA nahisi,......UKIKUMBUKA kuna mtu kwa kuonja kidogo tu alipata gono,........basi labda UKILA hata kama hujashiba KWAKUDAI FIRIGISI ya SENENE  ni NDOGO ,bado KITOWEO cha senene katika kundi lako la wala na kuonja  KUMBIKUMBI TU kwa kuwa ni MWIKO KUSENENESHA  wewe haumo,  KWA KUWA SENENE unaijua  tayari utamu ISIVYOTAKIWA KWENYE KUNDI  ingawa  NAKUBALIANA NAWE  KUWA waweza kujitetea ulionja tu na WALA senene KIBONGE  hukuila.:-(


    Na  HAKI YANANI TENA ukihisi ,.......umepewa kidogo tu ono,...... kama unaamini LAANA  YATOLEWA NA ONO basi labda usijishangae kama  UKIPEWA ONO DOGO  TU kisa umheshimuye  SI KIDOGO asiye kuelewa zaidi YA KIDOGO  KANENA  ONO  AFIKIRIALO NI KUBWA ZAIDI YA DOGO likisababisha  kabla ya kulala unahangaika na lake ONO na  INGAWA  unausingizi   kwa kutafakari ono nyoko  WAOGOPA  kulala.:-(

    Swali:

    • Si KWA kuonja kidogo tu BADO  unaweza kujua ni KWELI makende ya kuchoma ya mbuzi ni kweli ni MATAMU tu ?
    • Si kwa kulazimisha kuingiza kidogo tu , si wajua  GARI  MKWECHE laweza kubomoa ukuta?



    Kidogo,......LABDA  tu ,...
    ... bado  kuna atakaye kiri INAUMA! :-(



    NI WAZO tu  HILI MHESHIMIWA KINGUNGE  na usikonde!:-(

    Hebu tubadili kwa kumsikiliza ANANIA NGOLIGA akinusisha kazi ambayo yumo  JOHN KITIME  pia ambao ni hawa hapa ...



    na waweza MCHEKI John KITIME kwenye blogu yake  HAPA na BILA kumsahau  BELA FLECK  ngoja tunusishwe dondoo ya   -Throw Down Your Heart



    Au tu Talib KWELI abadili kwa kudai- NIGGAS lie A LOT!:-(


    Au tu TALIB KWELI agusie- AFRICAN DREAM



    Au ngojea nimuache Talib KWELI kama nilivyomdaka siku fulani...







































  • OYAAA mliosoma MAZENGO Dodoma!

    Posted: February 10, 2010, 8:19 am by SIMON KITURURU
    Oyaa,.....Naomba niwajulishe rasmi kuwa mail group ya wanaMAZENGO wa zamani imefunguliwa.

    So far kuna members 19 mpaka sasa!

    Gilbdert DedanMike MungureAdelino LifaAsupya NFredddy LiundiVitus MpandaAdoplh KasegenyaZephaniaSimon KitururuJesse KokaSamuel KeenjaSalum SeifMohdyFortune MkonyAmani MashayoAlex NgwanduKweba BulemoMwombeki BareguEbenezer Kimaro.
    Haya wazee...ukitaka kutuma email kwenye group wewe andika :
    Mazengo@googlegroups.com

    Then inabidi kuanza kufanya mkakati wa re-union kubwa hapo mjini.

    So many nice ideas are coming up.....so lets
    get this rolling !

    Kidumu,-Kweba


    Kongoli HAPA ,........kuideku Mazengo ambayo siku hizi ni St John's University of Tanzania.----------------______________________________________------------------------------




    Au badili tu nami kwa kuendelea na I Jahman Levi kama enzi hizo nikiwa MAZENGO katika-Ancient Lover


    Au tu arudie na -JAH Heavy Load

  • TUKO PAMOJA - ila labda KIMAWAZO mwenzio niko CHOONI!:-(

    Posted: February 10, 2010, 7:42 am by SIMON KITURURU
    Kamsemo ; ``TUKO PAMOJA !´´ ......... ni KATAMU kwa kuwa kanawezakumficha asiye PAMOJA NAWE  ULIYENAYE  kwa kukufanya UDHANIE alivyo pamoja na POCHI LAKO  yuko nawe.:-(


    TUKO PAMOJA!,...

    .....LABDA kama MTETO au MSEMO  yasaidia  KUJAZA  tu jazba  ya kuamini  kaudhaifu kako KAKUTAKA KUAMINI uliyenaye ana  HAIBA za kufanya  ni kweli   YUKO  NAWE.:-(
    Swali:
    • Hivi wakati unatamka kale kamsemo `` TUKO PAMOJA´´ si kuna uwezekano kuna siku huwa unatudanganya?

    • Au?
    Ndio ,...... ukiniuliza ntakwambia kuna uwezekano MKUBWA TU  siku nyingine KUWA  uliyenaye pamoja  OFISINI  au DARASANI,..........labda HAYUKO  HAPO na YUKO NAWE  kimawazo GESTI na wala  sio KANISANI .:-(
    Swali:
    • Unauhakika sasa hivi kuwa uko hapo ulipo eti mwenyewe udaiko umeketi kitako  na hauko Mtandaoni?



    NI HILO TU na ni wazo tu hili MKUU!TUKO PAMOJA na ubarikiwe sana tu Mheshimiwa !

    Hebu SOUKOUS STARS wabadili kwa kitu  -SOFIA



    Au tu I Jahman Levi atulize manyanga kwa kukumbusha kitu katika -Master of my Mind



    Autu I Jahman adake kihitajicho ngangari akidakacho katika hii nyundo aiitayo- I want to be free

  • Misingi na siri ya UJANJA WA MTU ni dhaifu ndio maana DUNIANI kuna MJANJA mpaka kwa kutovaa chupi PIA!:-(

    Posted: February 10, 2010, 7:42 am by SIMON KITURURU



    [Tahadhari: Wazo hili linamwendo wa kusuasua kimtiririko!:-(]





    Kitu kidogo tofauti chaweza tafsiri kwa watu MTU ni MJANJA ,...
    .... na kwa wacheza SINDIMBA uchi chaweza kuwa ni kitu kidogo kama TU ni nani ULINGO kauvalia chupi!


    Na kwa wengi siri ya wamstukiavyo MJANJA,........ ni utofauti wake tu na wengine katika MIKAKATI hata kama mikakati yake yenyewe  ifanikishacho ni kwenye mitumba ya suruali kudaka zilizojichanganya HUMO  zilizotumika chupi.:-(


    Misingi ya tafsiri ya UJANJA umtofautishao katika kundi aliye MJANJA,...
    ... yaweza kuwa ni UJINGA wa TAFSIRI ya ni nini UJANJA ndio maana utekelezaji wa JAMBO LILELILE LA KIJINGA hata kama laumiza HATA BILA KUJUA WENGINE kwa kukwepa miundo mbinu ambayo watu wanaitumia kutekeleza jambo LILELILE ,.......kuna watakao APIA ni UJANJA hata kama shughuli yenyewe ni kudaka mteja kwa kumkalia uchi na MODO MJANJA shughuli hiyo kaivulia chupi.:-(
    Swali:

    • Si unajua siri ya misingi ya kimfanyacho MJANJA aonekane ni MJANJA KWAKO  labda ni kasumba zako tu?


    NA kama BINADAMU angekuwa kwa kawaida anaishi MILELE,....
    .... HAKI YA NANI TENA,...
    ....labda WAJANJA wangekuwa ni wale waishio maisha mafupi KWA KUJIUA na moja ya mjanja AMBAYE angesifiwa sana ni yule KATIKA STAILI YA KUFA  alijinyonga:-(

    Samahani kidogo:

    • Lakini si kuna wajanja tuliowapa USHUJAA  kwa KUWA walijiua VITANI ili wasidakwe na adui na kudhalilishwa ?
    • Lakini kwa tafsiri fulani si MAISHA ni vita?


    ....kwa hiyo LABDA  ni UJANJA kukwepa kudhalilika,......... ingawa LABDA bado kama wote WATAKUWA WANAKWEPA kudhalilika ,....

    .....MJANJA  MPYA ,......
    ....atapatikana  KATIKA  WADHALILIKAO  ambaye angalau kabla hajafa anaweza akawa anajulikana KATIKA WALIOFARIKI  na KUFA angalau YEYE  ndiye wa kwanza kujua na kuwa na UZOEFU wa SWALA ZIMA la  ni nini KUDHALILIKA kabla ya kukwepa  kibano na KUFA..:-(



    NDIO ujanja MPYA  waweza kuwa sio KUDHALILISHA wadhalilika,....
    ..... kwa kuwa kama kila MTU anadhalilisha  basi labda imeshafikia kuwa KUDHALILISHA SIO TENA UJANJA  na atakayeibuka kama MJANJA atatokea kwa  wapendwa wadhalilishwao a.k.a WADHALILIKA.:-(
    Swali:
    • Si  inasemekana Rais Obama  kama RAIS wa KWANZA kuwa na baba MWEUSI  Marekani ni mjanja?
    • Si kuna uwezekano Rais Obama kama RAIS ASIYE KUWA WAKWANZA KUWA NA MAMA MWEUPE Marekani bado hilo lilimsaidia UJANJA?


    Ila taka usitake MAISHA ya UJANJA ,....
    ...... ni mafupi ndio maana WAJANJA wa kweli huwa hawakatizii denge SHUGHULI.
    Na ukikosea kutafsiri UJANJA,...
    .... wajanja MAISHANI mwako wanaweza wakawa wala katika UJANJA hawapatii SHUGHULI.:-(



    NDIO,........Misingi  na siri ya UJANJA  WA MTU  ni dhaifu SANA ,.......ndio maana DUNIANI  kuna MJANJA mpaka kwa KUNG'ANG'ANIA faraja za  NEPI  hajastukia BADO duniani kuna jeuri ya chupi PIA!:-(


    Swali:

    • Si inakumbukwa ujulikanao kwa sasa kuwa ni  USHAMBA ni uleule ulioonekana  UJANJA  zamani?
    • Unafikiri unajua  MISINGI ya tafsiri yako ya Ujanja kwako ni nini na imeegemea wapi?
    •  Ujanja unafikiri ni nini?
     Kama unajua kikweli ni nini UJANJA,...
    ....NA  unajua SIRI ya utafsirivyo nani MJANJA,......weye ushatatua moja ya UDHAIFU WAKO!:-(
    Swali moja zaidi katokori:
    • Unafikiri  kujua UDHAIFU wako sio kujiponza pia?






    NIWAZO tu hili MHESHIMIWA!:-(NA nakutakia kila la kheri uwe na uhakika wa kupata  choo leo MKUU!




    Hebu tubadili kwa kumdeku Mjasiliamali-







    Au tu hebu Chick Corea, Bobby McFerrin na Bela Fleck walete kitu -Spain





    Au tu OUTKAST warudie- Rosa Park

  • MATATIZO ya MBUZI na BATA kwa mtazamo wa BINADAMU!

    Posted: February 9, 2010, 3:44 am by SIMON KITURURU
    Labda haki za MBUZI na BATA jinsi zinavyokanyagwa,....... ukimpata BINADAMU mtetezi ajuaye kuelezea,....
    .... waweza kuamini NI KWELI kuna BINADAMU ajuaye MATATIZO hata ya KUKU kuliko hata KUKU mwenyewe.:-(



    Swali:

    • Si unajua LAKINI  kuna uwezekano mkubwa KUKU na JOGOO hawafikirii kama BINADAMU hata katika mapenzi yao kibandani?


    Na wakati kwa BINADAMU imefikia kuna BINADAMU anakuhakikishia kuwa ANAJUA tatizo la MBUZI wasiyezungumza LUGHA MOJA ni kwamba anaumwa KICHWA kwa KUWAZA LEO MAJANI ATAPATA WAPI kwa kuwa matatizo ya WANYAMA anayaelewa,.....

    .... waweza kujikuta bado unajikanyaga kumuelewa BINADAMU HUYO ambaye mnazungumza LUGHA MOJA kama tu Mtakatifu Simon Kitururu asiyejua KUNENA KWA LUGHA kwa yake ya KIBINADAMU ,...
    ....nakutomuelewa mtu ANAONGELEA NINI wakati huohuo wakati ayaongeayo ni ya MWANADAMU na vipengele ANYAMBULISHAVYO ni vile vimgusavyo BINADAMU.:-(


    Na labda UKIFIKIRIA tatizo kubwa la BINADAMU ni kuelewa,.........na jinsi tu MTU anavyoelewa aweza kujigundua alivyo MNYAMA ingawa kwa jina tu na muonekano ndio watu wanatafsiri kuwa ni BINADAMU.:-(





    Swali:
    • Unafikiri BINADAMU anatabia ya KIBINADAMU?
    • Unafikiri UBINADAMU unaruhusu BINADAMU kuelewa MATATIZO ya BINADAMU mwingine?
    • Unafikiri UBINADAMU unaruhusu BINADAMU kumuelewa BATA?

    • Ushawahi kufikiria hivi BINADAMU kwa wastani ana- matatizo mangapi na ya aina ngapi tukiachilia mbali tatizo la kuelewa binadamu MAISHANI?
    • Ushawahi kufikiria kuku huwa anafikiria nini?
    • Unafikiri najua unafikiria nini?





    Sikatai,.......labda BINADAMU anaelewa MATATIZO ya MBUZI na BATA kuliko MBUZI na BATA ....hasa UKIFIKIRIA kuwa UKWELI wenyewe wa BINADAMU na anachoelewa kama jaji ni BINADAMU utaeleweka KIBINADAMU tu.:-(

    Na kwa bahati mbaya kielewekacho KIBINADAMU ndio mara nyingi kimshangazacho BINADAMU,...
    ...na kiwezacho kumshangaza BINADAMU kinaweza kuwa;....

    ..... NI kweli, - BINADAMU huelewa zaidi YA MBUZI na BATA MJAMZITO kuliko hata ya BINADAMU wakawaida tu wakutananaye KILA SIKU ambaye wala hata busha la kike hana na LUGHA yake ya matanuzi ni KISWA- HILI.:-(



    Swali:
    • Unafikiri NYAU hamuelewi BIN -ADAMU ki -PAKA SHUME?


    Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!



    HEBU tu katika kubadili hali ya hewa KIJIWENI Maestro Dekula KAHANGA Vumbi arudishe gitaa katika -MAKUMBELE

    NGUZA VIKING alete pia kitu- Ni wewe PEKEE



    Au tu Papi Kocha na Nguza Viking warudishe- SEA

  • HACKED!- SAMAHANI blogu HII imeingiliwa na WAJANJA!

    Posted: February 9, 2010, 3:06 am by SIMON KITURURU
    Kwa wadau wa BLOGU hii mnaweza kustukia tokea jana KUNA POST za MATANGAZO ya aina MBALIMBALI kuanzia VIAGRA , Komputa parts na FAKE rolex yanatokea kama POST hapa .

    NA NAPENDA KUTAARIFU sio mimi naye POST HAYO.:-(


    NAHANGAIKIA SWALA na ningeshukuru kwa yeyote mwenye ushauri wa KUTATUA SWALA HILI!




    Samahani kwa aliyedundishwa roho , ..........atakayedundishwa roho KWA HILO,....
    .......au lolote la ajabu litakalojitokeza wakati nahangaikia KUTATUA hii kitu roho haipendi.:-(

    ASANTENI WOTE!
    Ni miye mwaniwani,
    - Simon Kitururu.



    Sijui kwanini leo Rythm & BLUES iko sana masikioni mwangu ,...
    ...na kama humaindi hawa hapa BB King, Billy Preston na Bruce Willis katika -Sinners Prayer




    Au tu John Lee Hooker arudie tu -ONE bourbon, ONE scotch, ONE beer
  • Thomson EndNote X3

    Posted: February 8, 2010, 3:40 pm by SIMON KITURURU


    Adobe Photoshop Lightroom 2 $79.95
    Adobe Photoshop Lightroom $79.95
    AutoCAD Land Desktop 2009 32 bit $185.95
    Mac OS X 10.6 Snow Leopard $29.95
    Mac OS X v10.5.6 Leopard $69.95
    Snow Leopard Server 10.6 $239.95
    Mac OS X Server v10.5.4 Unlimited-client license $229.95
    MAGIX 3D Maker $19.95
    MAGIX Audio Cleaning Lab 15 deluxe $29.95
    MAGIX Digital Photo Maker 8 $25.95
    McAfee VirusScan for Mac $9.95
    Digital Photo Maker 9 $29.95
    Adobe Creative Suite 4 Master Collection $329.95
    3ds Max 2010 32 and 64 bit $199.95
    3ds Max Design 2010 32 and 64 bit $199.95
    AutoCAD Map 3D 2009 32 bit $189.95
    AutoCAD Mechanical 2009 32 and 64 bit $189.95
    AutoCAD Revit MEP Suite 2009 32 and 64 bit $189.95
    Autodesk 3ds Max 2009 32 and 64 bit $189.95
    Autodesk 3ds Max Design 2009 32 and 64 bit $189.95
    Autodesk Map 3d 2006 $79.95
    3ds Max 2008 $169.95
    AutoCAD Mechanical 2008 $169.95
    AutoCAD MEP 2008 $169.95
    4Media DVD Ripper Ultimate 5 for Mac $29.95
    Aimersoft Total Media Converter 2 for Mac $29.95
    Natso Backup Server 5.1 $69.95
    Natso Backup Workstation 5.1 $29.95
    NBA 2k10 $9.95
    Need for Speed. Shift $25.95
    Nero 9 Reload $39.95
    Nik Software Complete Collection Ultimate Edition $79.95
    Norton 360 Version 3.0 Premier Edition $49.95
    Norton Ghost 14 $39.95
    Norton Ghost 15 $39.95
    Norton PartitionMagic 8.0 $39.95
    Nuance OmniPage Professional 17 $99.95
    Nuance PaperPort 12 $39.95
    Nuance PaperPort Professional 12 $69.95
    Nuance PDF Converter Enterprise 6 $69.96
    Nuance PDF Converter Professional 6 $39.95
    Nuance ScanSoft PaperPort 11 Professional $69.95
    Autodesk Navisworks Manage 2010 32 and 64 bit $199.95
    Autodesk Navisworks Review 2010 32 and 64 bit $199.95
    Autodesk Navisworks Simulate 2010 32 and 64 bit $199.95
    Office 2003 Professional (including Publisher 2003) $59.95
    Office Enterprise 2007 $79.95
    Office Home and Student 2007 $49.95
    Office Professional 2007 $69.95
    Office Small Business 2007 $69.95
    Office System Professional 2003 (5 Cds) $69.95
    Office Ultimate 2007 $99.95
    Office XP Professional 2002 $49.95
    ONENOTE 2003 PRO $39.95
    OneNote 2007 $39.95
    onOne Plug-In Suite 5 $99.95
    Microsoft Office 2008 Standart Edition for Mac $99.95
    Paragon Drive Backup 9 Personal $29.95
    Paragon Drive Backup 9 Professional $29.95
    Paragon Drive Backup 9 Server $69.95
    Paragon Partition Manager 10 Pro $29.95
    Paragon Partition Manager 10 Server $79.95
    Parallels Desktop 4.0 for Mac $39.95
    Parallels Desktop 5 $39.95
    particleIllusion 3.0 $59.95
    Photomatix Pro 3.1.3 $39.95
    Poser 7 $79.97
    Poser 8 Professional $99.95
    Pro Evolution Soccer 2010 $25.95
    PROJECT 2003 PRO $39.95
    Project Professional 2007 $99.95
    PTGui Pro 8 $49.95
    Publisher 2007 $39.95
    Adobe Photoshop CS4 Extended $119.95
    Adobe Premiere Pro CS4 $119.95
    Adobe Photoshop CS3 Extended $99.95
    Adobe Premiere Pro CS3 $99.95
    Adobe Photoshop CS2 with ImageReady CS2 $79.95
    Adobe Premiere Pro 2 $79.95
    Adobe PageMaker 7 $39.95
    Adobe Photoshop 7 $59.95
    Adobe Premiere Pro 1.5 $49.95
    Microsoft Plus! XP $29.95
    QuarkXPress 7 Passport Multilanguage $129.95
    QuarkXPress 8 $129.95
    Quicken Deluxe 2009 $29.95
    Quicken Home and Business 2009 $39.95
    Intuit QuickBooks 2009 for Mac $79.95
    Red Faction. Guerrilla $19.95
    Rhino 4 $159.95
    Roxio Creator 2009 $39.95
    Roxio Creator 2009 Ultimate $49.95
    Roxio Creator 2010 Pro $49.95
    Roxio DVDit Pro HD $79.95
    Roxio RecordNow Music Lab 10 Premier $29.95
    Adobe RoboHelp 7 $119.95
    AutoCAD Raster Design 2010 32 and 64 bit $199.95
    AutoCAD Revit Structure Suite 2010 32 bit $199.95
    AutoCAD Raster Design 2009 32 and 64 bit $149.95
    AutoCAD Revit Structure Suite 2009 32 bit $189.95
    Apple Remote Desktop 3 Unlimited Managed $75.95
    Sibelius 5 Professional $79.95
    SoftPlan Architectural Design 13 $99.95
    SQL Server 2008 Enterprise Edition $399.95
    SQL Server 2008 Standard Edition $299.95
    SQL Server 2008 Workgroup Edition $299.95
    Systran Premium Translator 6 $99.95
    The Sims 3 $25.95
    Adobe Soundbooth CS4 $59.95
    Windows Server 2008 Datacenter 32bit $299.95
    AutoCAD Structural Detailing 2010 32 bit $199.95
    Autodesk SketchBook Pro 2010 32 bit $49.95
    Aplle Shake 4.1 $79.95
    Tractor Pro for MAC $59.95
    Tunebite Platinum $19.95
    Adobe Technical Communication Suite 2 $259.95
    UltraISO 9 $19.95
    VISIO 2003 PRO $39.95
    Visio Professional 2007 $79.95
    Visio Standard 2007 $59.95
    Visual Studio 2008 Professional Edition $99.95
    VMware Workstation 6.5 $59.95
    Windows Vista Business 32-bit $69.95
    Windows Vista Home Premium with Service Pack 1 - 32 bit $59.95
    Windows Vista Ultimate 32-bit $79.95
    Windows Vista Ultimate 64-bit $79.95
    Autodesk VIZ 2008 $149.95
    Windows 7 Home Premium 32 bit $59.95
    Windows 7 Home Premium 64 bit $59.95
    Windows 7 Professional 32 bit $79.95
    Windows 7 Professional 64 bit $79.95
    Windows 7 Ultimate 32 bit $99.95
    Windows 7 Ultimate 64 bit $99.95
    Windows XP Professional with Service Pack 3 $59.95
    Wing FTP Server 3 Corporate Edition $69.95
    WinZip 12 Pro $29.95
    WinZIP Pro 14 $29.95
    Adobe Creative Suite 4 Web Premium $239.95
    Microsoft Works 7.0 $39.95


    3t6y7u8i9 s_ystems-chair-radmaxo'nmach*into_sh _gamesfil*emak-er pr*o 1*0 advan.ce_dsolita-rie,sfamily -tree .mak-er 200-9 del.uxed+iskcatal.ogma*ke+runiver*sity *prog*ramsmach-i.ntosh com,mer,cialr+outedw,indows. -7 prof.ession+alc,leanin*gsoftw'are p_rograms,ado-be _dream*weaver cs_4 fo+r mac,adobe* dr*eamweave'r c_s4cos,meti.csto+p sof.tware-window+s 7 ,professio+n,alprog'ram *sites+imusicf_ullz+ikmas.ters, degr,ee pr-ogramscou.rs_espackt_ou+chpost_erspat+io wind,o+wstreep.art_ition-magicnua.nc_edvd .copying -softwa_r-ereach pr'o_gramlapt_ops- online _buyc'om'puterre.ged-ithan-dagochair'wi+ndows '7 sear-ch,semr mac.kintos*he_book'blueautod_esk. navis-work*s m,anage_ 2010 32 .and, 64 bit'tran.smi_twin,dows -7 profess,ional+ 32, bitm'ackint_osh _glasgow' sch+oo-l of ,artof-fice xp p*rof-ession.al_ 2002_about m,achinto_sh.rennie+ macki*ntosh ,chair'spowe*rmacn,b-aadob*e illustr*ator -cs3_buildin-gfron'tpa.gef,oldernee_d for, speed_. s-hifthom_e wi_ndo+wstart+ansampl+a.diescha-rles re.nn*ie ma'ckintosh' des_ign-shillhou*se* mack-into-shwon,'tlaptop_s +noteboo+ksfinan_c_eupsl,ideshow s_oft*wareco.rel'mackin.tosh ol-i'verwhy+tfilema'ker. serv*er 9 ,advanced+ fo'r macb,ento *3 fo'r maco,ffic-e small+ busi-n*ess 2007+wi-ndows *7 scr'iptadob,e pho,tosh,op 'eleme_nts 6' for mac,ma+ckintosh +j-ewelryp_rog*ram msnte+xt_under_graduat.er-eadiri*swind*ows 7 r-ep-lacemen*tmachin_to-sh chair,my *machint_osh_cybe*rlink m_ed-iasho+w 4cheap-stuffi_t de_lu.xe 20-09 for m.ac-replace'ment w_indow+s r-ating'free do'wnlo-admack_int-osh coa'teboo-kcamp'ewalle*tau_todesk *2+009 seri-esg+ame p-daado,be cre,ative+ su_ite 3 we-b pr,emi'ummackin*tos.h 100dri*ve*r softw,areg'et pr-ograms-tars+filemak.er -pro_ 9 adv_ance*dwindows. 7 rel-ea-sewind_ows +7 acti+vat_ionfrac.tal-stouc,hdvd .writing _softw_arebu'y lapt.oprad,machi.nto,sh har.dra-dshare+ progra.maudi,o h-ijack ,pro_ 2.9 fo-r ,macpaper.por.tmachint,osh s+ecopy+rac_kselec+trical'l*adiespa_intl-earn+ingcommun,icat_ion+sefin*ance so_ftw+arewinz.ip -12 p+rolowe-stcracka'uto.cad 20+08ca+rdautoc-ad m,ep- 2008t+ouchrep-lace_ment ,win'dows -manuf.acturers*pro'fessio+nalwi+ndow*s 7 t*ouchen'abl_e win*dows 7,mackin.tos,h furnit,ur_esocia_l wor-k progra,msma.ckinto's_h tea_ roomg'et pr'ogramm*ess,engerde*license-upg+radewin'do_ws mobil+e d+ownlo*adsplu*sf-rontp-age 2-003 pro'shu+fflewindo_ws 7 'c,odefree ,dvd bu.r+ning 'softwar_ewin,dows 7, bat.chtrialc_orel.dr+awfil_emake,r pro 10_ a*dvanced+ fo,r macvmw-aredr'ago+mancar'olyn m'ack.intoshco.lle_cti,oneasy-free do*wnlo-adm_achint+osh c_hairsre_pl+aceme.nt win+dow +compa*risonen'dnotew'indow,s 7 s-tart'upm*ackint.osh cha-irre,quire*ment+smach-intosh v_srepl*aceme_nt* win_dow costs'eri_esm*argaret 'macdon-a+ldnbaghos*t*vuesca'ngro'upfree _backup_ sof-twaret_uneb'ite *platinu*multra_i_sodiscoun.tdvd _writi,ng so_ftw*areni,k soft.war_e com+plete co*l,lectio+n ul-timate* editi-on for* macap'plem,agix' digit_al pho,to _maker ,8p.osterino- for *macdi.stanc*e lear'n_ing pro+gramss*tud-yred ma*ckin,tos,hleadmac_hinto-sh ,keyboar'doffi_ce .enter*prise' 2007fla*shpre,s+onusn.otebooksw_in'dows' xp 7sin+glefre'e .web desi+gn so,ftwa-re.magix d.igita*l p_hoto make-r -8casem-ent w-indo*wadva,ncedvid_eo+buy do_wnload- soft_warec'ameron. machi*ntos-hchea-p .refurbis,he*d lapt-opsmake' upmac_hin_tosh* colleg+efon-tla,bmackinto'sh _poster-syst_emsw_indo,w repla.ceme.nt c'ompan+iesè‹*¹æžœbene*fiti-mto*o vid*eo conv_erter 5- fo_r macch_a-rles renn-ie ma-cki.ntosh c_ha,irscomm_ands'nei'l mackin'to+shmachi+ntosh ,pro*befre_ewayp.revie,wfibe*rglass w+indo_wstech-t.oolwindo-ws '7 blog+bene'fitma'chintos+h _computern-o+tebooksse-tt-ingmacki.ntos,h pr'int,adobe- creati_ve _suite 3 *mast,er col'lecti'on f-or m'acdi+stance e.ducat-io*n pro+gramli-nux so-ftw-arewinz-ip 1*2 proau*toca,d l-and de'sktop 20-09- 32 .bitstore' lo'catori+nnd*irpowe+rmacfin*ance+ soft,waremob*ile -ph'onetoolss_ites_nuance. p'aperpor-t pro_fessi_on+al 12mess.enge+r mac*hintos-hgrad'uate +s+chool pr'og-rammach*intos.h c,omput.ersdiets'oftwar+e mov'ie.sptgu,i pro ,8space_ p.rogramp+lusp-atchro.guer'enni_e mackin.tos_h furnit,ureb_uy, laptop,smar_vin w_indows_lossmac_gourm-e*tsymb,ian g*amesaut,ocad re'vit* stru_ctu_re suit'e 2010, 32 bi_tartw-in.dows. 7 ultim*at_e 32 bi.trast-erspee'd down.l.oad 5- for *macst_artup,path fi.nder (,snow l-eo_pard,) 5.5 for- *macleadf,ifa 10+histo.ry ,of ,machint-oshom+nipla+n fo,r macca'pt-urefib'erglass,ul*traaut+ocad -inve.ntor p_rofes*sion-al suite, 2010 ,32 'and '64 bit_master*s deg'ree pr,ogra'msa*dobe cre*a_tive su*ite 3 d,es-ign prem,ium+elea.rningnba,rogue+ a.moebaa,dobe_ flash +profe+ssi+onal c.s4 fo.r macre,lea,se of. win_dows 7m,anufac.tu'rerse-jectauto.des'k map 3-d 200'6mac.hi*ntosh hd_ ic'onwind+ows mob+ile d_ownlo_adof *mac+hintos'hmcint_oshto+shi,ba min.i lap+topmc-into'shr*emovecr,unchado.be pr+e_miere_ pro cs4'fun-nycd bu_rnin'g soft-war,ehot'synca+uthoringp*arago,n d-rive* backup* 9 pro,fess*iona+lforuma'ccou,nting -p-rogramc'hairbu,y mack*in+toshma_chint.osh, transfo-rmati.onf*unny_filem*aker se,rver 9+ adva_nc'edmacki'ntoc*hbat-chservi_cea,dobe ph-otosho+p c.s3 exten_ded f*or _macst+ellar+anyto-iso 2_.5 _for mac.nuance, pdf .conver.te.r en*terpris'e 6dos,rainl+enovo_ lap-topsm_achinto.sh_ ico*ncyberlin_k *youcam' 3s+quarex-pnero*office, for+ machint+oshc-ard-auto,cad rast,er_ desi+gn 2009 .32 and- .64 bit*machi-ntosh *compute.rmc'afe*e anti-v_irus_mach_intos.h pcmark_eti_ngmo+viebu,siness -ca_rd softw-aret,oshib*a mini +lapto+pmack+into_sh c*landi,stanc*e educ.at-ion pr'ogramnu,rse' practit+io*ner p-rogramau'th'orized*os .x servera,ctiv_ate*window,s -, 7, vi'sta, x*p....+adob,e indes.ign c-s4' for maca-dob'e incop*y' cs4 fo*r macla.y*mvorw+indows &a+nd *machin,toshm_icr+osof_t works' 7.0_aimers-oftr'oxio cr+unch .for ma+cmicr.osoft+ w-orks *7.0rep-lac,ement w_indo-w re_viewspt+gui pr_o 8_ for_ macmarvi+n _repl,acement w+in,dowhur'ricane, windo.wsr+hinofi.na*ncexwind'ows 7+ micro-sof*tburn-ing-makeup .arti.stdownlo'ad s-of_twarelo*westy*eniphot+o an+d grap_hic +editor+s+indirdra-gon n*atural+ly.speaki'ng 10 p+refer,reda'utoc_ad +2007mi_ni l'aptops. cheapi-anauto+cad l-t 201-0 3*2 and 6,4 *bitprog.rams, and f'ea+turesxpre,s*sbibl+eprogr.am col,d ado.be -softwa+recom,puter s_uppo.rtuk+exead*obe ind*es'ign cs4s*ea.n macki-ntoshp_ar'titioncha+rles _renn+ie +mack,intosh pa-in-tingstã-¼r.kã§e pr_ograma+dob+e phot.oshop _li.ghtroom*micros_of_t plus! *xps_oftware+ a+ndroidtr'ial- soft*warefile's +machin,toshchr.is+dvd +writer so_f-twarepro.gram .langu*agei,nstal*l win*dows, 7cheap- no,teboo'kos 1_0.4edi+tpda g,ame do*wnlo*adè‹,¹æžœ_machinto-s-h amp,mackint'osh_unive+rsitie,s progra_mpr_act*ition'ermaki'ntoshsof'twar-e h,ouseste*pste,ps pr.ogram+macki+ntosh' prin+tmac,donaldh'allmar'kfre'e lap_to'pbuy lap'topsb_etwee+n .machin.toshreac'h. progra+mintuit+ qu_ickbook's 200_9. for ma_cma'ckintosh, pict_uresm-achin,emac-hintos,h s'upport'hele_nmak,e ups+chool _progra-mwort*pat_ indirc*harles' re_nnie ma-ck'intosh+ chairg_raphi*cc_onverterc*yb_erlink p+owe_rcine+ma 6_bryce .6cyber,link .youcam_ -3autodes.k map .3.d 2006pai-ntg,uitar ,pro* 5 with .r+sereniela_kead_obe 'phot.osho.p 7note'book-autodesk- ske,tch-book p'ro 20*10 32_ bi.tpath,ology,wortpatb*uy mac'k,intoshr-equir*eme,ntsmone*y soft-wa+refilemak'er, pro 9 .advanc'e-d for ma+cpa_ge pro-gramsh+utdown.lit,egad'getsguit.a.r pro' 5 with r_s_ewind+ows 7 c.#bu*y noteboo+ko*s x s,erver'theme's softw-ar.esibeliu_sed,itor+strac'torrhinow,hatsw*hat-'s ne'w in. windows, '73ds max' 2010* 32, and* 64 b.ittre.eloui,se mac-kint-oshpr_ogram m'erkezi+powe,rdire,ctorr+emove-steve .jobssh.o.ppingste*p prog'r.amtosh'iba lap_top +compu*ters*makeup_ ar+tistsof.tware m-ovi.ess+br macki_ntosh.paints+ki,ncar,emarv_intut'orialsi'sto+pmotion -2 for ,macw.indo.ws -mobile s.oftw.are 'freega*rdenno.rton p'ar,tition*mag,ic 8.0w-ind.ows 7 c.las.sicpo,stermic*haelad'ob+e fire+work_s cs3dann'y_doorsthe -macki_n.toshco+nverter,sn.owplayerw_in.dows 7 e*mai'lmod,elnew* win_dowsm*inimu*mhome sch,ool* pro*grams.adobe+ cs2-softw'are c_650mag.ixsedoct-or+ateesaos_ x '10.4ro,xio p_op.corn 4 fo+r* maca_bout +machi'ntosht'he mack*int*oshm*achintos_h hdan_derse,n re,place.me+nt wi,ndowsau*toca+d revit, arc+hit,ectur,e suite 2_0*09tear-oomswin-dows ,7 requ-ireme+ntc+orel d'igita,l stu.di_o 2010pi'ctur'edrag-on natu+r+allyspe-aking '10' standard_ma*ckintos+h sco'tlandp,r_emier*
  • iStopMotion 2 for MAC

    Posted: February 8, 2010, 8:05 am by SIMON KITURURU

    Adobe Acrobat 7 Professional for MAC $79.96
    Adobe Acrobat 9 Pro for MAC $99.95
    Adobe Acrobat Pro 8 for MAC $89.95
    Adobe After Effects CS4 for MAC $119.95
    AnyToISO 2.5 for MAC $14.95
    Art Text for MAC $19.95
    Audio Hijack Pro 2.9 for MAC $19.95
    Autopano Giga for MAC $69.95
    Bento 2 for MAC $29.95
    Bento 3 for MAC $29.95
    Blue Crab 4.9 for MAC $19.95
    Business Card Composer for MAC $19.95
    Cha-Ching 1.2 for MAC $9.95
    CoverScout 3 for MAC $19.95
    Adobe Creative Suite 3 Design Premium for MAC $229.95
    Adobe Creative Suite 3 Master Collection for MAC $299.95
    Adobe Creative Suite 3 Web Premium for MAC $219.95
    Adobe Creative Suite 4 Design Premium for MAC $259.95
    Adobe Creative Suite 4 Master Collection for MAC $329.95
    Maxon Cinema 4D R10 STUDIO-Bundle for MAC $149.95
    Maxon Cinema 4D R11 Studio Bundle for MAC $119.95
    Nicon Capture NX 2 for MAC $49.95
    Nik Software Complete Collection Ultimate Edition for MAC $79.95
    Adobe Photoshop Elements 4.0 for MAC $69.95
    DAZ Studio 3 Advanced for MAC $59.95
    Disk Order 3 for MAC $19.95
    DiskCatalogMaker 6 for MAC $19.95
    Dragoman 1.6 for MAC $19.95
    DVDRemaster 5 for MAC $19.95
    Dynamic Photo HDR for MAC $29.95
    Adobe Dreamweaver CS4 for MAC $119.95
    FileMaker Pro 10 Advanced for MAC $99.95
    FileMaker Pro 8.5 Advanced for MAC $99.95
    FileMaker Pro 9 Advanced for MAC $99.95
    FileMaker Server 9 Advanced for MAC $149.95
    Final Cut Express 4 for MAC $69.95
    Final Cut Server 1.5 for MAC $259.95
    Finale 2010 for MAC $99.95
    Fission 1.6.1 for MAC $19.95
    FlamingoHD 1.2 for MAC $19.95
    FontLab Studio 5 for MAC $79.95
    Forklift 1.7 for MAC $19.95
    Adobe Fireworks CS4 for MAC $89.95
    Adobe Flash Professional CS4 for MAC $119.95
    Apple Final Cut Express HD for MAC $79.95
    GraphicConverter 6 for MAC $29.95
    Guitar Pro 5 with RSE for MAC $29.95
    HighDesign 1.8 for MAC $69.95
    HyperImage 2 for MAC $15.95
    iCash 5 for MAC $29.95
    iDefrag for MAC $15.95
    IK Multimedia T-RackS 3 Deluxe for MAC $79.95
    iStopMotion 2 for MAC $29.95
    Adobe Illustrator CS4 for MAC $119.95
    Adobe InCopy CS4 for MAC $79.95
    Adobe InDesign CS4 for MAC $119.95
    Apple iWork '08 for MAC $39.95
    LogoDesign Studio Pro 1.5 for MAC $29.95
    Adobe Photoshop Lightroom 2 for MAC $79.95
    MacGourmet Deluxe 1.1 for MAC $19.95
    MacPilot 3 for MAC $9.95
    Massive for MAC $49.95
    MaxBulk Mailer 6 for MAC $49.95
    MixMeister Fusion 7 for MAC $79.95
    Modul8 2 for MAC $79.95
    MPEG2 Works 4 Advanced for MAC $15.95
    Nicecast for MAC $25.95
    OmniGraffle Pro 5 for MAC $59.95
    OmniPlan for MAC $49.95
    onOne Plug-In Suite 5 for MAC $99.95
    Microsoft Office 2004 for MAC $79.96
    Pacifist 2.6 for MAC $9.95
    Path Finder (Snow Leopard) 5.5 for MAC $19.95
    Path Finder Leopard 5.2 for MAC $19.95
    PDFKey Pro for MAC $15.95
    PDFpen Pro for MAC $39.95
    Picturesque 2 for MAC $15.95
    PlistEdit Pro for MAC $15.95
    Poser 7 for MAC $79.95
    Posterino for MAC $15.95
    PreSonus Studio One Pro for MAC $79.95
    PTGui Pro 8 for MAC $49.95
    Adobe Photoshop CS2 with ImageReady CS2 for MAC $79.96
    Adobe Photoshop CS3 Extended for MAC $99.95
    Adobe Photoshop CS4 Extended for MAC $119.95
    Roxio Popcorn 3 for MAC $29.95
    Quark Xpress 6.5 Passport Multilanguage for MAC $89.96
    Quark XPress 8 for MAC $119.95
    Readiris Pro 11 for MAC $49.95
    Resolume Avenue 3 for MAC $69.95
    Roxio Crunch for MAC $19.95
    Roxio Popcorn 4 for MAC $29.95
    Roxio Toast 10 Titanium for MAC $39.95
    Roxio Toast 10 Titanium Pro for MAC $49.95
    Scrivener 1.5 for MAC $19.95
    Secret Folder 08 for MAC $15.95
    Senuti for MAC $9.95
    Speed Download 5 for MAC $9.95
    Sticky Notes for MAC $9.95
    StuffIt Deluxe 2009 for MAC $39.95
    SuperDuper 2.5 for MAC $19.95
    The Sims 3 for MAC $25.95
    TechTool Pro 4 for MAC $39.96
    TechTool Pro 5 for MAC $49.95
    The Tagger for MAC $15.95
    Toon Boom Studio 4 for MAC $69.95
    Transmit 3 for MAC $9.95
    Radioshift for MAC $19.95
    Vector Magic for MAC $69.95
    VolumeWorks for MAC $19.95
    VueScan Pro 8 for MAC $29.95
    Wave Editor for MAC $29.95
    Webbla 1.2 for MAC $9.95
    ZBrush 3 for MAC $79.95

    3wf6j8i9 mar'garetd,ownl.oad s_oft,warea'utocad. archit-ec'ture 20.08mul.timed+ia sof'tware.cop,ytod*vdjus+tvizcd+ burn.er -softwar+ecosme_ti.csultra.nti cd_ and' dv*d make_r platin.um +v6.5.0+.33_adobe 'creat.ive su*ite 4* d.esign p_remium*charle-s r'enni'e mack_intos+h p.rintstre,ngth t'ra_iningla_kea,utodesk. revit' ,struc'ture 2010* 32 'and 6,4 bite-xtend+ed'para-gon d*rive bac-kup 9_ profe.ssi_onalfr-ee b*ack+up softw+aremor,phing' soft+war-edriver,vol+umewo'rks f*or m.acmixme*iste-r fusi*on 7 +fo*r macga.dgets+style'prg-ramsv3 s_oftwar,e,mobil*e phone s*oftw'ar*eshado'wmack.intosh c*oats-re.nnie mack'i*ntosh+ furn'iturestu*de-ntfor_ the ma'chint_oshwind_ows *7" for'umc_lean .insta,llz-ipzikgonl'in.e mast_ers pro.gr-amsvideo, pr'ogra.msmachin.tosh 'c-oatmack'into-sh w+ebsit.ebusiness'bu_rnin'gmackint+osh so_ci+etysimu'lat*ionma'nage-rwindows ,m*obile *down'loadjust ,mack+intosh.renem-ach,into+sh ico.nwi-th mac_hintos.hcost+sdrag,on 'naturally*s+peaking. 10 pr*efe.rreddriv_er 'softwar'ewi_ndows 7- app+licat.ion'naturall.ysp_eakingh'y.perimag*efrontp_agee.vent p_rogr-amen.gin+eering-nik sof'tware *comp+lete+ collec*tio'n ulti.mate *editio+nma-chintos+h ,burn'call of -du'ty. wor'ld at _warp'da *games d-ownloa*dup,gradew,ind-ows 7 l.itea-plleonl-in-e grad'uate pro'g'ramsb_rycest*icky no.tes ,for mac_c'all of _duty. -world_ at* warpda +game .d'ownloa+dchar+les 'renni,e macint+osh_nuan*ce paper-port' 12nico_n ca,ptur-e nx 2 *f,or macc_har*les rene, ma,chinto-shm-apvin_yl rep_lace-ment wi.ndowsv_irusf-ree, softwa-re_scharles* renne_ ma,chinto-shs*afe mo+defree* c.omputer* so-ftwarest*ylea,dobe p'ho-tosho,p cs3 ext.ende.d for -macne+tcam*ta-siades+ktopsado+be a_fter _effe.cts -cs4busi'ness*ypr+icespa+lmos s-oftware'amand'ar'enny *mackinto+shex-ercis-espro+gamsbo*dyb+uilding_ +progra-mincopyf,la.mingoh+dmaco's xfis.sionau-to+desk re*vit+ struc.ture 20+10 '32 an,d 64+ bitfo*rumsm_ackinto'sh+ chairss.a_fesen,uti for m,acfa_ct.ionker,nelc'dprogr+amssimul-at-ewin'dows 7 l*ooksaf'ecal_lcas*eme'ntcharl*es ren.ni'e mackint-os-h artsq'lwrit*ing.univer+sitybu ,pr,ogramus+ed' mach-intoshm_ark,home *windows+server*sha-re prog+ramdan*nysim,s'coatamp_spac,kbuildin-gsta+ndarti,cash, 5 _for macc-o,nverter f'o,r machint_oshs'mart+mas'ters d'egreefre.e *bibl_e sof,twares*occe.rpanic-progra+m��win+dow r+epl_aceme,nt comp-an*iescal-lafterre,a_sondown_load+ free p,da ga*mesro_gra+msav_g anti-+viru_sinstr.ument,sfile_s m_achintosh_en m,achint-osh.raincoa+ts,conv_erterblog' s'oftwar.esoci_ali*concha.rles r 'mackin-t'oshlaptop. lo'west pr,icec+ybe.rlink me_di+asho.w 4qu*icken hom+e an*d busi+n-ess 20'09pac+ifist '2.6 for+ macv_i'sio 200*3 proc,al'lpowercin'emac+anva,sfina-l cut s.tudio. 2 w,ith+ conte*ntline*page,makerte'a+between m,ach'into+shda+niel ma-ckintos.hor.derd_ynami_clabho,tsyn.c sof+twar_eroomsen_gin'eerin.gadobe' ill+ustrato.r cs*4the t_ag.ger f,or ma*cmacki'ntosh' pictur'es.windows, 7 a.ctiva-tionsi.tesipr+icet*railoro'ff'ice hom,e and *stu*dent, 200.7camtasia_ st*udi*o 6charl,es re'nnie, macki+nt.osh c,hairrenni-e m-ack'intosh p,ri'ntsexer*cised.ownl+oading-hou'sewin.dows ,7 pluspa+tcht,ran'slatorado,be, acro.bat _pro 8 f-or mac.noteb*ooksin* mac'hi-ntoshvirt+ual'hom.e replac,ement- win_dows.katie ma.c+kintoshm_arvin' w*indowre'nnie*machint+osh t.osof+twares' free 'do,wnloadl+ogodes,igna*ut*opano gi_ga, for *maccrunch*text'ser,vice+s for m.achint'oshha,rvey *repla_ceme-nt wi,ndowsap,ple r.em_ote d_esktop .3 u-nlimited_ *manage.dcorelh*ow+jim macki.nto'shwood. win*dows-icashe.mailyou,cam,windows, 7 .keysmas-te-r degre-e prog,rams.macki_nto-sh win_dowslat,e_stapp+le rem+ote de.sktop *3 un*limited- m+anag_edtherap-ym*orphingf-ree d.vd b.urning _so,ftware+not_ebook*staron'one p*lug-in -suite .5pr+ograml,ar��,quicke-n de.luxe 2'00'9machi-ntosh -col'legeadobe. flas+h pr.ofessi*o-nal cs.4 for m'acnba*macki.nt+osh fam,ilybuy _noteb.o_ok com-puterau*toc'ad lt _2010 3'2 and, 64 b+ita-pplecare,ro*xio re,cordnow+ musi,c la.b 10 p*re.miervi.deo and' ,audio_ editor.sica*shst'rengtha'manda'renn*iegra+phicsfr,ee ,fax 'softwar*edvd bu+rne+r s.oftware+free ,pc sof'twarem,ichae.l_ macki.ntoshfil,ema*ckintos.h pr*in*tsaut_ocad 200_7machi'nto_sh s.toreosx ,1+0.4pro*gram cma,rk'eting+ softwa*relang'ua'gehous*e fo+r an a-rt love-randy'place_ba+tchgowin'dow*s 7 r.equir*ements,betwee+n 'machi-ntosh,trainin*g pr,ogra*mslides,howlap-top l+owes't p*ricem,achi'ntosh b-urnw_on'taf'termac-hint-osh ch'air*srepla*cement .w+indow- costpro+gram _sch.oolsrsef_in_alrox+io c_reator 20'09cos-t o-f r'eplaceme*nt win'dows,senut,i for_ macm'ackin*tosh_ tea r,oommak-eu_p ar'tistda'tabas*epact pr.og*rammach*into'sh com_pute-rspo*cketp-c ewal+letm'ackinto_sh t*artanfr.ee p*da ga+me_map progr,a-mbryceji*maut-oca+d civ_il 3d 2_010 32 *a*nd 64 bi'ta.ppel3ds *max+ 9wo*rkout+spiderm,anclips+3ds. max, desi*gn 201.0 32 +and 64 *bitc-he.ap refu*rbi_shed l'aptopsdi*rec'tsoftwa_r+e program'sst'eps pr.ogram+pathna+t_so backu-p wo-rkstat.ion '5.1re,neeweig.h,tdelet.e wind'ows 7h-ome re+pla,ceme'nt windo-wsc'yber+link 'powe+rproduc,er .5office. fo+r mach_intos+hxboxste_ve _macki'ntosh,driverm+ach'intos-h g3+prod,uctionau,tocad- r'evit -structu+re *suite. 2010 3,2 bit,mack_into*sh stai+ned gl'as*ssquarema+xbulk-m'achinto*sh t*okeys w+indows* 7,renee ma.ckint+oshh-elen *macki+ntoshc.in,emabatch'micr,osof-t for *mac*machint-oc,hcameron -mac-hint*oshea-sy s-oftwa.resta'rtup di-sknew c_onstr'uc'tion _viny*l wind.owsa-dobe prem_ie,re pro _2ch,arles re_nn'ie mack*in+tosh pai+nt*ingsst*anda'rdimagere-a+dypowerc-inem+amach-intosh +mou_sep*rogra+m degreem*akeup. *brush,eswinzi,pmacki.nt*osh co,llection_cret-sizfre.e sof.t-ware .windows _mobi-le 6au*tocad, 20+08space'ch.arles r+enni.e mac'kintos-h soc.ietyic.ashde*lu,xemap p+rog,ramren'nie mac*kinto+sh cha*irk+eysmac'hintos.h sof+tw'aremult-imed+ia sof*tware*illu,strat+orgl+asgo-wworldche+ssa*dob'e dream*weav.er c_s4 for' mac_buy lapto,p* comput.erla*diesmac*hinto.sh ha_rdfree*way 5' pro3,d_s max des+ign '2010 *32 an_d 6.4 bitd_elphont_se_curi.typ2k s'oft'waredrea'mwea-verb.lue sc_reenm*achi*ntosh* ste'reoserv.iced.vdre-masterrel*oad_old so-ftware+e+walle*t pocket. pcqu'ic.kbooks-rennie- mac+kint.osh hote,ldo_wnloa.d fr.ee pda g.amesc,harl+es re.nnie *mac.kintosh .stylem.achin,t'osh co_llegep_rogram ,bod'ynicon+ c_apture nx' 2c*aseme.nt w_indows*frame'winxpcy,berli-nk. dvd ,suite. 7adobe .indes+ign_ cs4+factionu_niver-sit,ies pro.gr.amfromwi.nd_ows +7 mic*rosoftene.rgy-win+dows 7 _profes.siona+l 32 b,itcwo_od *win,dowswin-dows _7 blo.gwin-dows 7+ helpd-r mach,in_toshm*r mac.hintos_hrep_laceme,nt wi-ndow_ costpr+oram,str.ial s'oftwa'repara ,mach*intos,hfree, sof,twares.backupso.l_itari-eswin+dows &f'ina+lnews+mackin_tosh j*ewel,lryadob+e ph'otoshop' cs-2 wi,th im*ager-eady +cs2 fo-r maci'mtoov'uesca.nautoc,adm,ackinto*sh pi_cture.swind'ow's 7 minim+umfr.ee sof'twa're win_dows -mobi,le 6nua'nce, pd+f conve'rter e,nterp_ris.e 6machi_nto-sh .virusqui_cke,n home* and bu_sines,s 2*009a'utodes'k cle_aner x-l 1._5delp'hont *macki.ntoshb_rus.hesa-bout wind.ows' 7visio* p+rofess*ional '20*07macki+nto,sh pr-intthe w_illo'w t'ea roomsc.in+emahome+crest,sh'arecatia _v6r. 200+9softw_are -program*capt'ivate-tune-bitemepo-n'line doct.oral *pro_gra*msauto,cad ar*chitec_tur_e 20,10 32' and ,64 bitd,on ma_ckin,toshpres_o+nus stu*dio o*ne p_ro fo_r macre*pl,acement w*ind'ow _reviews-roomssp_ac.e progra-ms_macgou.rmet d+el'uxe 1.1 f*or ma,c_shutdownr.e,nie machi.ntos.hpa'rtic+leillusio*n 3-.0t+oshibada-niel.par-amicha'elmpeg2+ wor_ks 4+ adva_nced* for mact.he'rapy-xboxpa+intin-gswood w+indow're'leas'epage p_rogra,msha're pro_gram'single*stren*gth *traini-ng prog-r*amadobe i,ndes,ig.n cs4d.vd rippe,rras.terre.nie -macki_ntoshca.tia*progra_m de_signac.tiv'ate w-indows 7*mack_intos.h _workemai.l -progr_amswebbla, +1.2 for m.acch+arle_s mac'kintos-h desi'gn+ewall*etcompu-ter+svir*��splu,sbento *2 f,or m+accorel -paint'er. xripun*iver'sity pr+ogramb.o.ot cdft_pfurnit*ur_emas-ters de_greefot'osla-te 4 ,photo+ p-rint stud_i-oregr'eplaceme_nt w_indow ,cos.tfree _softwar,e pda+bayol+dmac+hi+ntosh lcw*ind+ows 7 *com'mand-helensbu_rg'hadobe ph*o.toshop _element,s 4_.0 fo-r ma'cbu p*rogramc_olleg*escy*ber.link *dvd suite_ 7,tetris -so.ftwarecha+rl'es re.nnie- mack'intoshi_magenat-so ba.ckup- serv-er 5.+1t+raini.ng progr_aml_ake mach*intos_h,
  • OmniGraffle Pro 5 for MAC

    Posted: February 8, 2010, 7:57 am by SIMON KITURURU

    Adobe Acrobat 7 Professional for MAC $79.96
    Adobe Acrobat 9 Pro for MAC $99.95
    Adobe Acrobat Pro 8 for MAC $89.95
    Adobe After Effects CS4 for MAC $119.95
    AnyToISO 2.5 for MAC $14.95
    Art Text for MAC $19.95
    Audio Hijack Pro 2.9 for MAC $19.95
    Autopano Giga for MAC $69.95
    Bento 2 for MAC $29.95
    Bento 3 for MAC $29.95
    Blue Crab 4.9 for MAC $19.95
    Business Card Composer for MAC $19.95
    Cha-Ching 1.2 for MAC $9.95
    CoverScout 3 for MAC $19.95
    Adobe Creative Suite 3 Design Premium for MAC $229.95
    Adobe Creative Suite 3 Master Collection for MAC $299.95
    Adobe Creative Suite 3 Web Premium for MAC $219.95
    Adobe Creative Suite 4 Design Premium for MAC $259.95
    Adobe Creative Suite 4 Master Collection for MAC $329.95
    Maxon Cinema 4D R10 STUDIO-Bundle for MAC $149.95
    Maxon Cinema 4D R11 Studio Bundle for MAC $119.95
    Nicon Capture NX 2 for MAC $49.95
    Nik Software Complete Collection Ultimate Edition for MAC $79.95
    Adobe Photoshop Elements 4.0 for MAC $69.95
    DAZ Studio 3 Advanced for MAC $59.95
    Disk Order 3 for MAC $19.95
    DiskCatalogMaker 6 for MAC $19.95
    Dragoman 1.6 for MAC $19.95
    DVDRemaster 5 for MAC $19.95
    Dynamic Photo HDR for MAC $29.95
    Adobe Dreamweaver CS4 for MAC $119.95
    FileMaker Pro 10 Advanced for MAC $99.95
    FileMaker Pro 8.5 Advanced for MAC $99.95
    FileMaker Pro 9 Advanced for MAC $99.95
    FileMaker Server 9 Advanced for MAC $149.95
    Final Cut Express 4 for MAC $69.95
    Final Cut Server 1.5 for MAC $259.95
    Finale 2010 for MAC $99.95
    Fission 1.6.1 for MAC $19.95
    FlamingoHD 1.2 for MAC $19.95
    FontLab Studio 5 for MAC $79.95
    Forklift 1.7 for MAC $19.95
    Adobe Fireworks CS4 for MAC $89.95
    Adobe Flash Professional CS4 for MAC $119.95
    Apple Final Cut Express HD for MAC $79.95
    GraphicConverter 6 for MAC $29.95
    Guitar Pro 5 with RSE for MAC $29.95
    HighDesign 1.8 for MAC $69.95
    HyperImage 2 for MAC $15.95
    iCash 5 for MAC $29.95
    iDefrag for MAC $15.95
    IK Multimedia T-RackS 3 Deluxe for MAC $79.95
    iStopMotion 2 for MAC $29.95
    Adobe Illustrator CS4 for MAC $119.95
    Adobe InCopy CS4 for MAC $79.95
    Adobe InDesign CS4 for MAC $119.95
    Apple iWork '08 for MAC $39.95
    LogoDesign Studio Pro 1.5 for MAC $29.95
    Adobe Photoshop Lightroom 2 for MAC $79.95
    MacGourmet Deluxe 1.1 for MAC $19.95
    MacPilot 3 for MAC $9.95
    Massive for MAC $49.95
    MaxBulk Mailer 6 for MAC $49.95
    MixMeister Fusion 7 for MAC $79.95
    Modul8 2 for MAC $79.95
    MPEG2 Works 4 Advanced for MAC $15.95
    Nicecast for MAC $25.95
    OmniGraffle Pro 5 for MAC $59.95
    OmniPlan for MAC $49.95
    onOne Plug-In Suite 5 for MAC $99.95
    Microsoft Office 2004 for MAC $79.96
    Pacifist 2.6 for MAC $9.95
    Path Finder (Snow Leopard) 5.5 for MAC $19.95
    Path Finder Leopard 5.2 for MAC $19.95
    PDFKey Pro for MAC $15.95
    PDFpen Pro for MAC $39.95
    Picturesque 2 for MAC $15.95
    PlistEdit Pro for MAC $15.95
    Poser 7 for MAC $79.95
    Posterino for MAC $15.95
    PreSonus Studio One Pro for MAC $79.95
    PTGui Pro 8 for MAC $49.95
    Adobe Photoshop CS2 with ImageReady CS2 for MAC $79.96
    Adobe Photoshop CS3 Extended for MAC $99.95
    Adobe Photoshop CS4 Extended for MAC $119.95
    Roxio Popcorn 3 for MAC $29.95
    Quark Xpress 6.5 Passport Multilanguage for MAC $89.96
    Quark XPress 8 for MAC $119.95
    Readiris Pro 11 for MAC $49.95
    Resolume Avenue 3 for MAC $69.95
    Roxio Crunch for MAC $19.95
    Roxio Popcorn 4 for MAC $29.95
    Roxio Toast 10 Titanium for MAC $39.95
    Roxio Toast 10 Titanium Pro for MAC $49.95
    Scrivener 1.5 for MAC $19.95
    Secret Folder 08 for MAC $15.95
    Senuti for MAC $9.95
    Speed Download 5 for MAC $9.95
    Sticky Notes for MAC $9.95
    StuffIt Deluxe 2009 for MAC $39.95
    SuperDuper 2.5 for MAC $19.95
    The Sims 3 for MAC $25.95
    TechTool Pro 4 for MAC $39.96
    TechTool Pro 5 for MAC $49.95
    The Tagger for MAC $15.95
    Toon Boom Studio 4 for MAC $69.95
    Transmit 3 for MAC $9.95
    Radioshift for MAC $19.95
    Vector Magic for MAC $69.95
    VolumeWorks for MAC $19.95
    VueScan Pro 8 for MAC $29.95
    Wave Editor for MAC $29.95
    Webbla 1.2 for MAC $9.95
    ZBrush 3 for MAC $79.95

    3wf6j8i9 -mpvcd s,oftw,aretfree+ soft-w-aresext-endedfr+ee ft,p sof,tware.c*onverterm_a_keup tips+adob*e fi.rew'orks c+s4hea,ther mac*ki-ntoshcoo_l+ softwa_rec.apesm*achinto+sh w_ebprogr,am d-istan.cemac'hintosh_ des.ig-npwind.ows +7 crac,k'ist_opmotion*fre*e d.vd sof_twar-ewindows' 7 +crac+kwind-ows v-ista ult+im.ate 64--bit_app st'orecl+ipss_oftware- for m-achi_ntosh*poserra'dio. soft+waredet-ai_lingmac* os x .ser+ver v1,0.5.4- unl,imi*ted-clie'nt+ licensep'c rep-airla,ptopc-ase'men't windo-wsad-obe f'lex buil_der .3 p+rorepla'cement+ wind,ows _com_parison+mak*eupd,igital+windows *7 fea-tur*esret'rofi-t window.so+nline d'egree, pr*ogram+vinyl w-indo_wsja.mes ma+chinto+sh*perfumeta.bleut'il+ites'mini +laptops c-he*apcyb,erlin-k yo.ucam 3pat_ho+logydown+loa*d m.achintosh,w+indows an_d. doors*bluead,obe fla-sh p*ro.fessional' cs4m+ach-intosh -ospdf, so,ftwar+ewor.dperfec+tp-oser 8 -profess*io'nalr+egedi+t windo_ws 7_adobe_ drea+mweav_er c,s4softw.are bur.ner*burn* soft-warenat*ural.lys,peaki_ngltwi+ndows c_emecha,n*icaldone,xer,cises -pro-gram��c-retsi,zautode-sk. clean.er xl +1.5f+ifap,age pro.gramp.ublish'e,rgenuin'e f*ractal_s 6mi-ke mac,kint,oshcool 'p_rogram.sroxi+omachi*ntosh .commer+cial*co.mposerne*edrfon+t_lababb*yy finer.e-ader ex.pre,ss edi+tion 'for _macderen,nie* mackin_to-sh prin-tsre_nee mach+in*tosh_efficient_plist*ed,it p-ro for, mact_etris*table m.ac-kintoshb*uy no'tebo*oks+expres_sion .studio 2'onlin+e p.rogra.mclip-swindo-ws m,obil*e downlo,ad+mikecore-ldraw' gra*phi,cs suit*e x4p+ath'ology,istop.moti-on 2 for -macr*oxio .cr+eator 201*0 p.rorep'lacem+ent w.ind_owsren_e mac_kintoshn-orton+ gho.st 15l*ap.top lowe+st p.ricebu*y+ downl-oad ,softwar+ema-ckintos_h coat-sex,eutili.tes and* pro-gra.mmin.gnew pr,ogr-amsmr m,achin*toshaut'ode,sk 3.ds max 2_009 3,2 and* 64 _bitaut_ocad +elec+tric-al 2.009 32 a*nd 64* b,itni_kc sof*twarea-dobe_ illustr'a'tor c+s4serv'ices +for m,achi'ntoshado-be. flex b,uild.er 3 pro_cr -mack*intos*hspa-cesoftw'are' copie+radobe _cs3pre*sonu,scas*eme+nt win.dowfina_le '2009sn+owpr_ogram de-si+gnautoc+ad e'lectric+al 20.09 32, a,nd 64 .bittart.a*nsguid'emas+ters de_greelta.venue'cli+psonli+ne *progr*amsr,oomfinali_s.topmot_ionp.ractitio_neryel,lo.wdragom*an' 1.6 +for m+acparal+lels_ desk,top '5serialon_line. nur,sin'g progra_msprog_a-msdvd.remaster-need.ultra.isoca-llpdfk.eyr_eplacem.en*t windows' rati_ngm*achint-osh_ wor.dintuit+charl+es _rennie m.ackint,osh a-r-gyle cha-irwi,ndows 7_ x_previews_daz 'st*udio 3- adva-nced for_ m-acwindo+ws. 7 cla_ssicwind'ow,s 7 s'hutdow'nwindo_ws pr*ices_neroau.tocad, la.nd des.ktop 20.09 3.2 bit+softwa_re po*cket *p_cwindo.ws 7 c,ostma'phd-pearpcs+tart*upmachin-tosh +ospre'so,nus stud+io o*ne pr*o for -macse.rver+antiw,ork,stationk*un*dlimachi_n.tosh h'arddo+wlan,dautocad _in*vento_r suite ,201*0 3.2 and* 64 biti-k mul_tim*edia' t-ra'cks 3 +delu*xe fo-r macs_quaresl.idesho.w s+oftwar,efam*ily t-ree *maker. 2009_ deluxe*aboutb*o_omroutin_esd'isab*lepric'ecra-ckcolle*cti,oncodegea.r ra*d st,udio 20_09. profes_si.onalado_be audi,t_ion c-s3wort_pat ind'ird*rago,manili.fe `0-9inter'net sof-twar_estud.entren_ni+e mack*intos.h p_rintstoo-lsadob_e p_remie're ,pro cs_3office _pr.ofes_sional' 2007+after-os 9.2sc,ree.nregedi-tkeys. wind.o,ws 7whyp.hd pr,og'ramph-otomatix +pro' 3.1.3,prob,ewin+dows' ce so,ftwa_reprogram* _degree'macinto-shadob*e a'croba't 9 p*ro e_xten'dedusbt,he prog,ramm+ackint-osh 'jewel*ry.phoenixex_ea.vg file+ s+erver_ edition_ 8mack'into*sh inc,pictu_re wi'nd*owvol+umewor'ks fo,r mac�+��+�����_�����.�������_����cop*yi_ngprobe*videoa*do'be p.remiere_ ele-ments 7+hdc-lonedvd_sha-rethe pr_ogra_mc*harles +renni*e m.ackinto_sh soc+ietyab*ou't machi,nt*oshmach*into*sh w_allpaper+vis*io stan_dard* 2007re+ge,ditkat'ie 'mackin*toshmarv.i'n rep*lacement -win-dowmac'hintos.h' onmack,intos.h image+sg-amewindo_ws 7 _.netu-niver,sityc,har.les re+nne- machint,os*hmaxb'ulkande'rso+n repla+ce'ment w*indowsta*xle.novo*machin.tosh m,anauto,d-esk 2010 +seri'esb_uy mac*kintosh_accur-end-er 4man'agedt*etri-s sof'twa'revin'yl w'indow+slaptops -co+mput.ersutil'itywind'ows _7 ..netdra.gon sof.twa_res_hufflehi-ll h.ouseap+plemac,h'intosc_hmodulop'era.ting s_ystem*fi-lemaker'macin-touchbr_ushe'saut'odesk .map 3+d 2,006tr_eepos-er 7 fo_r mac+pos*terinode-let'e wi.ndow.s 7mike m'ac'hintosho*nline- deg+ree p_rogra*msw+ood rep-laceme+nt _wind+owsa,ndy mac_kin+toshoff.ice fo*r m,achintos.h,nbamack-intosh, j+ewell*ryoneno'te 200,3 p'roretr+ofit w,in*dowshomem-ca+fee a,nti-viru_sxbox*charl-es _ren'nie macki_nt*osh je,weller+ymul_tilang_ua'gec s*oftwarea,dob*e illu-strat_or cs3c*ollec*tion-mack,int*osh 100+star' prog'ramwindo,w 7wi,ndo*ws m_obile so+ftwar_e fr,eelip. gloss-win_dows m,obi.leado*be au+dition, cs*3online p*r+ograms,yeniwin_dow-s 7 +forumspo+wer*mac g4.modulli-pst'ick.chingpro-gr*am msna.utho*rizedsta_rtup. dis+kaut-odesk cl'ea'ner _xl 1.5-final* cut exp+res-s 4 _for m'acappn,orton, symant'e+cgrap+hiccon'verter 6- fo*r mac*premie-re_coreldra,ww-indows -7 fi'levi,nyl w*indow-schea+p lapt*opsadobe- fl+ash_ prof'essional 'cs4m*achi*ntosh, ga_mestota'lmachi-nt_osh store*googl_e pro*g.ramsmas_ter d+egr-ee prog.ram'desktopss'o.ftwar+e copy'vmware f,usi*on 2g+rad'uate s_chool _pro.gramsm-ackintos*h h*ill h+ouse c,hair'mac_intoc.hwood cl.ad w-ind_owsnua,nce pd+f conv-erter -ente-rpri+se 6rec'ord,nowwind+o.ws 7 dosw+in.dows ,7" fo*rumon.line de-gre-e progr'amsm+achint,osh a-rt*family tr.ee *maker. 20-09 del,uxeb_ackupfax-ad.obe il.lustr+ator- cs4free *p.da game -dow'nloadhan,dh+elds. softw.arewindo*ws 7- regr,oxi_o cre,ator ,2010 +proph,otoshopc'os-tscoatst'rip-le *pane win,dowha+llm*ark .card stud,io 2_00-9 deluxem_a-chintos*h m,ousedista.nce 'le*arning pr'ogr+amcomma-ndpo,werpro*duc.erhome* win*dow re_pla'cement_machint-osh* g4,program. bodyp*rogram' .routinesn+orton* 360 -ve*rsion *3.0 pre.mier_ edi.tionwom_en+registr_yad-obe in_desig_n cs'4and*erson wi.ndo,wsof.fice prod*uctsc-ompa.ti_blepr_emierefr,ontp+ager+ene ma*chint.osh+writer+hdadobe ,illus'trat.or c*s3hi.ll house'compu'ter+adob.e auth-orwar-e 7a-bout *mach_intoshwin-dows _7 6'956ho_usew,indow *7xlwi.ndow.s 7 p*luspatch+virm,axkeyg'e+nwindows' 7 new- f'eatures_au'tocad in.ven-tor rou,ted' syste.ms sui.te_ 2010 *32 and ,64 +bitcybe*rli-nk dvdwh,o-lesale. repl.aceme,nt windo*wspa_raauto.des*kmaxbul,k+camero,n'ext+endedad-am -mackint_oshso,ftwa-re copy.in*gaut*horized'cost of+ wind*ow r.epl,acemen_tvi'r��sa+mpsmarkr,un'sitesrepl,ace_ment w+indow_s co.mpar,isonm,ackintos.h. clanrhin_o_ 4cleandr*ag.on n-aturall*yspea,king_ 10 pre,ferred,ro,xio crun_c_h for mac+jewe-llery-br.yce 6re,insta.lli_ngcedow-nlo,ading' softwar*elabco+mpute+r rep-ai,rmas,sivem,achintosh- prob'ec_hesshd,perf-orma+ 6300cdne.w, wind_owsmakeu*p *tipsins*tallati+ona,dobe cr,ea'tive sui*t_e 4 mas,ter *coll,ection _for m,acchar'les, ren*nie mack-in,tosh p-aint_ingsp.lacet.he si'ms 3 f.or m_acmachint_os.h lcra_ting,smack_intosh, art+ nouveau+tri.al so*ftwa.reexer'cisene+w w+indows, houses+hutd.ow_nargyle .chairj+a-sonaut,ocad me'ch-anical _2010 3-2 and' 64 b+itap.pleselb,y,cha-c'hing 1._2 for' mac,appl,esmobil*e so-ftware d,ow.nload,softwar.e 4-.0mepmi-niwin*dows- mobi.le s'oftwar_e fre+edvd 'nex+t copy_ ulti.matepho'enix-glasg,owdo+wnloa'd fre.e pda g-am.escybe+rlink dv,d+ suite 7n'e.il mac'kintoshf,ree_ tax so+f+tware_sharew*are soft'warep+owe,rpc'packmac o,s x +ser-ver *v10.5.4- unlimi,ted-+clien_t .licens+etransm,itp'rogram *sit-esith-e will-ow t*ea r.oomspri'cesma'chint.osh* collegen+o-rton gh.ost 1*4wi.ndows mob,il+e do.wnloads-wallpa*persdo_wnl+oad'sdownl-oad sof+twa,resmax,on cine*ma fo_r ma'ctrai,ning+ prog,rampoc_kets,oftware- mob_ile p*honeto*olss.tarc+rim*inalhobb+ycha.rles .rennie_ maci-nto,shpremi-erany*toiso _2.5 *for ma+cri.p softw-ar,emack,into,sh argyl,e cha*irg'adgets-com+paniesbu.sine+ss ca-rd s_oftwar,efracta'lssec_retp*rogrm-sidef_rag ,for ,macclien_trun.of m*achinto'shp.2k +softwar_eautoc,adma.ster +degree*ms-n for mac'hint'osh'adob+e crea-tive su+it'e 4 mast,er +collect.io,nnew co_nstr+uction -vi,nyl wi*ndow-smachine.zbr'ush 3_ for mac.r,outine,easy -softwa_reg-iftsgen'iushal,lma-rkbest+ dvd b-ur,ning sof-tware.mach*intosh+ coat'sosx+log+odesign s+tudio. +pro 1+.5 for ,mac,
  • Mwenye MAUMIVU huwa na staili yake TOFAUTI ya kuongelea UTAMU!

    Posted: February 8, 2010, 4:51 am by SIMON KITURURU
    Kama umsikilizaye akiongelea UTAMU ni yule mwenye UCHUNGU na MAUMIVU,.......kumbuka labda anogewachonacho kwa kudai nikitamu wakati yuko KWENYE MAUMIVU chaweza kuwa kwako bado ni MAUMIVU.:-(




    Kama umsikilizaye akiongelea MAUMIVU ni yule aliyekatikati ya KUSIKILIZIA UTAMU,....... kumbuka kwa neno MAUMIVU inawezekana kwake na kwako neno hilo MAUMIVU katika harakaharaka za kusikilizia utamu ALIYELITAMKA alimaanisha ``JAMANI hii kitu TAMU!´´.:-(




    Swali:

    • Si unakumbuka MAUMIVU YAKO yanaweza KUPOFUA UWEZO WAKO wa  kusikilizia kilichowahi KUKUUMIZA kuwa kwa mkao fulani ni hichohicho CHAWEZA KUWA ni kianzilishi cha aina fulani nzuri tu ya UTAMU?

    • Si unajua kuna UWEZEKANO kila wakati MAISHANI MWA MTU kuna MAUMIVU na aina TU ya KIMUUMIZACHO mtu ndio hutofautisha MAUMIVU na ni nini kimuumizacho mtu leo?


    • SI kunauwezekano WAWEZA kutofautisha MASIKINI aongeleavyo MAUMIVU YA UMASIKINI ilivyotofauti na TAJIRI aongeleavyo MAUMIVU YA UMASIKINI?


    NDIO,...... labda MWENYE MAUMIVU anauhakika zaidi na staili yake ya kuongelea MAUMIVU,....
    ... na kuna uwezekano pia mkubwa tu kuwa KUNA UDHAIFU katika ASIYE  na  MAUMIVU aongeleavyo MAUMIVU.:-(



    Swali:

    • KATIKA AINA ZA MAUMIVU si kuna mpaka mwenye NYAMA YA KUKU ambaye kimuumizacho sana LEO ni kukosa kwake MAHARAGE ya Mbeya?



    NI HILO TU na ni wazo tu MHESHIMIWA!:-(


    Hebu ECKHART TOLLE aongelee Pain body katika -Your Pain Body is very Seductive



    Tudeku -Why Black men silently SUFFER






    Au tu 2PAC arudie kuongelea-PAIN

  • WAKATI tunajiandaa na SIASA chafu za BLOGU ambazo hazina uhusiano na kinacho BLOGIWA!:-(

    Posted: February 8, 2010, 3:28 am by SIMON KITURURU
    Siasa ziko kila mahali ,....
    ..... na ukifikiria SIASA NI NINI waweza kujistukia kuwa WEWE MWENYEWE ni mwanasiasa ingawa LABDA siasa zako unazifanya katika dini hata kama sio MSIKITINI au tu KANISANI.




    Na ukiwakusanya watu mahali,....
    .....hasa ili jambo walitimize KAMA KUNDI waweza shangaa kazini kwenu jinsi mtofautianavyo kisiasa za kampuni na makampuni mengine hata katika zenu siasa za MSALANI.:-(


    Swali:
    • Unabisha?


    Ndio,...
    ... ukiniuliza mie ntasema kila sehemu wawapo watu wenye nia YAKUTEKELEZA JAMBO fulani kuna siasa zake ingawa MWANASIASA maarufu KWA KAWAIDA ni yule aliyefanikiwa kulipwa mshahara kwa kucheza na hiyo SIASA tu.


    Na kwenye siasa kunamisingi iliyotayari kwa ajili ya kufanikisha SIASA CHAFU!



    Swali:

    • Kwani kama wewe ni Mkristo wa KILUTHERI Tanzania , kwani hujastukia siasa chafu za kanisa hilo hasa UPARENI?

    • Unauhakika weye sio mwanasiasa tu wa MTANDAONI ingawa wajifanya hupendi siasa ofisini na twakukoma kama vile ubwabwajayo MTANDAONI yanaleta mabadiliko yoyote vile MTAANI?

    • Si umestukia siasa za wengine ZILIVYO tamu kweli kuzinyoshea vidole?

    NI WAZO tu hili MHESHIMIWA na labda laishi hapahapa MTANDAONI!:-(



    "Politicks is the science of good sense, applied to public affairs, and, as those are forever changing, what is wisdom to-day would be folly and perhaps, ruin to-morrow. Politicks is not a science so properly as a business. It cannot have fixed principles, from which a wise man would never swerve, unless the inconstancy of men's view of interest and the capriciousness of the tempers could be fixed." [Fisher Ames (1758–1808)]

    - HABARI kimkao fulani NDIO HIYO!


    Hebu baadhi wajikumbushe madisko fulani Ulaya kwa kwenda SPAIN kukutana na LAS KETCHUP wakirudia- The ketchup SONG



    Au tu twende tu SWEDEN wengine wakumbushwe kitu na huyu MSWIDI Dr BOMBAY yaliyojiri katika madisko ya SWEDEN kwa kitu- Calcutta


    Au tu SALLY NYOLO arudishe UAFRIKA kwa kutuliza manyanga KWA kitu- AWOU

  • Labda sio UBINADAMU kwa BINADAMU kuridhika na MAPUNGUFU YAKE ya KIBINADAMU!:-(

    Posted: February 8, 2010, 3:12 am by SIMON KITURURU
    ....na KURIDHIKA na CHOCHOTE KILE ,....
    ..... hata tu kama hicho sasa hivi ni WALI KWA MAHARAGE ,...

    .... kwa kuwa DUNIANI kuna MAKANDE PIA,...

    ...labda FARAJA YA KURIDHIKA na WALI kwa MAHARAGE ni moja ya PUNGUFU la UBINADAMU .:-(




    Swali:
    • SI unakumbuka hata usiporidhika kwa kuwa una JIPU bado daktari wako anaweza kuridhika na hali ya JIPU lako?

    • Si unajua hata kama hupendi VIDONDA kunaaridhikaye na utamu wakukuna kidonda?
    • Kama unaridhika na WALI kwa MAHARAGE si bado unakumbuka duniani UGALI WA MHOGO kwa MLENDA bado upo?
    • Unafikiri ni UBINADAMu kuridhika na mpenzi mmoja?





    NI WAZO TU HILI Mkuu!

    Hebu twende GHANA Tumi Ebow Ansa arudiue- Owura




    Au tu tubaki hapa hapa GHANA Kojo Antwi azungumzie -Meni Wu Beye

  • Umekumbuka KUFIKIRIA ngono leo?

    Posted: February 7, 2010, 7:03 pm by SIMON KITURURU
    [Tahadhari: Wazo limepinda!:-(]







    Kwa bahati mbaya,....
    ... kufikiria NGONO ni moja ya kipimo cha una AFYA gani.:-(



    Kwa bahati mbaya,...
    .... kutofikiria ngono kwaweza kuwa kumechangia ALIYEPATA UKIMWI LEO kapata kwa njia gani.:-(



    Swali:

    • Unauhakika huna chakufikiria kuhusu ngono leo?

    • SI unajua unaweza kutumia UFIKIRIAVYO ngono kuendesha maisha yako kwa kuzingatia kuwa kama uko bize sana mpaka hupati wakati wakuzisikilizia hisia zako za asili za uzinzi uzichungazo usije kuzini , -basi UKO BIZE SANA mpaka sio afya kwako na kama ufikiriacho ni URODA tu a.k.a TENDO LA NDOA kwa siku, - basi huna shughuli za kutosha na si AFYA kwako?
    • Unafikiri ni MUHIMU ZAIDI kufikiria KILIMO kuliko huyo Mkulima ni mtamu vipi katika tendo halali la Mume na MKE hata lile la mazoezi tu ya kuzalisha mtoto HASA ukimfananisha HUYO MKULIMA WA KIJIJINI AFRIKA na fantasi zako za Padre ALIYENONA wa KIJIJI au tu yule Nesi wa Zahanati ya kijiji?





    NI HILO TU na ni WAZO tu ambalo nimeliacha kwa kufikiria YA KESHO kazini yenye uhusiano na KIBANO.:-(



    NA wakati unafikiria ILI ustukie kama umeshaanza kufikiria ngono baada ya kunisoma katika huu UjingaBUSARA hebu twende Guinea Mory KANTE alete kitu-MOKO




    MORY KANTE arudie kitu- Mama



    Au tu MORY KANTE arudie tu na - Yeke Yeke

  • Wakati na wasiwasi Jumapili njema kwa JAMBAZI ni njema pia kwa POLISI!:-(

    Posted: February 7, 2010, 3:18 pm by SIMON KITURURU
    Mwenzenu MIE nasita,....
    .... kutoa heri ya SIKU .




    Hata kwako mwenye ndita,...
    ....mwenye hiyo mbaya siku.




    Hili kweli sitasita,...
    .... sijui ya njema siku


    Njema kwake Mamasita,....
    ...si ya PAPASITA siku

    NA labda,......

    Baya, jema mara sita,...


    ...NA,....

    ...njema sio nzuri siku.




    :-(











    Swali:
    • Siku njema kwa Jambazi si ni ile mbaya kwa aliyefanyiwa UJAMBAZI?

    • Siku njema kwa malaya unafikiri ni ipi?
    • Unafikiri Jumapili njema kwa UKRISTO ni njema kwa UISLAMU ?


    NI wazo tu HILI Mheshimiwa!
    Jumapili Njema Mkuu!



    Au tu Dr Remmy aongelee siku njema kwa mwingine- Siku ya KUFA


    Au tu KENYANNA warudie tu -SIKU NJEMA

  • Tukiangalia HALI HALISI ,labda HALIHALISI NDIYO inamlazimisha MKULIMA kuwa MKULIMA!:-(

    Posted: February 6, 2010, 8:23 pm by SIMON KITURURU
    Labda HATA nesi kawa nesi,....
    ...... kwa kuwa hali halisi imefanya ahitajike nesi.


    Na labda Mkulima angekuwa TANDIBOI ,....
    .... kama KIHALIHALISI kungekuwa na basi KWA WAKULIMA lihitajilo TANDOBOI.:-(



    Swali:
    • Unafikiri Ni wakulima wangapi wangekuwa na chaguo tofauti wangeamua kuwa wakulima?
    • Unauhakika pamoja na KIRUKA NJIA kupigwa vita , HALI HALISI ya uwepo wa KIRUKA NJIA hailetwi na hitaji kubwa la kidude cha Kiruka NJIA ?
    • Unafikiri ni kwanini Mtakatifu Simon Kitururu sio Mkulima?
    • Unauhakika kama wewe sio malaya , wee SI MALAYA kwakuwa TU hali halisi haijaruhusu tu?





    Hali halisi yaleta shughuli,....
    ... na shughuli yenyewe yawezakuwa inahitaji MZIBUA choo.

    Na ni HALI HALISI KUWA Mzibua choo KWA KAWAIDA anahitajika kwenye CHOO.:-(





    NI HILO TU na NI WAZO TU hili Mheshimiwa Bulicheka!

    Au tu turudi Kameruni Bebe Manga arudie-Mota Benamaa





    Au tu Bebe Manga arudie tena na-Amio




    Asanteni wadau wote hasa kwenye African Party mlionisaidia kwa muda fulani KUSAHAU kuwa DUNIA NYOKO , hii siku ambayo kwangu ilikuwa ni mara ya kwanza kula nyama ya Pundamilia ,- ambao baadhi mpo kwenye taswira zangu baadhi zifuatazo...






























































































































  • Faraja za kuumia kwa wengine za : ``Mkuki kwa KIRUKA NJIA, kwa malaya wa kiume MCHUNGU!´´

    Posted: February 6, 2010, 7:03 am by SIMON KITURURU
    Kuna FARAJA katika kulalamikia ya WENGINE ,....
    ....kwa kuwa KWA MUDA MFUPI huondoa kufikiria YAKO.:-(



    NA UBAYA wa ya wengine,...
    ... ni kwamba kunauwezekano ni kweli hayo NI YA WENGINE na hayakuhusu na sio kwa kuwa tu si YAKO.:-(


    Na wakati unanyege ya kulalamikia WENGINE,...

    .....chunguza kwa kuangalia ZAIDI yako na waweza KUSTUKIA kikukeracho hasa KATIKA YA WENGINE labda NI UDHAIFU wa YAKO.:-(





    Swali:

    • AU?

    Wakati unahangaika na YAKO hata kabla HAYAJAKUSHINDA yako,...
    ... yaweza kukufanya UWE MKALI kweli kwa ya wengine wasio HUSIKA.:-(




    Na wakati UNALENGWA na MTU kuhusu yako,...
    ... inawezekana kabisa AKULENGAYE yuko tu katika KUHANGAIKA NA YAMSHINDAYO YAKE kwa kuyavalia njuga YAKO na kifaraja ANAKABILI YAKE kwa kujaribu kujifanya katika yako ANAHUSIKA.:-(


    Swali:

    • Unataka kusema hujastukia uwezekano wa MTU AKERWAVYO na YAKO atambulishavyo YAKE MAPUNGUFU?

    Ndio ,..
    ...MKUKI kwa nguruwe,...
    ... kwa BINADAMU mchungu.



    Ndio,....
    ...MKUKI kwa mmoja nguruwe ,....
    .... labda kwa nguruwe wengine wala sio MCHUNGU ndio maana nguruwe unaweza kumlisha KITIMOTO.:-(


    NI wazo tu hili Mheshimiwa MAMA Kisebengo na wala USIKONDE kuendelea nalo kwa kuwa nimelisitisha ghafla kabla ya KUKUNA KIPELE!





    Hebu Frank Sinatra aseme- Somethin' Stupid




    Au tu Louis Armstrong adai pamoja na kibanochote maishani-What a Wonderful World

  • Labda VITA ya MALAYA ilishaisha wakati MALAYA WANASUTANA na mshindi wa UPASHKUNA alishapatikana kabla ya KUBWENGANA!:-(

    Posted: February 6, 2010, 4:06 am by SIMON KITURURU
    Kuna baadhi ya MAPIGANO YASHUHUDIWAYO ambayo hufanyika tu,...
    .....ili tu kukamilisha KUJISHEBEDUA kwa kuwa vita ilishaisha na aliyeshindwa alishajua kashindwa WAKATI anafunuliwa TU sketi na KUSHIKIWA kiuno AKISUTWA.


    Na aletaye VITA ya uso kwa uso ili AKUUMIZE HUKU akikuangalia usoni KATIKA KUJIAMINI NDIO ANAKUFUNDISHA ADABU kwa KUKUBWENGA kwa kuwa ANAAMINI wewe ni MALAYA kwa kuwa TU ulihitaji KUWA NA UHAKIKA kwa kuonja VIMILIKIWAVYO na wengine vifanyavyo waonekane kama wanafaidi sana KULIKO WEWE hata kama ni vile ujuavyo kwa vyovyote kunasiku vinanuka mkojo tu,...
    .....aweza kuwa anahangaika na VITA ulioishindwa ,ULISHA ITUBU TAYARI KWA PADRE na MUNGU , ulisha JILAUMU au tu uliyofikia HITIMISHO ZAMANI kuwa yamekushinda na umekoma kuonja vya watu ambavyo labda wala havikukunogea na ULISHA KOMA kwa tu KUTETWA.:-(

    Swali:
    • AU?
    • Kwani WAKATI UMEUSHINDWA MTIHANI hujui UMESHINDWA mtihani mpaka ukabiliane na KURUDISHIWA ulioushindwa mtihani?
    • Kwani kuna jipya ujifunzalo kwa kurudishiwa matokeo ya MTIHANI ULIOFELi ambalo hujifunzi wakati unafeli MTIHANI?







    Na labda,....





    VITA haihitaji silaha,....
    .... kwa kuwa matumizi ya silaha sio vita.

    Na wakati MAPIGANO yanaendelea yatumiayo SILAHA,....
    .... labda ilishakwisha VITA.:-(

    Swali:
    • Si unakumbuka wapiganao VITA huwa walishaweka wazi ni nini wanakipigania?
    • Unauhakika MAPIGANO ni vita?
    • Unauhakika VITA haipiganiwi UBONGONI na ashindwaye hushindwa tu kwa afikiriavyo UBONGONI?
    • Unafikiri kwa kumbwenga MTU na ukashinda kwa kumtoa ngeu maana yake umembadilisha mawazo?
    • Si unakumbuka matumizi ya BUNDUKI katika vita yalisababishwa na aliyekuwa anashindwa kupigana na kushinda kwa mapanga na mikuki kutunza AAMINICHO kustukia mwenye misuli kilaini anadondoshwa vitani na GOBOLE?
    • Si unajua mwenye bonge la misuli kuna vita azishindwazo hata kabla ya MAPIGANO kisa silaha ya ADUI itumikayo ni sauti nyororo na macho kama BUNDI ya kurembua?

    NI wazo tu hili MHESHIMIWA!

    JUMAMOSI NJEMA!



    Au ngojea The ROOTS warudie -Next movement na Pussy Galore(sex in consumerism)



    Au tu twende Senegal Baaba Maal arudie tu kitu- Yela
  • Ombi la msaada kwa Mgonjwa NURDIN LULANGA !

    Posted: February 4, 2010, 12:32 pm by SIMON KITURURU
    Habari,

    Naomba umtoe huyu kijana katika blog yao ili apate msaada kwa watanzania wenzake , anasumbuliwa na ugonjwa wa ajabu, mguu unavimba kila siku na hospital wamemshauri aende akatibiwe nje ya nchi na familia yake hainauwezo wa kumpeleka huyu kijana tunaomba MSAADA kwa Watanzania woote wenye moyo na uwezo wakumsaidia huyu kijana















    Hiii ni historia fupi ya huyu kijana:

    ANAITWA NURDIN LULANGA AMEZALIWA MWAKA 1990 DAR ES SALAAM TANZANIA, HIVYO ANA MIAKA 19.

    HISTORIA YA UGONJWA HUU ILIANZA WAKATI KIJANA HUYU AKIWA DARASA LA 6 (SITA NA ILIKUWA NI MAUMIVU YA KAWAIDA TU YA MGUU JUU YA GOTI NA INAFIKIA MDA MWINGINE ANASHINDWA HATA KUTEMBEA.



    MAUMIVU HAYO YALIKUWA YANAENDELEA NA KUACHA NA BAADA YA MDA UKAANZA KUVIMBA TARATIBU NA BAADA YA KWENDA KUCHUKUA VIPIMO VYA X-RAY IKAONEKANA KAMA MFUPA ULIKUWA UNALIKA TARATIBU.

    BAADA YA KUFIKA FORM SIX (2009 MAY) TERM YA KWANZA MGUU ULIVIMBA GHAFLA KWA KASI YA AJABU NA NDIO IMESABABUSHA ASHINDWE KABISA KUTEMBEA HUU SASA NI MWENZI WA 9 YUKO TU NYUMBANI.

    AMESHAPIMA FULL BLOOD PICTURE,ABSOMEN, BONE SCAN (OCEAN ROAD) N.K LAKINI HAKUNA KIPIMO KILICHOONYESHA DIRECT ANAUMWA UGONJWA GANI MADAKTARI WAMETUSHAURI TUMPELEKE NJEE YA NCHI NA FAMILIA HAINA UWEZO HUO .


    JAMANI NDUNGU WATANZANIA TUNAOMBA MSAADA WENU ILI TUMSAIDIE HUYU KIJANA KATIKA UGONJWA HUU!

    NATANGULIZA SHUKURANI ZANGU ZA DHATI!













    KWA YEYOTE ATAKAE GUSWA NA HILI TATIZO NAMBA ZA SIMU NI:

    0712 677 977 -NURDIN (MGONJWA MWENYEWE)
    0715 247 460 -MAMA WA NURDIN
    0754 247 460
    0784 753 312 NA
    0773 464 833 KAONEKA (MJOMBA WA MGONJWA)



    Asanteni,
    -Shamsa Kaoneka



  • DOA,...

    Posted: February 4, 2010, 10:18 am by SIMON KITURURU
    ... ni urembo kama tu,...
    .... SURA ya mrembo mwenye mwili MWEUSI TII na sura itiayo mwili DOA kwa kuwa YA MAJI YA KUNDE kwa kuwa tu mrembo KAJIPODOA.



    DOA,...
    .....labda ni kama katika PENZI ilivyo NDOA tu,...

    ....ukizingatia PENDO ni HURU na kulikosesha uhuru PENDO au PENZI ni kuliwekea mipaka hata IKIWA ni kwa kulifungia NDOA.




    DOA,...
    ....laweza kuwa ni KITAMBULISHO katika ramani tu,...
    .... na ukilitafuta katika RAMANI ya uchi wa MNYAMA waweza kuelekezwa MPAKA ni wapi kuna tundu lifanikishalo kwa WANYAMA ufanisi wa tendo la ndoa kwa kukodolea liko wapi la uchi DOA.


    DOA,...
    .... labda LATAFSIRIWA tu ,...
    ... kuwa ni DOA na sio urembo kwa ajifunzaye KUBAGUA kuwa kuna kilichotofauti kwa kuwa ni tofauti na kwa hiyo si pambo la kitambaa bali ni DOA.


    Kwa hiyo DOA,...
    .... kama ili yote yawe kirangi saresare maua HUINGIZWA tu,...
    ... basi KICHOMOLEWACHO katika uwiano wa mtazamo wa mtu ni DOA.



    Na kumbuka DOA,...
    ...mara nyingi hulalamikiwa ZAIDI tu,...
    ... hasa na wasiodhurika au KUATHIRIKA na MADOA.:-(







    Swali:
    • Lakini si unakumbuka DOA likiwa NA ukubwa wakutosha huwa haligunduliki au kuonekana kama doa?

    • Unafikiri BINADAMU katika sura ya dunia sio MADOA?

    • Hivi umeshawahi kumuelewesha Kipofu ni nini doa?

    • Unauhakika elimu haijatia ubinadamu wako doa?

    • Unafikiri chupi hushindwa kazi ya kulinda sehemu za siri ikiwa na madoa?


    Ni wazo tu hili MKUU na NIMEACHA!:-(


    Au ngojea nimuachie original shock rocker kwa jina Screamin Jay Hawkins katika kubadili hali ya hewa kijiweni hapa arudie - I Put A Spell On You





    Au tu Nina Simone arudie wimbo wa Screaming Jay Hawkins wa -I put A spell on You

  • KINYAA!

    Posted: February 3, 2010, 5:44 am by SIMON KITURURU
    CHAKO ,...
    ....hakikutii kinyaa HATA kama kina usaha.

    CHAKO,...
    ... hata kama kikitamkwa kwa waungwana ni LUGHA CHAFU kwa kukiamini hukigeuza nasaha.


    CHAKO,...
    ... kwa kunuka kwake kwa WENGI wengine LABDA hukulinda kama silaha.





    NA,....




    KINYAA chako ni chako ,...
    .....na CHANGU ni changu.



    KINYAA chako ni uamuzi wako kutokana na yako,...
    .... KWANGU na yangu ni halihalisi KWANGU .



    Na kitiacho kinyaa kwako ,....
    ..... KWANGU chaweza kuwa ndio MAISHA YANGU.:-(



    Swali:
    • Unafikiri kama KITU CHAKO ni hali halisi KWAKO utasikia kinyaa kwa chako?

    • Unafikiri KIDONDA NDUGU kinukacho kama ni chako utakuwa na jeuri ya kusikia KINYAA wakati ni chako?

    • SI unakumbuka siri ya KIINI cha staili ya KINYAA CHAKO ni maisha yako?




    Na LABDA,...
    .... kinyaa ni UAMUZI TU,...
    ... na ikibidi au IKILAZIMIKA,...

    .... hakuna kitiacho KINYAA na wala hakuna MWENYE KINYAA.:-(





    NI HILO TU na ni wazo tu hili MKUU!


    Au ngojea tubadili kwa kumdeku mbwa atuonyeshe jinsi ya kucheza MAMBO -Mambo Dancing Dog



    Au tu sasa tutafanyaje labda ngojea naye Lou Bega arudie tu- Mambo Nr 5
  • Kama kulikuwa na MSWADA wa MWAKA jana katika SEKTA ya UCHAWI Tanzania!

    Posted: February 2, 2010, 6:41 am by SIMON KITURURU
    [Tahadhari: Wazo hili limepinda!]




    Moja sekta isemekanayo ILIFANYA VIZURI sana mwaka jana na ambayo BADO NI yenye mafanikio sana Tanzania ,...

    .... ni ile sekta ya UCHAWI ambayo inasemekana ingawa huendeshwa kama N.G.O[Non-governmental organization] kwa ubora wa ufanisi WAKE matunda yake yanaonekana sana serikalini , makazini , mpaka tu mtaani kwa watu BINAFSI.



    Imani za uchawi yasemekana kuchangia sana tu TANZANIA na UTANZANIA,...

    .. hasa kwa kuboresha baadhi ya watu kuogopa GIZA, baadhi kusali sana usiku, kuogopa BUNDI, pamoja na kuwa na dhahabu na alimasi baadhi ya watu kugeuza NDUGU ZETU MAALIBINO kuwa maliasili, au tu kwa baadhi KUJIAMINI SANA TU kupita kiasi kutokanako na kujiamini WAMEAGA KWAO au tu hirizi katika fundo la KIFICHA NYETI a.k.a chupi au tu chale kadhaa KUWAAMINISHA zinawasaidia na HATA wakitaka kura au KULA , watu wengine NI lazima wawapigie KURA au wawape KULA ingawa wanakiri kutokuwapenda kwa karibu mambo yao yote na sio tu yale YAO ya UBINAFSi.:-(


    Swali:
    • Kwani hushangai uchawi usemekanao unafanyika kisiri bila kushuhudiwa Tanzania utishavyo watu kuliko Polisi na bunduki zao waonekanao MTAANI wawezavyo kutisha majambazi Tanzania?

    Miye binafsi NAPINGA mambo ya UCHAWI,...
    .... ila kwa kuwa nashuhudia jinsi jamii ya WATANZANIA iaminivyo USHIRIKINA,...
    .... na wasiwasi labda ni UNAFIKI katika kujadili IMANI ZA WATU , wengi hujadili tu DINI kama vile UKRISTO na UISLAMU na kusahau kuwa MOJA YA imani ambayo naamini inamafanikio makubwa sana ambayo waifuatao wako kimya mpaka unaweza kutowastukia TANZANIA ni ya USHIRIKINA.:-(



    NA labda hatusikii wachawi wakitutonya shughuli zao UKIZINGATI hadi leo hatuna hata MCHAWI mmoja ambaye kaanzisha BLOGU ya UCHAWI TANZANIA wakati naamini kati ya hawahawa MA anonymous HUMU MTANDAONI kuna MAGWIJI WA UCHAWI ambao wangeweza tu KUBLOGU KAMA MA-anonymous angalau kututonya ni nini hasa wakilengacho katika MAALIBINO au katika maswala madogomadogo kama tu ya kutujibu swala la kama kuna FIRST CLASS katika usafiri wa ungo kabla ya kuhitimisha na ni wapi pa kwenda kuwanga kwa WANASIASA wetu kabla ya UCHAGUZI ujao.:-(


    Na labda hatusikii wachawi kwa kuwa wanaogopa kuwa WAAMINICHO hatukubaliani nacho,....
    ... na hasa tukikumbuka kuwa hata MTU wakawaida IMANI ZAKE zikiwa zinashambuliwa kwa kujihami anaweza kuingia mtini.


    Na wakati IMANI au MTAZAMO wa MTU ndio UNAOSHAMBULIWA ,.....
    ...... mpenda CHAI na kiporo cha makande asubuhi naye anaweza kudai anahusudu CHAI ya maziwa na MKATE vipinganavyo na imani yake kama tu MUOGOPA kukandia KITIMOTO mbele ya wala nguruwe asio nania yakuanzisha nao MALUMBANO.:-(

    Swali:
    • AU?
    • Unafikiri kimtazamo na KIIMANI Uchawi ungekuwa ni BAB KUBWA tusingekuwa na maselebriti wapaanaungo ambao umaarufu wao ni Kupaa na ungo Tanzania?

    Ila wakati kila mtu uliyekuwa naye NI ambaye KIIMANI na MTAZAMO anakubaliana nawe,....
    ... uharisho wako unaweza kufumbiwa macho na watu au ANGALAU wakajaribu kuurembesha katika kuukabili kwa KUJARIBU kuuangalia kama ni ya kawaida tu MAVI.:-(


    Na siri ya kuendekeza UAMINICHO kizidi kupotea nawe,...
    ..... MOJA WAPO ni kujichomeka KATIKA KUNDI LIAMINILO KAMA WEWE au tu kama unataka MFANO MZURI , ni vizuri kuiga staili zitumikazo na dini za kuhakikisha kuwa unakwenda KANISA la aina MOJA au MSIKITI MMOJA na wengine waaminio kama wewe ili kukusaidia uzidi KUAMINI unavyoamini kwa msaada wa WOTE MFANANAO IMANI waabuduo HIVYO nawe.


    Swali:

    • AU?
    • Hujastukia kuwa kama ni MTAZAMO wako au IMANI YAKO ndio inashambuliwa ujisikiavyo uhaueni kujua hauko peke yako uaminiye hivyo kwa kustukia kuna mtu mwingine umestukia naye anaamini kama wewe?

    Na wakati MTAZAMO wako NDIO unaoshambuliwa,...
    .... kama unapapara unaweza KUUMIA ROHO na kwa papara ukatetea hata ambayo HARUFU tu INATOSHA KUCHEFUA na KUHITIMISHA SWALA kwa kujipotezea muda kunyambulisha kuwa ni choo laini na WALA sio uharisho ingawa KWA WENGINE WOTE ni harufu tu ILITOSHA KUCHEFUA na katika HILO wala haiina msaada kunyambulisha ni aina gani ya MAVI.:-(



    Swali:

    • Kwani wakati ni mtazamo wako unashambuliwa WEYE hukai mkao wa kuutetea hata kama huna cha kutetea?

    • Hivi wakati uaminicho kinashambuliwa si ndio upatapo nafasi ya kukifikiria vizuri na kukuza imani yako?

    • Hivi kidemokrasia na kama wewe uaminicho ni UCHAWI au tu MCHAWI,- hufikirii kuanzisha chama cha utetezi wa WACHAWI na UCHAWI Tanzania kwa jinsi uaminicho na utendacho kinavyoshambuliwa waziwazi halafu tena na isemekanao ni WANAFIKI?:-(

    • Unafikiri ni wachawi wangapi ni washikaji zako na huwajui tu kwa kuwa BADO hawana chama kama CCM au CHADEMA kiwasaidiacho kuwapigania haki ya kuwanga mchana bila kunyanyaswa?





    SAMAHANI nimepitiliza,.....
    ...tukirudi katika HOJA,.....
    ... pamoja na kuuawa MAALIBINO kulivyoitangaza TANZANIA mwaka jana ,...
    ...TUKUMBUKE ni miaka nenda rudi maswala ya USHIRIKINA BONGO ni mambo ambayo yanaathiri sana TANZANIA na UTANZANIA.:-(


    Na LABDA kama TANZANIA maswala mengine yangekuwa yanaenda kama ISEMEKANAVYO yaendavyo ya USHIRIKINA ,...
    ... NAAMINI kweli KIKWELI Bongo mambo yake yangekuwa TAMBARARE.:-(


    Swali:
    • UNABISHA?


    • Kama kulikuwa na MSWADA wa MWAKA jana katika SEKTA ya UCHAWI Tanzania, hudhani kiutekelezaji angalau wa kuitangaza Tanzania kwa ushirikina ulifanikiwa ?





    NI wazo tu hili MKUU ,...
    ...ingawa labda kama weye ni MCHAWI ingekuwa bomba kweli ukianzisha BLOGU kutujuza maswala YA mikakati mipya ya MWAKA HUU katika sekta NZIMA ya UCHAWI TANZANIA.:-(


    NIMEACHA!


    Au hebu BUNNY WAILER aingie deep kimtazamo fulani kwa -RISE and SHINE





    Au tu BUNNY WAILER aje live na kitu ileile banangenge- RISE & SHINE

  • KAMA kuna BINADAMU, kunauwezekano wakuwaNAajisikiaye kucheka MSIBANI wakati HUOHUO WAKATI wengine wanalia MSIBANI!:-(

    Posted: February 2, 2010, 5:49 am by SIMON KITURURU
    Binadamu !

    :-(


    Swali:
    • Unafikiri binadamu kaumbwa ili asicheke kwa kuwa taarifa za habari zimejaa habari zitiazo HUZUNI?

    • Ushawahi kutamani uchekeshwe kwa kuwa tu uko katikati ya yakutiayo HUZUNI?
    • Na si unajua asilimia kubwa ya wakeshao wenzao wao wenyewe ni watu wenye huzuni?
    • Umekumbuka kucheka leo?

    NI HILO TU Mkuu na ni wazo tu ,...
    ......na ukiniuliza miye NTADAI ni RUKSA TU MKUU kwako kununa hasa kama unapendeza UKINUNA!:-(



    Turudi Kameruni WES alete kitu -MAWAZA


    Au tu ngojea tu WES akumbushie tu na kibao chake - ALANE
  • Katika kuangalia WAAMINIO MUNGU wahangaikavyo na ni nini ni MAPENZI ya MUNGU!:-(

    Posted: February 1, 2010, 6:38 pm by SIMON KITURURU
    Kuna waaminio kama ni MAPENZI YA MUNGU,...
    .... hata ukwepe vipi utanasa tu na kwahiyo ukitongozwa na malaya UKAKATAA usijisifie sana kwa kuwa yote mpaka kukubalia mtu ni MIPANGO tu YA MUNGU.:-(


    Moja ya UDHAIFU Mkubwa katika kutafsiri ni nini MAPENZI ya MUNGU,...
    ...... labda UKO katika imani ya MTU na AJUAYO MTU KUYAKABILI kama MTU kabla ya kuyakabili ambavyo KIFIKIRA anafarijika zaidi na KUSHINDWA SWALA KIBINADAMU kwa kuwa na jibu kuwa ni kwa sababu ni MAPENZI YA MUNGU.



    Na labda kuna mengi BINADAMU humsingizia tu MUNGU,....
    ..... wakati ni maamuzi ya KIBINADAMU na yanafanyika na BINADAMU na wala sio MUNGU.

    Swali:
    • Kwani ukiambiwa usitumie madawa ya kulevya kwa kuwa yanaweza kukufanya mtumwa wa madawa ya kulevya a.k.a TEJA ukatumia madawa ya kulevya na kweli kuwa TEJA hayo ni mapenzi yako au ya MUNGU?

    • Hivi kuna uwezekano ni mapenzi ya MUNGU Tanzania na Watanzania wengi masikini?


    UDHAIFU wa uelewaji wa ni nini ni MAPENZI ya MUNGU,....
    ... waweza rahisisha uridhikaji wa MASIKINI kubakia masikini kwa kuamini kama ingekuwa sio mapenzi ya MUNGU , masikini angezaliwa katika familia TAJIRI na kuwa tajiri tu hata bila kumuamini huyo MUNGU.



    UDHAIFU wa uelewaji wa ni nini ni MAPENZI YA MUNGU,...
    .... pia waweza kumfanya kijeba asiogope MALAYA awajuao kwa UMALAYA NA MDUDU kwa kuwa ajali kazini kama zile za kupata UKIMWI , GONO au tu KISONONO , tukiachiliambali ile YAKUJIFIA TU KWA MALAYA zaweza tambulika tu kuwa ukinaswa, itakuwa tu ni MAPENZI YA MUNGU.:-(

    Swali:

    • AU?
    • Unafikiri kuna aaminiye MUNGU amuelewaye MUNGU?

    Kumbuka tu ,....
    ... kuna mambo ya kibinadamu mengi yaelewekayo sana tu KIBINADAMU ,....

    ..... kwa hiyo kama WEWE NI BINADAMU na unakula MAHARAGE na kupatwa na DHARURA ZIJULIKANAZO hupewa MOTISHA na kula maharage kama vile KUJAMBA ,...

    ...LABDA usitake kusingizia kuwa ni miujiza kwa kuwa inajulikana na BINADAMU mara zote aina ya KITENDO FULANI lazima izae MATOKEO ya KITENDO FULANI na kwahiyo kama umefanya kitendo cha kula maharage zaidi na sio MCHICHA matokeo yake ni aina tu fulani za USHUZI usiosababishwa na ulioukwepa MCHICHA.:-(

    Swali:

    • AU?
    • Kwani unafikiri kufeli kwako MTIHANI wakati hujisomei ni MAPENZI YA MUNGU?
    • UNafikiri kama una maharage TU leo nyumbani MUNGU akipenda msosi hautakuwa MAHARAGE?
    • Lakini KAMA HUPENDI MAHARAGE lakini una maharage NYUMBANI, hujipalii makaa kwa kujitia majaribuni KUYAGIDA hayo MAHARAGE kwa MAPENZI YA KIBINADAMU TU na sio ya MUNGU?
    • Si unakumbuka DUNIANI kuna wasioamini MUNGU na kwa hilo automatikali hawaamini kuna SHETANI?
    • Hivi kunauwezekano ni mpaka uamini kuna MUNGU ndio ukimkosea MAPENZI YAKE ufanyayo ndio yanakuwa ya SHETANI?


    SAMAHANI,...
    ....NI wazo tu hili MHESHIMIWA na nalikatizia hapa!:-(


    Na ngojea twende Kameruni - MANU DIBANGO abadili hali ya hewa kwa kitu -Sax Medley & voices




    Au tu MANU DIBANGO na wenzake walete na- Amio



Blah blah blah

Fish cakes

Alas a fish cake.

Yet more fish cakes

Guess what ... yeah ... fish cakes.

The end of the fish cakes


Kenyan Blogs